Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kuna wanaume kabla ya kuoa anauliza mwanamke anafanya kazi gani, " nataka mwanamke wa kusaidiana nae maisha" Matokeo yake mmoja akihamishwa kazi mume yuko Iringa mume yuko Mwanza watoto mako...
21 Reactions
47 Replies
4K Views
Wadau heri ya Christmas. Last week nimejifungasha toka Iringa mpaka Tabora wilaya ya nzega kumuoa binti ambaye nimempenda sana. Nilifurahia sana namna walivyotupokea na namna mchakato...
12 Reactions
69 Replies
4K Views
Ndugu zangu habiri nyingi sana hamjambo? Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Kiukweli nampenda MKE WANGU sana ila wakati mwingine shetani anapitaga tu na pisi kali kinoma basi najisemea...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
nakupenda sana ila hautaki kutulia na mwanaume mmoja kwanini? kwanini hauridhiki na mume mmoja? mara ngapi nimekwambia kua unauharibu usichana wako kwa kuruhusu kila mtu akuonje? baki na mimi...
29 Reactions
135 Replies
14K Views
Salaaam kwenu watu weny akili nyingi (akili mbili) Sasa wadau swali langu lipo hivi mtoto wangu wa kike ama wa kiume endapo akiniona na mchepuko maeneo yangu ya kujidai anapaswa achukue maamuzi...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Merry Christmas Dears, Ndugu zetu wa kiume mliooa, naombeni mnisaidie kunifahamisha kitu gani huwa kinafanya baadhi yenu mrudishe attention kwa kasi kwa washikaji zenu (hasa wa kike) miezi kadhaa...
13 Reactions
48 Replies
4K Views
Can you date a guy without asking him for money? Most girls will be laughing at this question,but am sure the guys would really want to know. As long as I can remember and as many relationships I...
7 Reactions
1K Replies
50K Views
Juzi nlikuja na Uzi hapa kuelezea matatizo ya mahusiano yangu na mke wangu Jana kaja home na watoto kwa ajili ya likizo fupi ya sikukuu Kwanza wakati anaanza safari kaanza na gubu na...
38 Reactions
91 Replies
6K Views
Niko hapa pembeni mwa shemeji /wifi yenu tukiwa kwenye mapumziko ya sherehe za mwisho wa mwaka. Kinachonisikitisha zaidi muda huu, ni kuwa muda wote yupo bize na watoto tu; wakati na mimi mtoto...
7 Reactions
10 Replies
978 Views
Wanazoea vibaya sana mamaeeeee mtu hatujawasiliana toka mwezi wa sita leo from no where, goooooog daamnnnnnn, bora nibaki singo kuliko hawa kupe
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Jana ilitakiwa wife aende Moshi, ila nikaiminya hiyo ratiba. Nilimuambia aende Masasi ila hajaenda bado, analia mpaka muda huu anataka nimruhusu aende kwa wazee wake. Na kwao yameibuka mapya...
45 Reactions
528 Replies
24K Views
Kumuelewa mwanamke ingia kwenye mahusiano na wanawake wengi kadri uwezavyo, hii itakusaidia kukutana na maumivu ya kila aina yanayosababishwa na wanawake kwenye mahusiano na hivyo kuwa sugu na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Siku ya jumamosi tarehe 5/6/2021 tutakuwa tunaazimisha miaka 15 ya mahusinano na mchepuko wangu. Kila mmoja ana ndoa yake ila tumebarikiwa kuishi kwa miaka 15 tukiwa kwenye mahusiano bila ya...
11 Reactions
126 Replies
13K Views
Ni leo tarehe 24/12/2021 mida ya saa Saba mchana napata hiyo meseji kutoka kwa mrembo mmoja makini Sana hapa mjini. Bad side ni kwamba now days nimeamua kuwa mtu mwema tangu nipate majibu yangu...
0 Reactions
6 Replies
712 Views
Salaam ndg zangu rehma za mwenyezi mungu ziwe nanyi... Kufupisha maneno mwaka 2017 kuna rafiki wa mke wangu automatically ni shemeji yangu tulikuwa tunapanga nyumba moja nitamuita XY. Sasa...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Wazazi wengi tunatofautiana katika kuwa na idadi ya watoto; wapo wanaopenda kuwa na watoto wengi na pia wapo wanaopenda kuwa na watoto wachache. Kwa jamii yetu ya kiafrika kwa walio wengi, mtoto...
9 Reactions
70 Replies
5K Views
Ma lecturer Katika elimu ya juu vyuoni huwa kuna mabinti wengi kuanzia miaka 18 hadi 24 hawana hatari kama wale wa sekondari mvua miaka 30 , wote hawa hatma yao kwa kiasi kikubwa huamuliwa na...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kama kichwa cha thread kinavyosema.. Wanaume Mungu anawaona!! Yani unakuta nguo za kike kwa mwanaume wako afu anakwambia eti ni za dada anaemsaidia kufanya usafi kwake!😥 Haya basi achana na...
16 Reactions
120 Replies
6K Views
Wakuu Kama kipimo kinavyoonyesha hapo mistari miwili mmoja umekolea Sana mwingne umefifia je kipimo iki majibu nipostive au negative?
5 Reactions
225 Replies
23K Views
Wasaidie wawili hawa kufikia muafaka.
6 Reactions
93 Replies
11K Views
Back
Top Bottom