Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello, mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 27 niko Dodoma, nahitaji mchumba/girlfriend mwenye age 18 - 25 ambaye yupo serious na ana real love coz nitampenda na kumpa nafasi anayostahili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Wakuu hili swali sijawauliza ninyi ila nimejiuliza mwenyewe sijapata jawabu mnaweza kunisadia. Huyu ni mwanamke rafiki ake na mpenzi wangu wa zamani ,anajuwa nilivo kuwa na care rafiki yake sema...
4 Reactions
64 Replies
3K Views
umri:24 kazi:dereva piki piki,gari na bajaji kabila:mchaga elimu:4m4 wasifu:mnene kiasi mbavu, rangi:metailk black. dini:muislam nahitaji mke ama mwanamke wa kuish nae ili nipate changamoto coz na...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
WanaJF Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi. Awe mnene Awe anavutia Awe rangi yoyote. Asizidi 35. Asiwe na magonjwa yaambukiazo (clean)...
4 Reactions
45 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu, naomba kuleta ombi langu kwenu. Kama utangulizi ulivyo. Sifa zangu Nina miaka 30 Dini: mkristo Elimu: Shahada Kazi : Nimeajiriwa Rangi: mweusi Urefu: Mrefu wastani Mwili...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Salam kwenu jukwaani.Mimi ni mwanamke wa miaka 32,nina mtoto mmoja na Sijawahi kuolewa.Nimejitokeza nikiwa na dhumuni thabiti la kupata mwenza. Ninahitaji mwanaume mwenye sifa zifuatazo Awe...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za jumatatu ya mwisho wa mwezi wana JF. Pole na pilika pilika za jumamosi na juamapili. Nisiwachoshe sana wana jf. Natafuta rafiki wa kike awe na umri wowote kuanzi miaka 20 na...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, naitwa ***, jinsia ya kiume na mkazi wa Arusha mjini, lengo la thread hii ni kama inavyojieleza (natafuta rafiki wa jinsia ya kike) kwa lengo la kubadlshana mawazo na connections...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni wapi nifike kupata Dada poa.,nafikia Monduli nitakuwa bize sana kama wiki mbili mfululizo niambie hata kama town.
0 Reactions
37 Replies
14K Views
Hi jamani, Naitwa Marry nipo Mbeya, natafuta mchumba wa kunioa. Nina miaka 20 tu na elimu nlionayo ni ya Kidato cha sita, hivyo basi nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo; Awe mrefu wastani...
11 Reactions
164 Replies
44K Views
Salamu Wakuu. Husika na kichwa cha uzi hapo juu kwa dhati ya moyo mimi kama kijana wa kitanzania nimeamua kutoa nafasi kwa wahusika hapo juu kuwapa faraja na kuona wao pia ni watu wanastahili...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari marafiki zangu wa kwenye uwanja huu wa mahusiano! Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 48 ambaye nina watoto tayari. Niliachana na aliyekuwa mke wangu miaka 8 iliyopita na hadi sasa nipo...
5 Reactions
24 Replies
4K Views
Hello Mimi ni kijana wa KIUME mtanzania umri wangu miaka 29,mfanyabiashara naishi dar es salaam Tanzania.Elimu yangu ni Bachelor degree.DINI YANGU MUISLAM NATAFUTA MCHUMBA MWENYE SIFA ZIFUATAZO...
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Habari zenu nyote. Mimi ni msichana nakaribia miaka 34 soon. Nina maambukizi ya HIV namshukuru Mungu nipo vizuri naendelea na majukumu yangu kama kawaida .Naishi kanda ya Kaskazini Naleta ombi la...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nipeni mrejesho, maelezo na ushuhuda utafuatia baadae
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nipo serious nahitaji mwanaume ambaye ana hofu ya mungu.,, mchapa kazi awe amwajiliwa au kiajiajili yote sawa, , mkristo RC, mwenye kujua nini thamani ya mwanamke,kitu kikubwa haswa AJITAMBUE ...
13 Reactions
47 Replies
14K Views
Mimi ni kijana wa ki islamu. Umri wangu ni miaka 31. Nina mke mmoja na watoto wawili. Natafuta mke wa kuoa awe mke wa pili. Kama atapatikana tutaelewana. Hakuna vigezo wala masharti. Nipo serious
4 Reactions
94 Replies
5K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 40 na nina watoto 3. Ni mwajiriwa na mfanyabiashara. Nahitaji mke wa kufunga naye ndoa mwenye sifa zifuatazo: 1. Mcha Mungu kweli wa dini yoyote 2. Asiwe mwajiriwa au awe...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Mm ni mwanaume 32-36 yrs Mwajiriwa sekta binafsi. Elimu shahada ya uzamili Mkazi wa Dar natafuta binti wakuliwazana naye kimapenzi, mengine tutakubaliana kadri ya siku zinavyoenda. Sifa za binti...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Back
Top Bottom