Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nipo Arusha natafuta mpenzi serious na mwenye kujielewa. Awe Mkazi Arusha na hana mtoto. Aliyeko serious ani text kwa 0784 693295Kama ni ke basi cheki PM yako. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari.. Mimi ni kijana, 31yrs, slim, tall, Niko capital city. Self-employed, najimudu. Nahitaji mwanamke, preferably 38 -44yrs hivi, anayejiweza financially (NB: not to take care of me)...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza, unapotafuta mpenzi weka walau hata mwili tu tuone, endapo utaona kuweka sura ni shida. kwa wadada jitahidi kuweka hata shape tu, hili linaweza ongeza...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimechoka kuwa mpweke Mimi, nimechoka kugalagala peke yangu jamani. Mimi ni mdada umri miaka 28, kabila Mngoni, mweusi kimo cha wastani. Natafuta mkaka anayejielewa sina ubaguzi wa dini kabila...
25 Reactions
125 Replies
15K Views
Mimi ni kijana 28 yrs. Naishi dsm. Nimeajiriwa pia ninamishe zangu nyingine. Ni mkristo. Natafuta rafiki wa kike kisha aje kuwa mchumba hadi mke. Umri 21-27 ikiwa dsm au karibu na dsm...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna wimbi la wake za watu kujirahisisha kwa wanaume nashindwa kufahamu nini tatizo au ndio wanajutia ndoa wanaamua kuja kutafuta faraja nje ya ndoa au ni umalaya maana wengine wanatimiziwa kila...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mi nafikiri haya maswala ya mahusiano na mapenz hayana mbwembwe, hakuna the best proven way ya kupata mtu sahihi.. it just happens kwa njia yoyote coz Mungu ana njia nyingi ya kuleta watu maishani...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Sina Mwanamke yeyote wa kunitoa upweke....,,simaanishi kwamba siwezi pata huku nilipo no.tatizo ubize tu wa hapa na pale ndo unanifanya nafasi hiyo niikose,,,,Aliyetayari naomba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nahitaji msichana mrefu rangi yeyote na kabila lolote anayejitambua ambaye atakuwa mke wangu kama ataridhika na mimi, umri usizidi miaka 27, awe amesoma hata kama ameishia kidato cha 6 na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Hello ......Mambo zenu umu Mwanaume mtanashati,mrefu kama mm mcha Mungu wa bata kiasi sio sana . Sio lazima awe na gari ila awe mwanaume modern kiasi.. Mchapakazi popote Tanzania sio lazima dar...
7 Reactions
89 Replies
11K Views
Habari zenu humu! Msichana umri miaka 28-35 anahitajika kwa ajili ya ndoa. Awe mkristo, elimu ya chini kuanzia kidato cha sita, awe msichana mzuri kitabia na muonekano. Ambaye yupo tayari kuolewa...
6 Reactions
66 Replies
5K Views
Habari za mihangaiko wananzengo wa jamii forum hasa kwenye jukwaa la "Love connect". Mimi nimekuwa mdau na msomaji wa maada tofauti tofauti kwa mda mrefu sasa tangu naifahamu jamii forum mwaka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni kijana miaka 25 nahitaji mwanamke tuwe kwenye unyumba baadaye, sasa iwe ni kuishi urafiki tu. Nina project nafanya ningependa anijoin kama yuko na muda au hana lakufanya kwa sasa, au kama...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Mimi Ni mtanzania , umri wangu ni miaka 31 najitokeza kwenu kutafuta mke kwa aliyetayari tuwasiliane , Mimi Ni mtumishi , sichagui dini kabila ,rangi ila umri wake usizidi miaka 27.aliye serious...
0 Reactions
3 Replies
774 Views
Heri ya mwaka mpya nyote humu. Baada ya kuwa single takribani mwaka mzima 2018, katika kuingia mwaka 2019, sitaki kuwa single tena hivyo nimeona ni heri nitafute mchumba ambaye baadae atakuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za saa hizi. Kwanza kabisa nikiri kuwa nishawahi kuja humu kutafuta kimwana ila ndo hivo mambo hayakuwa sawa. Kwanza kabisa nikiri kuwa nilipata kimwana ila hakuwa serious kabisaaa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za majukumu ndugu. Nina Rafiki yangu Ameniambia nitamfutie mke Nimetafuta mtaani hapa Nimekosa Nimeamua kuleta Tangazo humu MMU. Sifa za mwanamke Elimu Darasa la saba mpaka form 4...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Sifa zangu Miaka 29 Mwajiriwa na nimejiajiri pia Ni mweupe rangi Mrefu wa kati Nipo kanda ya ziwa Awe na sifa Miaka 20-30 Mwenye kazi au asiwe na kazi Sawa Kimo chochote Rangi yoyote Awe mwelewa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii ni thread yangu maalum kwa Ajili ya hili kwasababu id yangu common itafanya watu waseme “Hata wewe”? Lengo la thread hii ni kutaka kukutana na mwanamke mwenye sifa zifuatazo. 1. Awe muelewa...
4 Reactions
58 Replies
5K Views
Back
Top Bottom