Jamani kwa nini wanawake wa madereva wa malori hawatulii kuna jamaa yangu huwa anasafiri Zambia sasa siku moja alimuaga mke wake kuwa anasafiri lakini hapo nyumbani kuna mwanaume anakuja nyumbani...
habari wadau nahitaji mwanamke wa kubadilishana nae mawazo. Awe anajitambua awe na shughuli ya kufanya ikiwa anajitegemea kimaisha itakuwa vizuri zaidi.
Maelezo kuhusu mm ni vyema kama takuja pm...
Natafuta mpenzi [MWANAMKE]awe na umri wowote ule kwani mapenzi ayaangalii umri wa mtu nachoitaji ni upendo wa dhati mimi umri wangu 22yrs kwa aliyetayari my contact 0621850715 ipo hewani mda wote
Helloo..!!naitwa Bilal ni mkazi wa Arusha,Umri wangu ni miaka 25. Natafuta mchumba kuanzia miaka 21 - 24. Sifa awe mwaminif na mwenye mapenzi ya kweli. Pia awe tayari kupima VVU. kwa aliyetayari...
Kwanza kabisa shukarani ziwafikie wote wana JF, Nahitaji mchumba ambaye atakuwa mke miaka 2-3 ijayo.
Sifa zangu
>Umri 22 miaka
>Rangi Mweusi
>Kabila mkurya
>Elimu utaijua PM
>Usafi ulinishinda kwa...
Natumaini hamjambo.
Mm ni mkaka sasa nahitaji mwenza/ mke anae jitambua na mwenyenia ya kuolewa, umri wangu kwa sasa ni 33 hivyo mke mtarajiwa awe na umri 24 to 28 yrs. Binafsi ni mkristo hivyo...
Wapendwa ebu tuambizane kdg, hamna mapenz mazito na yanayoitaj moyo kama haya(mwenzako yuko arush ww uko lindi)....n nani anawajibu wa kumtafuta mwenzie, kumjulia hali mwenzie....hivi ndio vitu...
Habari wadau Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Wasifu wangu ni:
Rangi: mweusi.
Afya: sina virusi vya ukimwi.
Kabila: mpare.
Urefu : 140.
Elimu: stashahada ya Elimu.
Dini: mkristo.
Dhehebu...
Za mda huu Wadau wa jf.
Niko mwanza Nina miaka kati ya 28 hadi 32
Ninahita mtu(mwanamke) ambaye anamaanisha kama nilivyoandika hapo juu
. Siamini katika kuandika mamho mengi hapa ila kwa...
Mi muislam,umri now Ni 40,natafuta MCHUMBA alie TAYARI aje pm! Mabingwa wa kukosoa hasa wanaume mnaweza kupita tu kimya kimya maana Kuna wakatisha tamaa humu kujifanya mnajua kiiiila kitu,nahitaji...
Nitafurahi sana kama nitapata rafiki wa kike mwenye kujielewa na mwenye mawazo mazuri kuhusu maisha ya kila sila pia awe mtu wa iman/dini. Kama upo tayar nichek kwa lukeloisaac@gmail.com any...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25
Nimeajiriwa kwenye taasisi fulani hapa Dar es salaam.
Elimu yangu ni Diploma of Education.
Mi ni mrefu, mweusi. (hapa najua kuna girl hatanizingatia maana...
Habari za jukwaa Hili”
Nahitaji kuwa na mahusiano ya Karibu na binti/ mdada mwenyewe ndoto za kujenga familia(kuolewa) awe mtu mwenyewe malengo na maisha... umri wangu ni miaka 32yrs nipo dsm’...
Ni mwanaume, naishi Dar es Salaam ni mfanyakazi na biashara pia. Natafuta Mke wa miaka 35 na kuendelea, mkristo na asiwe mchaga au mhaya. Kwa aliye serious tuwasiliane.
Natafuta husband material mwenye umri wa miaka angalau 30 hadi 35
Ma
Dini mkristo (akiwa mlokole au mlutheri itapendeza zaidi)
Sigara, pombe asiguse
Anayejishughulisha ili aweze kuhudumia familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.