Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mtoto wa nje wa mke wangu (first born) bado yuko kwa bibi yake. Najiuliza nikimpenda na kumlea kutakua na madhara gani? Nawasilisha
3 Reactions
43 Replies
2K Views
So you always have to make sure to practice good habits in your relationship day-in and day-out. You don’t want to end up losing a perfectly good love just because of your recklessness, do you...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
September 28 ,2019 nikiwa nimekosa uelekeo wa maisha ya kimahusiano nilikuja hapa jukwaani ,Nikasema natafuta Mume ,kiukweli uhitaji nilikiwa nao lakini sikuwa naamini kama huku nitapata mtu,pili...
56 Reactions
129 Replies
10K Views
Wakuu habari za wakati huu. Girl Friend wangu anatarajia kujifungua ndani ya mwezi mmoja hivi ama zaidi kidogo. Sasa kama baba mtarajiwa ni kitu gani ama maandalizi gani natakiwa kufanya kabla...
10 Reactions
53 Replies
4K Views
Wakuu, Naombeni mawazo ya kisaikolojia ya jinsi gani naweza kujiondoa kabisa kwenye hili gonjwa la mahusiano na mapenzi. Nimejaribu ushauri niliokuwa nikipatiwa, mpaka sasa nimefanikiwa kwa...
9 Reactions
15 Replies
1K Views
Ukianza kuona kila mhudumu ni mzuri, ni dalili kwamba umeshalewa vya kutosha, nenda nyumbani kwa mkeo, ukalale. Kauli hii inazalisha moja ya swali muhimu sana ambalo labda linaweza kuwafaa walevi...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa..... Mko kwenye ndoa zenu....... Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu............. Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nyie mlio kwenye ndoa...
12 Reactions
65 Replies
3K Views
Huyu binti nilimpata wiki mbili zilizopita tulikutana nae Buhongwa stendi Mwanza mida ya usiku saa 5 akaniuliza ni wapi atapata magari ya kwenda Misungwi kwa muda ule akanambia huku yeye ni mgeni...
12 Reactions
76 Replies
6K Views
Mwanaume mwenzetu, sitomtaja jina alioa mwanamke mzuri sana, na kwa upendo wa Mungu na upendo wao binafsi wamedumu kwenye ndoa kwa miaka mitano sasa. Katika hii miaka mitano wamepata watoto...
103 Reactions
100 Replies
15K Views
Mwanamke mmoja anayetokea katika jimbo la Mpumalanga nchini Afrika Kusini amepewa talaka na mumewe siku ya fungate (honeymoon day) baada ya mume kuona sura ya mkewe kwa mara ya kwanza bila...
15 Reactions
53 Replies
12K Views
Salaam, Kuna kitu nmesikia watu wakijisifia kwamba wanawake wa Tanga ndo mapenzi yalipozaliwa. Ila ila baada ya utafiti wangu wa kina, nimegundua Wanawake wa Zanzibar hasa Kisiwa cha Pemba wapo...
4 Reactions
51 Replies
15K Views
Kama ni challenge mmeamua kuifanya tuwekeni wazi maana sio kwa Hali hii. Wanawake nyie ni mama zatu ,Dada zetu , watoto wetu mmekutwa na Nini.....? Ni uhaba wa wanaume au ni Nini .....? Au...
4 Reactions
49 Replies
4K Views
Habari wana wa humu. Katika mahusiano mengi niliyopitia kuna kitu nimejifunza. Nataka kushare ili nijue kama nawe umeshawahi kuexperience hicho kitu. Ipo hivi unakuwa na relationship na...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Hivi dada yako ukimfumania ugoni na jamaa mwingine tofauti na mume wake unaweza kumkamata ugoni? Naomba mnisaidie ushauri wa haraka ili nijue cha kufanya.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Habar za muda huu wana JF. Kuna mambo kwenye maisha yanatokea yanatatiza kwa namna fulani mpaka unashindwa kuelewa usimame au ukae. Iko hivi, kuna mama yetu mdogo alietulea baada ya mama yetu...
27 Reactions
108 Replies
10K Views
Kichwa cha habari cha husika, Mpenzi wangu ni muislam na mimi ni mkristo sisi tuko tayari kufunga ndoa lakini ndugu zake wamekataa katakata wanasema niwe muislam nami siko tayari kwa hilo...
5 Reactions
288 Replies
45K Views
Manyanyaso kwenye ndoa limekuwa jambo la miaka mingi, kiasi kama limeonekana ni kawaida. Na muhanga mara nyingi huwa ni mwanamke, sababu kuu ni kuwa Unyanyasaji huusisha nguvu za kimwili na...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za Jumapili wanajamvi. Niende Moja kwa Moja kwenye mada inayoniumiza kichwa mpaka nakosa amani ya moyo kwa muda wa week sasa. Mimi na mke wangu tangu tufunge ndoa huu ni mwaka wa tisa...
20 Reactions
112 Replies
16K Views
ZAMA hizi ni za kusaidiana kwa kila kitu. Kama wewe ni binti ambaye unatamani na unataka ukute au upate mwanaume wa kukuoa akiwa na kila kitu bila wewe kuvuja jasho au kushiriki, utasubiri sana...
2 Reactions
19 Replies
4K Views
Kama baba unatamani kuwa na mtoto bora kuliko baba wote duniani. Mtoto ambae kila linapozungumzwa jambo zuri basi yeye ndio awe amelifanya. Habari za ‘mabangi’, vigodoro, mapepe, kutatarika na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom