Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni msichana,nataka rafiki yeyote wa kubadilishana mawazo after work we me au ke ni sawa but story za apa na pale .msiniseme jamani ni upweke unanisumbua,nikirudi kazini nakosa wa kuongea nae...
8 Reactions
73 Replies
5K Views
Habrinii WanaJF Refer to the heading above Mimi ni kijana wa miaka 28 single up to this time, Napambana na hali yangu maisha sioo mabaya employed and entrepreneur Sifa za mtarajiwa 1. Kitu...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Eti kila mdada akija kutafuta mchumba utasikia anatangaza sifa za bwana amtakae. Awe mcha Mungu, sijui mrefu mara mfupi, mweupe au mweusi n.k, kinachoniuzi mimi kwenye umri tu. Utasikia awe 28 -...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwajina naitwa Yusuph Omary Mlima miaka 28 nyumbani Morogoro khonda mafisa ila kwa sasa niko chalize mkoani Pwan kikaz natafuta mchumba umri 20-27 asiwe mnene wala mwembamba sana awe anajiheshimu...
0 Reactions
9 Replies
898 Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 26 muislam ninaishi Dar, mweupe mrefu mwenye mwili kidogo natafuta mpenzi mwanamke mzuri (sio uzuri wa muonekano tu, na uzuri kutoka rohoni) anaye ishi Dar Au mkoa...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
habari za wakati huu wana jukwaa pendwa,kama heading inavyosemeka hapo juu, sifa zangu maji ya kunde sio mnene wala mwembamba nina kipato cha wastani kama laki nne hivi nimepanga chumba na...
0 Reactions
3 Replies
932 Views
Hivi ni kweli kuna mtu amempata mwenza sahihi jf hadi kufunga nae ndoa?.. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
949 Views
.
21 Reactions
99 Replies
25K Views
Nahitaji girl friend, badae aje kuwa mke, Sifa zangu 1.Handsome 2. Pombe kama kawaida ila kwa weekend 3. Sigara hapana 4.Dini Mkristo 5.Mtanashati Nimtakaye 1.Mrembo 2. Awe romantic (sitaki...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Hey, Natafuta mdada mzuri yaani sura na tabia mwenye sifa za kuwa mke mwaka huu huu wa 2019. SIFA ZAKE Umri usizidi miaka 30, Mkristo, Awe mrefu kiasi, Maji ya kunde/mweupe, Ameajiriwa au...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kichwa cha habari kinajieleza. Wawe na upeo wa mambo ya biashara nasiasa za kitaifa na kimataifa.Karibuni sana.
0 Reactions
0 Replies
659 Views
Kwanza kabisa ni mshukuru mungu kwa kunipa uzima hadi leo nimekuwa mtu mzima nafikiria kuoa. Pia shukran za pekee ziende kwa wazazi wangu ambao walionyesha upendo wa dhati tangu nikiwa mdogo hadi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwaa Habari zenu? Mpaka nimefikia hatua hii siyo kwamba huku nilipo hakuna wanaume sababu ni kwamba mimi ni mwajiriwa wa serikali nimepelekwa ktk kijiji kimoja hapa Tanzania kiukweli...
13 Reactions
47 Replies
8K Views
Soma QT na Resittters Kituo chetu kimekuwa ni kimbilio la waliowengi kupata Elimu ya sekondari walioikosa kwa sababu mbalimbali. Ni miaka mitano sasa tunatoa huduma hii muhimu katika ujenzi wa...
0 Reactions
0 Replies
858 Views
Habairi wana JF, Pasi na Shaka Mwaka ndio unaisha, na kila mtu ni wakati wa kujitathimini mafanikio, kasoro na mapungufu mbalimbali katika kutekeleza mipango aliyojiwekea mwenyewe mwanzoni mwa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Namtafuta mwanamke awe rafiki wa dhati, mwishowe tufanye maisha pamoja. Awe mrembo, anajiheshimu, amesoma angalau hadi polytechnic ama college. Umri usipite 34, awe mkristo, na asiwe na mtoto...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Nasikitika kuona vijana wengi wa karne hii ni shida ukiwaangalia kwenye mitandao wanaonekana wako vizuri ukikutana naye uso kwa uso mkazungumza mawili matatu unagundua ni zilo maana ya mitandao ni...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Hello wakaka na wadada… leo naweka assumption...prove me wrong Ukiona umeweka tangazo lako la kutafuta mume au mke wale wanaokujia na 'kila la kheri' ni singletons..!!! Either,wanataka uwa...
7 Reactions
60 Replies
6K Views
Ndugu wanajukwaa, Habarini za usiku. Nyakati za sasa kumekuwa na changamoto kubwa kimahusiano, kwa mtizamo wangu ni kutokana na kuwa na matamanio ya kimahusiano au vitu na kuacha misingi ya asili...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Naitwa Saidi kobelo natafuta mchumba awe muislam awe chini ya miaka 36 aweze kuishi kijijini awe na muonekano wa kisayansi nikimtazama maraika wanamuandikia thawabu awe anashaurika awe tayari...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom