Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kabla ya dunia kufika mwisho vitatokea vitu vingi sana, lakini kamwe haitatokea mwanaume kushinda mabishano ya kihisia dhidi ya mwanamke; yaani yale mabishano ya kitoto yanayofanywa na watu wazima...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa kuonyesha mahaba unaamua kumtoa ‘out’ mpenzi au mchumba wako kumpeleka sehemu mkapate vinywaji na msosi wa tofauti kidogo na ule mliozoea, ili pia mpate fursa ya kupiga soga za tofauti na zile...
6 Reactions
28 Replies
5K Views
Mke wangu amefikisha mwezi tangu alipotoka kujifungua. Je, naweza kushiriki nae tendo la ndoa(Kummenya, kumtindua)? NB: Amejifungua salama bila shida yeyote
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu...
13 Reactions
88 Replies
42K Views
Tongoza..honga..peleka geto/ gest..nyegesha..tereza..toa wazungu eti ndio habari imeishia hapo. Kimsingi hakunaga faida ya sex zaidi ya uzao..hizo zingine ni mbwembwe za nyegezi tu na kujitafutia...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Nina mke nimezaa nae watoto watatu Tangu tumeanza mahusiano hadi Leo tunaishi mbalimbali hii ni kutokana na masuala ya kikazi, ingawa Hatuko mikoa ya mbalimbali, mara moja moja naenda kumcheck...
70 Reactions
215 Replies
15K Views
Hamasa pekee nayoweza kuwashauri vijana ni pamoja na hiki kitabu kukisoma chote Kina chapters 33 sawa na the highest degree of freemasonry ( I’m not a devil worshipper my self but if Lucifer...
1 Reactions
7 Replies
489 Views
Unaweza rudiana na mpenzi wako wa zamani? Mlikua kwenye mahusiano mkaachana, mkawa marafiki kwenye shida na raha mpo pamoja mkitendwa na wapenzi wenu mnaelezeana matatizo yenu mnapeana moyo...
9 Reactions
199 Replies
22K Views
Igweeeeeeee Kuna dada mmoja ni rafiki yangu nimesoma nae masomoni china alikuwa na boy friend wake mwalimu wa shule yamsingi. Stori iko hivi wadau mwalimu wa shule ya msingi amezaliwa mkoani...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
USALITI ni kitu kibaya sana ambacho kimsingi hudhoofisha kama sio kuharibu kabisa uhusiano, vilevile hupoteza mali na muda wa mtu. Kibaya zaidi usaliti unaweza kusababisha ulemavu au Vifo...
4 Reactions
7 Replies
6K Views
Ndugu zangu tuache unafiki kabisa tusime ukweli,yaani hata uowe mke pisi kali mrembo sana,ama Mwanamke mchapakazi anayejitambua! Mwanamke wife material,mwanamke mwenye sifa zote,ukweli ni kwamba...
40 Reactions
110 Replies
7K Views
Habari za mchana wadau... Shukrani nyingi zimuendee Maulana kwa kunipa kibali cha kuiona siku ya leo nikiwa mzima na mwenye afya tele 🙏. Najua kila mtu ana namna yake ya kusherehekea Sikukuu ya...
14 Reactions
70 Replies
3K Views
Habari za muda huu wakuu, Nikiongelea hii fact kwamba "BIA INA LADHA SAWA NA UKE" Namaanisha ina ile ladha halisi (pH level) ambayo unahisi unapoionjafundo la bia kwa ncha ya ulimi wako. Kama...
14 Reactions
93 Replies
7K Views
Leo napenda kuwatonya wanawake kuwa wawe Makini na wanaume kwa sababu zifuatazo. Gazeti la Independent lilichapisha Ripoti iliyo tolewa na UN mwaka 2019. Ripoti hiyo ilijumuisha idadi ya watu...
22 Reactions
101 Replies
9K Views
Habari za muda huu wapendwa katika bwana. Naomba niseme hili kwa uchache tu. Mabinti wengi wamekuwa moto mno na kujikuta wanangukia pua wakitangaziwa ndoa na hawa watoto wetu wa kiume wenye...
18 Reactions
49 Replies
6K Views
Habari zenu waungwana siku hizi ndoa imekuwa sio kitu cha mvuto sana sababu wazazi wa muolewa wanafanya mtaji binti yao utakuta anaenda kuposa sehem mahari anayotozwa ukitoa atachopewa bi harusi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu ....! Hope wote tu wazima na tunafanya vyema katika tasnia ya afya. Kama ilivyo ada wote siku ya xmass tuliburudika tukiwa majumbani na wengine viwanjani Mimi ni raia ambaye...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwaka jana kama mwezi wa 8 nikiwa katika mazingira ya senta yetu nilikutana na mdada miaka 21 kwa jina Anita(si jina halisi). Nikaanza mchakato wa kumuaproach niwe nawe katika mahusiano ambayo...
10 Reactions
122 Replies
16K Views
Ndugu zangu wanajamvi habari za asubuhi. Nimekuja hapa kuandika uzi huu nikiomba ushauri nikihitaji faraja kutoka kwenu. Mimi ni kijana miaka 25, mwenzangu huyu 21, nimemaliza chuo miaka miwili...
4 Reactions
141 Replies
17K Views
Back
Top Bottom