Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
HABARI ZENU NDUGU ZANGU 🙏 Najitokeza kwenu, na kwa kumshirikisha Mungu kuwa natafuta mwanamke wa kujenga nae familia pamoja. Kama kuna mwanamke ambaye anaji-consider yeye mwenyewe kuwa ni "WIFE...
2 Reactions
7 Replies
481 Views
Habari wana JF, Natumai mpo salama na mnaendelea vizuri na majukumu yenu, Nipo hapa kutafuta mwanamke serious ambae atakuwa mke endapo tutaridhiana, sifa zangu ni zifuatazo; Umri: 30 Elimu: Degree...
0 Reactions
1 Replies
319 Views
Habari wakuu nina umri wa miaka 26 napitia changamoto ya mahusiano nahitaji mwanamke wa kuishi nae umri kuanzia miaka 35 had 35 nafanya biashara zang ndogo ndogo nipo dar es salaam
1 Reactions
7 Replies
456 Views
Niko Arusha Natafuta rafiki wa kike asiyekula nyama, asiwe mfia dini za wazungu Mimi ni mweupe maji ya kunde, umri wangu miaka 35, sijaoa wala sina mtoto Rafiki ninayemtaka Awe mweusi Awe mrefu...
12 Reactions
103 Replies
4K Views
Nipo hapa kutafuta mchumba mwanamke nimekuwa single kwa muda mrefu. Vigezo dini yeyote, umri wowote sichagui mahusiano serious kwa ambaye yupo serious ani Pm niko DSM.
2 Reactions
11 Replies
706 Views
Wadau tunawashukuru kwa Kushiriki kwenu. Tunamshukuru Mwenyezi MUNGU,Mwoaji amefanikiwa kumpata Mke Mwenye Sifa 15 Kati ya 16, Kilicho Bakia Hivi sasa ni mchakato wa ndoa yenyewe Kukamilishwa...
2 Reactions
6 Replies
372 Views
Vigezo; 1. Miaka 30 Mpaka 41 2. Amezaliwa Mara ya Pili. 3. Amejazwa Roho Mtakatifu. 4. Amebatizwa Maji Mengi. 5. Anaipenda na Kukubali Huduma ya Boniface Mwamposa Pamoja na Mitume na Manabii...
9 Reactions
42 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye miaka 25, mrefu wa wastani, mcheshi, mtanashati, mtu makini, mkristo na nina elimu ya chuo kikuu. Nahitaji binti mkristo, mcheshi, mweupe, asiwe mnene, miaka 18-23, kidato...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
alie tayar kua kati ya hvo juu hapo naomba ancheki dm ila mm ni mwanaume so natafuta mwanamke kutokana hiko kchwa cha.habar hapo juuu ni yoyote yule ila mwanamke kwa umri wowote ule alie tayar...
3 Reactions
19 Replies
946 Views
Habari wanajukwaa, natumai wote ni wazima, Naeomba niende kwene point direct, ni kwa muda sasa nimekaa na kutafakari kuwa siwezi kuendelea kuwa single kutoka mwaka huu,nimefanya juhudi za...
3 Reactions
103 Replies
6K Views
Mimi ni Binti mwenye umri wa miaka 30, Natafata mume, Sibagui umri wala kabila, Karibuni kwa mwenye kuhitaji mke aliyekamilika na anayempenda Mungu. Atakaewahi atapewa kipaumbele Tukutane PM
28 Reactions
147 Replies
3K Views
Sio kwamba huku wanaopost kutafuta wenza wana kasoro kwamba wamekosa wenza, huko walipo ni maisha tu mke au mume anaweza kupatikana popote pamoja na kuwepo post nyingi hapa ila imekuwa ni shida...
24 Reactions
93 Replies
6K Views
Wanawake warefu wembamba wanakua na uke mpana na tupu zao kwa ndani uwa zina kina kilefu Sana nawanaume wengi uwa wanawapenda sana Wanawake walefu kiasi wenye mili Ya kati wasio kua na matako...
5 Reactions
36 Replies
18K Views
... Active naomba ufute hii thread
0 Reactions
0 Replies
208 Views
Habari nipo Dar es salaam, natafuta rafiki wa kike sichagui dini Wala kabila ila awe mwenye umri wa miaka 18-30 ili baadae awe mke wangu aliyetayari anitafute pm ntampa namba yangu ila awe mkweli.
5 Reactions
105 Replies
2K Views
Habari ya wakati huu. Nimeleta mrejesho kwa kipindi ambacho nimekuwa na uhitaji wa mwenza na nikaposti humu. Lakini waliokuja pm ni wababa waume za watu na wengine wanakuja for funny tu, wakihisi...
16 Reactions
75 Replies
2K Views
Naishi Dsm Tanzania Umri wangu ni 35s Mwajiriwa sekta binafsi Mkristo, pentecoste Looking for a matured born again christian man who is real tired of being single and he is ready for commited...
4 Reactions
16 Replies
536 Views
Muhenga mwenzangu nichek tupendane kwa dhati au sio.👍
3 Reactions
43 Replies
1K Views
Fungukeni Kama Vase za Dizasta vina, Wengi Wamepita Wanalia na kutovumilia na kuachana na Wenza wao . Tumeona Wasanii Mbali mbali wameachana na Wake zao Kama Alikiba,Omydimpoz,Nay wa Mitego nk
0 Reactions
0 Replies
156 Views
Habari zenu, Nami leo natafuta mpenzi nimechoka na huu upweke. Mimi ni ke nina 27 ni mweupe na mrefu kiasi sio mnene wala mwembamba. Naishi Kanda ya ziwa ni msukuma pia mi nimuuguzi wa afya...
3 Reactions
59 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…