Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mwishoni mwa mwaka jana muda kama huu nilipata msichana nikafahamiana nae na kufanya nae mapenzi kwa mara ya kwanza na kupata ujauzito.Alinitafuta ili anipe taarifa bahati mbaya sikua hewani kwa...
1 Reactions
71 Replies
5K Views
Habari wakuu mm nisingependa kuwachosha naomba niingie moja kwa moja mada husika: Mwaka 2020 mwezi wa kwanza nilitongoza kadem( 20 age)ka mtaa ambapo nilikua nafanyia biashara zangu, wakati ndo...
5 Reactions
35 Replies
7K Views
"Bebi Leo tunakula nini?" Hivi chakula nimenunua, Maharage, mchele, unga, viazi, nyama, samaki vyote viko kwenye kitchen Den na kwenye friji kuna kila kitu. Sasa kwanini uniulize tunakula nini...
122 Reactions
484 Replies
33K Views
Wakuu habari. Nimeoa na nina mwaka na nusu wa ndoa sasa. Nina tatizo ambalo ninahitaji ushauri kwa wazoefu. Binafsi napenda mwanamke anayependeza na kujijali, na napenda awe mke wangu ili...
10 Reactions
97 Replies
9K Views
Hii sio sawa, sijakubaka nimekuomba na ukakataa, Sasa kwanini unitengenezee uadui na mtu wako! Tukidhuriana wewe utapata faida gani? Kuweni makini sana mkitongozwa msiwaambie watu wenu mtakuja...
20 Reactions
102 Replies
6K Views
Ndugu zangu hapa nipo hatua za mwisho kuvuta kitu kipya, kinachonifanya niwe na furaha kupitiliza ni hii issue ya mashemeji/ mawifi zenu kila mmoja ameridhia kwa dhati wote watu tumie master room...
8 Reactions
37 Replies
3K Views
Naomba kurudi tena jukwaani wanajamii forum, msichoke, ugonjwa wangu ni ule ule, mapenzi!!! Kuna mdada nilimuomba namba yake ya simu akanipatia, kesho yake nampigia, simu inapokelewa na mtu...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Nina mwanamke hapa ninaishi nae ana kitu kimoja, kwenye swala la kunyanduana ana masharti kibao ikiwa tiari nimemtolea mahari. In short kile cha asubuhi mwenzenu sipewi na nikitaka basi...
18 Reactions
317 Replies
28K Views
Pamoja na kwamba umri umeenda lakini bado sijamuona wa kumuoa. Anayejichubua, simtaki Asiyetoka bila makeup, simtaki Anayefuga mikucha kama shetani, simtaki Single mama, simtaki Msela msela...
6 Reactions
43 Replies
2K Views
Nyumbani kwangu ikifika wakati wa chakula cha usiku (dinner) ni lazima tule pamoja kwenye chumba kimoja, Sasa kuna mtoto wa shangazi ni kama miaka 20 hivi hapendi kufata sheria ya mda wa dinner...
7 Reactions
108 Replies
6K Views
Wakuu salam! Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Kiukweli unapoachwa na mtu uliekuwa unampenda sana maumivu yake ni makali mnoo. Lakini pia kuna maumivu yale umeachwa halafu hukuwahi kula tunda...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakuu Habari za muda huu, niende moja kwa moja kwenye mada. Hii inanihusu Mimi mwenyewe na hapa Nawaza na kuwazua na sipati jibu sahihi, Nachanganyikiwa. Mimi Ni kijana mwenye miaka 26, Elimu...
11 Reactions
95 Replies
7K Views
Utasikia "ukifa utaniacha nateseka na watoto" Aaaaghhh hii kauli ya kiwaki sana. Huu ni ushahidi mwingine wanawake ni watu wa ajabu sana. Yaani ananiwazia kufa tu. Hivi serikali haiwezi kupiga...
11 Reactions
20 Replies
1K Views
Mwaka 2008 niliona shamba la ekari 23 linatangazwa kuuzwa kupitia mtandaoni, kutokana na picha za hilo shamba, nilivutiwa sana na nikaona ni bidhaa nzuri kwa ajili ya uwekezaji wa siku za baadaye...
24 Reactions
64 Replies
4K Views
Unapata mchumba mpenda dini, mnafunga ndoa na hata kanisani anaaminika kiasi cha kupewa uwongozi katika moja ya kamati za kanisa kwakua ana mahudhurio mazuri na pia ana heshimu wakubwa na wadogo...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Usiruhusu rafiki yeyote uliyekutana naye kazini au ukubwani apazoee nyumbani kwako. Hii ni kutokana na jamii tuliyonayo kuwa na mioyo ya chuki na fitina iliyojificha. Wengine watakuja kwako...
19 Reactions
31 Replies
3K Views
Ni kuhusu mtoko wa kwanza ule (first date) Mtoto umemcheki umempenda na kumtamani pia , umepanga nae miadi umtoe out kwenye date. sasa vile unamrudisha kwao, kuna ile hali ya kuagana kwenye...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimeachana na mpenzi wangu ambae nlikuwa nae kwa miaka sita,lakini nimeanza kuona changes baada ya kufika town hapa dsm .tumeamua tuachane tu.
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Imeelezwa kuwa wanandoa wengi wamekuwa wanaharakati zaidi kuliko kuwa walezi wa ndoa zao, jambo ambalo linasababisha migogoro kwenye familia na kuzifanya zivunjike. Hayo yalisemwa jana jijini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom