Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
  • Closed
Nimegundua sipendelei na wala siinjoy sex... Nahitaji mwanaume tutakaependana na kupeana emotional support bila kuhusisha sex.
17 Reactions
241 Replies
37K Views
Mimi nikijana Nina umrii wa miaka 27 naitajia mwanmke mzr mwenye kujua mapenzi tupeana rahaaa tu umri wowote ila ajiamin tu naishi dms napia nimejaliwa bonge la naniliuu kwahiyoo ukinitafut...
0 Reactions
3 Replies
579 Views
mm nikijana wa miaka 26 natafuta mke wa kuoa -awe na miaka 20-25 -awe mkristo -rangi yeyote Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Natfta mpenz w kike wakupeana raha tu DSM Nichek kwanamba hii 0719220334
0 Reactions
4 Replies
770 Views
Nicheki pm tuyajenge hasa maswala ya namba hasa whatsapp
0 Reactions
3 Replies
889 Views
  • Closed
kiukweli nimechoka kuwa single miaka yangu ni 23 nipo mkoa wa DSM nime maliza chuo pia sjawahi kukutana na mwanaume ninayo tu.
6 Reactions
100 Replies
7K Views
Natafuta mchumba wakuoa. Vigezo. Awe chin ya miaka 24. Awe amepata O level angalau C ya mathematics Dini awe mkristo. Aliye tayari aje PM tutongea. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Vigezo Umri Kuanzia 32 Elimu at least form six Kazi:Haijalishi Umbo at least la kiafrika Urefu wa kawaida Alietayari aje PM
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Nahitaji binti awe tayari kuwa rafiki yangu ili kwanza tufamiane kwa kina na kama mbeleni tutapendezana then twaweza kuwa wachumba. MUHIMU: -kwa wale wadada wasiokuwa na nia ya mapenzi ya kweli...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa msichana aliye boreka ana ana stress na anahitaki kapani kwa usiku huu naomba DM tupeane kampan please Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
819 Views
Kila mda Ni Kama 2025 na Mpenzi wa kweli,kila Mda awe na Mimi,Na kila sehemu yapo Mengi ila nianakotaka niende ananilinda nisiibiwe na vichomi wa mwiba wangu.Je nahisi kuchapiwa?Na Mda Sasa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hello humu ndani,ndugu yangu wa Kike anatafuta mume kuanzia miaka 36 - 45 awe mkristo na ikiwa yuko Mwanza itakuwa ni vzr zaidi,maana yeye yuko mwanza.Umri wake ni 36,kabila msukuma,ni...
2 Reactions
58 Replies
5K Views
Mim ni binti wa miaka 27, Kabila langu ni Mbena, Mimi ni Mwalimu wa Sekondari dini yangu ni Mkristo. Sina Mtoto natafuta mume awe Mkristo na awe tayari kubeba majukumu kama Baba, awe tayari...
11 Reactions
88 Replies
10K Views
Kama kichwa Cha habari kilivyo anayejua anaweza kusaidia kutoa briefing
0 Reactions
7 Replies
1K Views
hello wana MMU, ni matumaini yangu kuwa mu wazima. Nakuja apa jukwaani kutafuta mwanamke wa kuoa, umri ni kuanzia miaka 18 hadi 27. kwa aliye tayar njoo Pm nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Post deleted
3 Reactions
7 Replies
1K Views
1. Watu wanaigiza uhalisia Katika eneo ambalo watu wanaigiza uhalisia wa maisha kwa kiasi kikubwa ni kwenye mitandao ya kutafuta wapenzi pamoja na mitandao ya kijamii. Watu huweka picha ambazo...
5 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari zenu wadau, natafuta mchumba wa kike ambae atakuwa Mke umri wangu 34 asiwe na mtoto, awe mkristo, mimi nipo Dar es Salaam :mimi ni mrefu mweusi, mengine tutamalizana PM Karibuni Sana
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Mtu yeyote HIV+ Alieko mwanza anifuate PM kuna jambo la maana kwa ajili yake Asante..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za kutwa wapendwa? Natafuta mke awe tayari kuishi pamoja mimi ni mkristo pia ni mjasiliamali sio lazima mwanamke awe na kazi KWANI NINA UWEZO WA KUKIDHI MAHITAJI YA FAMILIA. umri wangu 25...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom