Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nliambiwa na mtu niingie chumvini. Sikumwelewa "mashokoro mageni" nikawa tu naendelea na mambo yangu akanishika kichwa na kukielekeza huko ...sikuelewa. akanambia lamba chumvini Hapo akanikata...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Nakaribia umri wa kuoa ila nina kitu kimoja, kila nikiwa na wazo la kuoa akilini inakuja picha ya mkono wa mke wangu umebana korodani kwa nguvu, haya ni mawazo yangu, mara najiuliza je nikimwagiwa...
2 Reactions
44 Replies
3K Views
Wakuu kwema? Mimi nikianzisha mahusiano na mwanamke ni ngumu sana kuniacha yaani mpaka nawaoneaga huruma kabisa wakati mwingine maana kuna wengine wanakuambia mimi sibabaishwi na mwanaume alafu...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Igweeeeeeeee, Wadau tupeane machimbo yenye watoto classic tukale bata siku ya christmas hapa jijini dsm na pia ndugu yenu na dozi za vimelea vya vidonda vya tumbo nilipima juzi kati. Kinywaji...
0 Reactions
10 Replies
770 Views
Salamu wana JamiiForums Baada ya salamu acha niende kwenye mada husika kama kichwa kinavyo sema hapo juu. Kuna siku nilikuwa naongea na rafiki yangu dukani kwake akatokea mtu mzima akasema:-...
4 Reactions
33 Replies
4K Views
Hapa mtaani kwetu kuna mabinti wengi wanajiusisha na shughuli za kujitafutia kipato wengi wanauza mihogo, kuna mdada mmoja anauza mihogo tumetokea kuzoeana ni mteja wake mahiri sana mimi, Uwa...
5 Reactions
160 Replies
10K Views
Haya mafuta yana nafasi gani katika kupunguza uwezekano wa kupata magojwa ya STD ukiunganisha Ukimwi? All i knw ni kwamba hasa yanalainisha na kupunguza michubuko sehemu za siri. Kingine...
2 Reactions
326 Replies
163K Views
bila shaka wakuu mnaendelea na kazi kama mama anavyosema huyu mchumba nilimtongoza mwezi wa kwanza akawa amenikataa kwa herufi kubwa, basi kulingana uzuri wake na hadhi yangu nikahisi madaraja...
15 Reactions
53 Replies
3K Views
Morning. Naombeni ushauri wenu kidogo wakuu.. Mimi ni kijana first born kwenye familia ya watoto 5. Wanaonifuata ni vijana walio juu ya miaka 18 mmoja wa kiume anaenifuata na wa kike. Huyu wa...
36 Reactions
241 Replies
17K Views
Me Ni kijana wa miaka 24 huu upole na uwoga nimekuanao kwa mda mrefu pia Nina huruma Sana .... changamoto 1. Nikiombwa Ela na ndugu au rafiki hua sijui kukataa kias kwamba adi wameshazoa hii...
11 Reactions
106 Replies
11K Views
  • Closed
Wanaume uwa tunakutana na aina hii ya wanawake. Unamtongoza lakini asemi Hapana wala asemi Ndio. Mnawasiliana vizuri pengine unaweza dhani soon unakula tunda. Lakini upewi chochote. Sometimes...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Mnaendeleajee ndugu zangu na maandalizi ya sherehe za mwisho na mwanzo wa kiume mwaka? Kwa wale ndugu zangu Wasabato na Waislamu tunaitazamia Mwaka mpya kama Niko sahihi. Shalom, Kumekuwa na...
0 Reactions
10 Replies
602 Views
Mnaendeleajee ndugu zangu na maandalizi ya sherehe za mwisho na mwanzo wa kiume mwaka? Kwa wale ndugu zangu Wasabato na Waislamu tunaitazamia Mwaka mpya kama Niko sahihi. Shalom, Kumekuwa na...
0 Reactions
1 Replies
430 Views
Jumapili nilikuwa nasikiliza kipindi cha njia panda cha Clouds nikasikia story yam dada flani anayeitwa Mansura. Mansura ni mwenyeji wa Moshi, alikuja kuishi Dar mwaka 2013 wakati alipojiunga na...
43 Reactions
189 Replies
12K Views
Habarini za wakati huu wakuu, mimi nimeolewa na ndoa yangu ina mwaka sasa na tumebahatika mtoto mmoja. Sasa kilofanya niandike uzi hapa ni kwamba mume wangu anapenda sana ku-hang out na marafiki...
14 Reactions
201 Replies
11K Views
Nimeikuta mahali hii kitu, jamaa anaachika LIVE kisa maisha yamekua magumu. Wanawake Mungu anawaona.....
3 Reactions
42 Replies
3K Views
1. Utaua ndoa/uhusiano wako kama muda wote utakuwa mlalamikaji kwa mwenza wako na kutafuta mtu wa kumlaumu kila wakati. Huwezi kutatua tatizo kama huchukui hatua ya kuwajibika na badala yake ukawa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, First time na get uroda. MCHIZI ile naingia form one nikakutana na demu nilie Soma nae la kwanza mpaka la nne huko Kenya yeye akaamishwa tukaja kukutana hiyo Tanzania form one...
14 Reactions
30 Replies
5K Views
CHURA ndio tatizo kuu la maisha yangu, hunitoa kabisa kwenye mipango yangu yakimaisha. naweza kuvumilia chochote lakini si mwanamke mwenye chura. Akili yote huvurugika nikaishia kufanya mambo ya...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Katika maisha ya kila siku hakuna kitu muhimu kwa binadamu kama mahusiano yawe ya kimapenzi au rafiki au ndugu. Sasa ili kujenga mahusiano mazuri na watu wako wa karibu kuna baadhi ya maswali ya...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Back
Top Bottom