Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hivi kwanini uoe while bado una tamaa unatamani kila mwanamke uwe naye kwenye mahusiano naye. Hivi mnaoa hili kuwatesa hawa Wanawake mlio waoa Unakuta Mwanaume ameoa mwanamke mzur ila anaenda...
10 Reactions
135 Replies
8K Views
Waungwana seba akojiwe !! Naomba kujua huwa mnajisikiaje , nyinyi , ndugu zenu, na wazazi wenu. Dada unapata mchumba na unaanza kumueleza changamoto zako binafsi , ndg zako na wazazi wako...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu,nawasalimia kwa jina la nchi yetu pendwa Tanganyika. Jana nilikua na jamaa yangu mmoja hivi bar ya mtaani kwetu tunapiga vyombo. Sasa bana kwenye ile bar kuna bar maid tumezoeana kiaina, so...
5 Reactions
46 Replies
3K Views
Kuna mshikaji wetu mmoja alimlaza mkewe ndani kwa makosa ya kijinga kijinga tu ya maisha ya ndoa... kesho yake tukaenda kumsalimia shemeji yetu tukamkuta pale nje kituoni so tukatoka naye...
19 Reactions
35 Replies
4K Views
Kila mtu anayeingia kwenye mahusiano anategemea kupata furaha na Amani.Lakini inakuwa tofauti na matarajio yao.Amani inawezekana kwenye mahusiano kama mambo muhimu yakizingatiwa. Kuna vitu...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Salaam, nimekuja kujua kitu kilichonitonesha kidonda changu, na kinaendelea kunitonesha. Ni kuwa nikiwa na miaka 7 au 8 hivi, mama yangu mzazi alitaka kuniua, kwa mujibu wa aliyenisimulia ni kuwa...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Miaka mingi iliyopita nikiwa bado mdogo sana familia zetu yaani baba mkubwa baba baba zangu wadogo shangazi yangu walikua wana utaratibu wakukutana kila mwaka mwezi wa 12 ambambo walikua...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
1. 𝗠𝗖𝗛𝗘𝗣𝗨𝗞𝗢 𝗟𝗔𝗠𝗜: 𝗛𝘂𝘂 𝗻𝗶 𝘂𝗹𝗲 𝗮𝗺𝗯𝗮𝗼 𝗵𝗮𝘂𝗼𝗺𝗯𝗶 𝗽𝗲𝘀𝗮, 𝗸𝗮𝘁𝘂𝗹𝗶𝗮 𝗵𝗮𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗽𝗲𝗽𝗲, 𝘂𝘄𝗲 𝗻𝗮𝘆𝗲 𝗮𝘂 𝘂𝘀𝗶𝘄𝗲 𝗻𝗮𝘆𝗲 𝗺𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮 𝘆𝗮𝗸𝗲 𝘆𝗮𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮 𝘁𝘂. 2. 𝗠𝗖𝗛𝗘𝗣𝗨𝗞𝗢 𝗩𝗨𝗠𝗕𝗜: 𝗛𝘂𝘂 𝗻𝗶 𝘂𝗹𝗲 𝘄𝗮 𝘃𝗶𝗯𝗼𝗺𝘂! 𝗺𝗮𝗿𝗮 𝗼𝗼𝗼𝗵𝗵𝗵 𝘀𝗶𝗻𝗮 𝗽𝗲𝘀𝗮, 𝗻𝗮𝗼𝗺𝗯𝗮...
30 Reactions
103 Replies
8K Views
Kuna dada mmoja wa ki Islam tumekuwa pamoja kwa mwezi mmoja. Yeye ni mama aliolewa akaachika sasa nikawa na mahusiano naye. Ila nilishamuona kuwa alikuwa na Mimi kwa kuwa alikuwa anahitaji msaada...
6 Reactions
60 Replies
4K Views
Nimeikopi sehemu Nina mwanamke naishi nae yapata mwaka na miez saba sasa shida inakuja seem moja Mimba hanasiii nafanya kila niwezavyo lakini holaaaa. Nilianza kuish nae kabla sjamtolea mimba na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mpenzi wangu ana mdogo wake wa kiume nae kaoa ila kilichotokea Hapa majuzi huyu mdogo wa mke wangu aligundua ya kuwa mkewe kaenda kuchepuka Ila hakuwa na uhakika ila alichokifanya huyu mke wangu...
12 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Nisiwachoshe sana na tantalila nyingi..... Iko hivi huyu manzi sijamtongoza wala nini, ni kama rafiki yangu tu japo sio ule wa ndani kaviile. Mbinu niliyotumia ni kwamba nimemuomba...
2 Reactions
44 Replies
2K Views
Katika maisha ya kila siku inatokea kukumbwa na wimbi la hasira za mara kwa mara!,dawa yake ni moja tu kula mbususu kwa wingi stress utazisikia kwa jirani
5 Reactions
4 Replies
2K Views
Ivi huyu demu ipo siku atanikubali uyu Maana marafiki naona wanataka mimi nizidi kuzaraulika eti ni kaze puti tu ipo siku mtoto atahingia ndani Nilihanza 2019 mpaka sasa mtoto ana nipiga chini Ki...
3 Reactions
67 Replies
4K Views
Starehe ya mwanaume ni kuwa na mwanamke anayeweza kuzungusha kichongeo chake kwenye penseli ili ichongeke vizuri. Hivi vichongeo vikubwa (chura) huwa havichongi vizuri penseli, badala ya...
6 Reactions
45 Replies
3K Views
Leo juma3 ila mood yangu haiko sawa. Takribani miezi 8 nyuma nilifahamiana na kadada kamoja kamodo kazuri keupe ila takoless nikarusha nyavu baada ya kama wiki kakajaa. Baada ya kufahamiana...
53 Reactions
115 Replies
13K Views
Ndio maana wanaume wengine kabla haja lala Na mwanamke mpya huwa wanaomba watumiwe Kwanza picha za utupu at least waone muonekano WA ndani. Siku hizi imekuwa NADRA Sana kukutana Na mwanamke ambae...
3 Reactions
50 Replies
6K Views
Kwa ufupi tu niulize kwanini mdada unakubali kuwa na mpenzi ambae ana wapenzi wengine na analitambua hilo na anamwambia jamaa kuwa hata kama upo na yule fureshi tu, kila mtu acha aplaypart yake...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Kama uko single umri usozidi miaka 35 kuna ofer ya kutoka na mimi siku ya x.mas na siku zijazo Uwe njanda za juu kusini mikoa ya iringa mbeya na sumbawanga. Karibu pm
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Hili tukio naloenda kupigwa nimelipokea Kwa mikono miwili. Shetani umenijia kivingine kabisa, Karibu sana. Just leaving this here for future references. Happy Holidays!
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom