Habari wana jamvi pendwa la MMU,naimani mko salama na tunaendelea na michakato ya maisha.
Mimi ni kijana mdogo tu niko kwenye mid 20's,mpaka saa nikiri nimewahi kuwa kimapenzi na wanawake sio...
Sikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!
Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA...
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale, nina mwanangu mmoja ni mwanangu sana zaidi ya kaka ni mkubwa kwangu sasa alikuwa na demu wake mmoja hivi ni pisi kali mtoto mweusi flani ana sura nzuri...
Hakuna duniani mtu anaeishi maisha ya tabu kama golikipa wa utopolo kabwili hivi sasa kutokana na skendo zake zinazomkabili sasa jana harmonize alitoa wimbo alioshirikishwa na mabantu inaitwa...
Wanaume wakichepuka ni nadra ukute anamponda mkewe eti mshamba sijui ajui kuvaa au ajui mapenzi na majina ya hovyo hovyo. Mwanaume atakachofanya ni kumsifia mchepuko bila bugudha na fedhea kwa...
Sorry wanajukwaa,
Ingelikuwa vyema kama ningelifahamu kwa undani zaidi kuhusu haya maswali yanayonitatiza.
Kama una experience na moja kati ya haya, naomba ushirikiano wako.
1. Maneno...
Namba kubwa ya wasichana watafta wachumba mitandaoni,hawako serious ila wanakuja kujaribu jaribu tu nimegundua.
Ni kama hawajajiandaa kwa hilo ila wanatest tu mioyo ya wenzao so mnaotafuta...
Kuna wengi wanaopitia katika hali ya kutisha ya ndoa zao kufa wakiwa bado ndani. Kuna mambo ambayo yanafaa kuendelea katika ndoa yako lakini kila kitu kimesimama.
Hizi hapa dalili kwamba upo...
Hali? Natumai salama! Hakuna kitu kinachokera kama mwanamke kuwa mchoyo mchoyo na kubana bana papuchi yake, na akikupa masharti kibao mara anaumia, unamshika kalio hataki anaona aibu, yaani...
Ni 22 years old. Kamenizungusha kweli, nikikambia mimi sitaki tena kanalia mpaka najisikia vibaya, naanza kukatuliza tena. Any way nimeamua nikachukulie poa tu ,angawa kanikera. Najiuliza kana...
Habarini ndugu zangu poleni na majukumu naomba nilete jambo langu mnishauri naombeni msaada wenu wa kimawazo
Mm ni mwanamke umri 28 ni mwajiriwa serikalini, nimefunga ndoa mwaka jana august, mm na...
Wakati huo alikuwa ana miaka 45+, ana kitambi flani lainiii cha unene, Kitovu kimezama ndani, tako lainiii. Nikanogewa, wakati huo nilikuwa na miaka 22, haya majimama matamu kinoma, mpaka leo...
Nawasalimu kwa JMT.
Kwenye mapenzi kuna vimbwanga vingi sana, haswa pale mnapochokana. Mtu anaweza akakutafutia sababu yoyote ya ajabu ilimradi tu akumwage.
Je, sababu ipi ya ajabu umewahi...
Mke wangu alienda kwao kujifungua,Zimepita siku 70, nimechepuka Mara moja tu Tena mechi ya muda mfupi,najikuta daily nipo bussy na kazi , nikurudi jioni Ni kupita bar Kula mitungi Kisha kulala...
Mwanamke anaweza kukupenda kwa PESA zako na akakupenda kweli kweli hili linawezekana.
Sio dhambi, sio vibaya, sio jinai na hili linawezekana kwa asilimia miamoja 100%
Kwanini?
😁😁😁
Kwa sababu...
Ku approach ni kumfata mwanamke kwa lengo la la kuanzisha mahusiano ya mapenzi au urafiki.
Iwe ni enzi hizo shuleni, chuoni, sokoni, barabarani, n.k. huwa napenda kujitosa kwa mwanamke ambae yupo...
Katika hali ya kustaajabisha, mfanyabiashara wa duka la simu mkoani Katavi Issa Kasili, amemfumania rafiki yake ambaye ni mfanyabiashara wa zao la mpunga katika Halmashauri ya Mpimbwe, Wilaya ya...
Kamanda wa Polisi wilaya ya Kisarawe Eva Steshen, amesema vijana wanashindwa kuoa mapema kwa sababu huduma ambayo walipaswa kupatiwa na wake zao baada ya kuoa wamekuwa wakiipata kwa bei nafuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.