Natafuta msichana Age 23-26 ambaye nitaweza kua nae katika mahusiano na badae ndoa niko dodoma akiwa maeneo hayo ni vizuri zaidi njoo PM tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo mwanza, nilikutana na demu toka moshi, kama kawaida mtoto wa mjini nilimtokea akatiki nikiwa na lengo LA kubomoa na kuacha, kumbe mtoto kaelewa mikito kaning'ang'ania humwambii kitu kuhusu...
Hiyo ni kauli yangu kwenda kwa binti fulani ambaye by the time alinikataa na kuniona si kitu.
Leo hii baada ya miaka mitano anakuja tena kwa speed ya rocket," eti Uno mi nakupenda for really"...
Nipo Mwanza nimejiajiri, natafuta
msichana tupunguziane ukali wa maisha umri miaka 18-24 Dini yeoyote awa anajishughulisha na chochote kitakachotuwezesha tuwe tunasaidiana katika maisha.
Mimi ni...
Kumradhi!!!!!
Siku zote huwa natamani kuwa na mwanamke/Msichana mwenye elimu ya juu Degree/PHD au msichana wa kishua,mwanamke mwenye pesa kama zote kama Mrembo wa Ben Pol.
The dreams comes true.
Naomba nikiri kwamba mi ni kijana wa miaka 29,sijaoa nahitaji mwanamke mwenye kuhitaji kuolewa,kama atakuwa muislamu itafaa zaid,sichagui kabila,umri niutakao asizid miaka 35,huduma zote za msing...
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28 natafuta mpenzi alie siliasi katika mahusiano ili baadae tukijilizisha wote wawili tufunge ndoa nipo atakae...
Mi ni mwanamume wa miaka 26 nahitaji,mchumba wa miaka 18-24, awe mcha mungu,mkristo asiwe mchagaa,mzaramo,mnyamwezi,muhaya ila tofauti na hao nawapenda wote awe na mapenzi ya dhati,awe...
Mu wazima nyote?
Niende straight to point: Awe na miaka kuanzia 18-25, sitojali dini,rangi wala kabila.
NB: Nataka wa kuzaa nae tu sina time na kuoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anahtajika mdada aliye mpweke kwa ajili ya kampani...awe mchangamfu, mwenye nafasi na muda wa kusafiri hapa na pale... hakuna masharti mengine yoyote...Karibu
Nina umri wa miaka 27, nipo dar, nina elimu ya chuo ngazi ya bachelor, natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo,
awe muislam
awe muaminifu
awe na umri wa miaka 18-27
awe anaishi dar
awe na...
Habari jf member,maelezo yanajitosheleza,pia na mengine mengi ni pm nitakusaidiaa tiba asili zaidi natoa hakuna utapel wala ujanja nipo around handeni tanga karibuni
Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimemaliza elimu ya chuo kikuu miaka Saba iliyopita, kwa sasa nimejiajiri na nina biashara zangu. Ninaishi mkoa wa Kilimanjaro. Mwanamke ninayemtaka awe,
@ umri wowote...
Those who love are best able to understand.
Those who understand are best able to love.
.
Where there is love, there is understanding.
Where there is understanding, there is love.
.
Love needs the...
Hey,
Natafuta mke alietayali kutengeneza familia mwaka huu 2019 kuanzia leo jan 26-hadi mungu atakapotuita.
SIFA ZAKE
1. awe mkweli
2. asiwe mzuri sana
3.awe maji ya kunde/ mweupe kias
4.kama...
Niaje?? E bwana weee wife kasafiri ana kama wiki na nusu hivii tangu asafiri sasa mzee baba anataka papuch yake mpaka shidaaa!! Naweza kutembea barabarani ukiona mwanamke kakaa vibayaa basi tayari...
Asallam aliykum wadau wana JF leo nawaletea huu UZI zipo kauli au hulka ya baadhi ya watu wakidai ya kuwa ni udhaifu hasa kwa mwanaume kutongoza msichana kutoka ktk mitandao ya kijamii na wapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.