Guys, I'm in need, Mimi ni mwanaume and nahitaji mchumba wa kike ambaye kama Mungu akijalia tuje tuoane. Nipo Dar, Am 25 and nipo humble and cool. Sioni umuhimu wa kuweka elimu yangu sababu sina...
Habarini,niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi Ni kijana nimefikia umri wa kuoa na hali zangu zote zinaniruhusu kuoa lakini mpaka sasa sijawahi kuwa na msichana ambaye nimemuweka level za uchumba...
Habari wana JF,
Kwa miaka 6 nilikuwa Dar kikazi, hatimae maono ya kurudi nyumbani kwetu Mwanza yamefanikiwa, na sasa ni mwezi wa 3 nipo Mwanza naendelea na Kazi, nimeshapanga Nyumba, ila upweke...
Natafuta rafiki wa kike anayejitambua,umri miaka 20 mpaka 32. Mimi nina miaka 33,nimeajiriwa na naendesha maisha yangu kawaida. Urafiki huu utatupeleka kwenye mahusiano ya kudumu pale...
Mimi ni kinaja wa miaka 29 naishi arusha tz najishuhulisha na kazi za kitalii sasa naitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzi miaka 18 hadi 26 na nipo siriasi kwelikweli na alie tayari unaweza nifata...
Mamboz wanafamilia, i'm looking for cool friends to talk to, 32 aged dude here, am at Arusha at the moment ila i reside in Dar es salaam. Im an enterprenuer/employed. If u need a brother to talk...
Nahitaji mwanamke umri kuanzia miaka 30 mpaka 35 ukiwa na mtoto ni vizuri zaidi
NOTE: -Kupima HIV ni lazima
-sina vigezo
-Mimi ni fundi ujenzi
Simu: 0711451500
0743873589
Usika na mada apo juu natafuta mpenzi jinsia ya kike umri kuanzia miaka 18 adi 25 kuusu dini sichaguwi pia sura sichaguwi ili mradiawe na upendo wa kweli pia awe anapatikana arusha au mikowa ya...
My name is Rogers from Dodoma university...i need a beautiful girl who can be able to refresh our minds together and make plan for the future life...if you are ready just cont me through my...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 23 na nimekua single kwa muda mrefu sasa kila nikiingiza gia kwa wanawake wengi simpati yule ninaemhitaji
Mimi ni maji ya kunde,muislam na urefu wa wastani...
Habarini za muda huu wadau.,
Nipo serious na nitakachoandika hapa;
Nina miaka 27, Mwanaume nimejiari,
hali yangu ya kimaisha ni uchumi wa kati, By professional ni Software Engineer,
Dini...
Habari za mida wadau!! Mimi ni kijana umri miaka 28!! Mchaga!! Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mama watoto wangu!! Awe ameajiriwa, awe ana aidia ya kufanya biashara!! Asiwe mrefu sana awe...
ndugu wanajamii forum.
Nimehamishiwa kikazi Kigoma. Najisikia mpweke sana. Sina maana kuwa nataka kufanya ufuska. lakini natamani angalau demu wa kuchati naye tu. lakini aliye kigoma.
Karibu inbox
Katika Maisha urafiki ni Jambo la muhimu na lisilokwepeka. Kwa muktadha huo najitokeza mahali hapa kutafuta Rafiki wa kike anayesoma chuo chochote kile hapa DSM.
Life it's all about friendship...