Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari Mimi ni mwanaume wa miaka 52,"Nipo single"Na sijawahi kufunga ndoa katika maisha yangu. Ni mrefu wa centimetres 170(futi 5 na inchi 7), Rangi yangu maji ya kunde, Kwa umbo ni mwembamba...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Habarini wa JF? Natumaini hamjambo. Najitokeza kwenu leo katika jukwaa hili nikiwa na uhitaji wa mwanamke atakae kuwa tayari kuingia nae kwenye ndoa. Nina umri wa miaka 27 kwa sasa na mtoto...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu watu wote! Natafuta rafiki, mpenzi na hatimaye mume awe Single Father ( kwa sababu yoyote ile) Umri kuanzia miaka 40+ Mengine tutayajenga PM, karibu kwa aliye serious
8 Reactions
45 Replies
6K Views
Awe mwanamke...uzuri wa sura sio muhimu sana ila angalau awe na akili timamu. Dini yoyote ila awe tayari kuwa mkristo au tufunge ya bomani. Umri kuanzia 18 hadi umri wowote ule wa uhai. Sijali...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
I'm Tanzanian, 41yrs of age, christian, black in color, Midiam height, employed. My preference is a girl/ woman of the following characters/look: - Aged 28-32 years -Beautiful with attractive...
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Natafuta mke Sifa za muhitaji .Mrefu .Mweusi .Diploma ya afya(mwajiriwa gov) .Mwembamba kiasi .Miaka 32 Naishi Dodoma mjin Sifa anayehitajika .Urefu wa wastan .Maji ya kunde au mweupe .Elimu...
1 Reactions
0 Replies
903 Views
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya...
22 Reactions
287 Replies
51K Views
Natafuta rafiki akidevelop awe mchumba then mke sifa ziwe hizi hapa Awe mkristo mimi ni roman Awe msukuma au mnyamwez kama mimi Awe na miaka chini ya 27 mimi nina 30 Awe tayar kupima H.I.V...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Natafuta mchumba, sifa awe Na miaka 23-30. Awe mwe usi au maji ya kunde, dini yoyote, awe mrefu wa wastan, awe Na wembamba usio Na mashaka, awe Na chura wa kawaida tu. Tabia iwe njema Na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I am Looking for a Single Mother who will be ready to be my future wife. I am also a Single father 34 of age, well educated and self employed. A single mother should have at least 25 - 30 of age...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hi guys ni matumaini yangu mko poa Nimerudi tena hapa love connect,nataka kushare na wengi au wachache wenye kupenda maisha ya wengine Kwa kipindi chote tokea nitoe tangazo hapa.Nimekuwa...
83 Reactions
136 Replies
22K Views
Salaam kwenu, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambaye atakuja kuwa mume wangu...
65 Reactions
1K Replies
81K Views
Mimi ni kijana wa kiume, 29yrs mkazi wa DSM. Natafuta rafiki wa kike/mchumba umri 20-25 au zaidi mwenye nia ya dhati ya kutulia kwenye mahusiano na kufikia kuanzisha maisha pamoja. Aliye tayari...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Baadhi ya wanaume tumekuwa malimbukeni wa kuogopa kuwaoa single mother. Sijajua tatizo ni mtu kuogopa majukumu ya kulea mtoto uliyemkuta na mwanamke ama ni nini.!!. Kama ni mtu kujiaminisha kuwa...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kiume, 27yrs mkazi wa DSM. Natafuta mchumba wa kike umri 20-25 au zaidi mwenye nia ya dhati ya kutulia kwenye mahusiano na kufikia kuanzisha maisha pamoja. Mimi ni mkristo tena...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa ambaye natafuta mchumba ambaye tukikubariana ndio ataekuwa mke wangu ili nimuoe kiukweli sina vigezo vingi ila viwili tu vinatosha 1)awe mweupe na 2)awe muislamu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Closed
Umri: 40 Elimu: Diploma Uzito : 84kg Urefu: 1.7m Kazi: Sina Hela: Sina Nyumba: Sina Watoto: Watatu Ke1, Me2 Mke: Sina Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma. Madeni: Milion 2.4 Mengineyo...
22 Reactions
118 Replies
8K Views
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu, Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao...
5 Reactions
83 Replies
9K Views
Habari zenu wanachama wa jf Natafuta mwanaume ambae mungu akitujaria awe mwana ndoa wangu umri kuanzia miaka 27 kuendelea,Awe na kazi yoyote anapenda kujituma maji ya kunde urefu futi 5,Mkiristo...
2 Reactions
2K Replies
206K Views
Habari Wana jf, naitwa Alfred umri 34 toka Uvinza, elimu yangu diploma na mfanyakazi katika shirika linajihusisha na huduma za kijamii, najitokeza kutafuta mchumba ambaye kama Mungu atapendeza...
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Back
Top Bottom