Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Pradyumna Kumar "PK" Mahanandias alizaliwa mwaka 1949 katika kijiji kimoja huko India kwenye moja ya matabaka ya kihindi ya chini kabisa (untouchables) kwahiyo hakuwa na tumaini la kutoka kwenye...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wanazuoni mu hali gani? Kuna kitu naona kama hakipo sawa hapa Dar, kuna siku nilikwenda lodge fulani kati kati ya jiji, nilikuwa nataka kupumzika kwani nilikuwa na uchovu. Ila nilipokamilisha...
8 Reactions
55 Replies
6K Views
1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu! 2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere! 3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna, haongei! Mtapishana tu...
15 Reactions
93 Replies
14K Views
Habr gan wanajamvi Moja kwa moja ktk mada,mdau yeyote ambae amewahi kuwa na urafiki na binti wa kizungu,naomba experience sababu wao tumetofautiana utamaduni na mamb mengn mengi. Msaada huo...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Katika harakati zangu za kubana matumizi ili nitimize malengo yangu, nimegundua njia pekee ni kuachana na wanawake na kubaki na msichana mmoja ambae mpaka sasa hivi sijampata. Nimeachana na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu humu, Wafugaji wapo wengi jamani wewe fuga kuku, wenzako wanafuga ukucha, kha! Hawa wafugaji wako vijijini na mijini, hivi katika pitapita zako mdada ukikutana na mwanaume amefuga...
0 Reactions
19 Replies
17K Views
Kuna huyu binti snitch snitch alipeleka umbea kwa mpenzi wangu kwamba kaniona niko na binti mwingine naenda kumsaliti Lodge. Kiufupi alileta tafrani kubwa sana ukizingatia mpenzi wangu mwenyewe...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari za Ijumaa wikenda wapenzi wasomaji wa MMU. Kwanza napenda nitoe maelezo kuhusu tabia yangu ya kimaisha. Declaration; Mimi nimeoa mke wangu Mama wa nyumbani. Nimefanya hivi kwa kuwa...
51 Reactions
121 Replies
8K Views
Kwanza sizai watoto kwa sababu ya kunitunza uzeeni niweke wazi. Ikitokea hivyo basi ni wao tu na Huruma zao waamue kunitunza mimi mzee ambae pengine nilishindwa kujiwekea Akiba ujanani kwangu...
22 Reactions
105 Replies
5K Views
Yaani eti unakuta mwanamke anakuambia hapendi kuwa controlled. Haya akipata mwanaume asiyemcontrol anasema anaboa anataka mwanaume mbabe anayejua kucontrol.
2 Reactions
4 Replies
951 Views
Hbr zenu,mm ni mwanaume miaka 40,nimeingia katika mgogoro na wife kiasi cha kuamua kutoa talaka baada ya kugundua ametoa ujauzito wa miezi2 ambao mm sio mhusika,nikimhoji anakuwa mkali huku...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Wadau kwema. Mwenzenu kuna manzi nilisomaga nae primary school huko Kazulamimba years ago, sasa kupitia haya ma Group ya WhatsApp mtoto wa kike tumezoeana gafla na viutani vya hapa na pale vya...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu poleni na majukumu. Ukiwa na dada inakubidi tu kukubali kupata mashemeji. Sister kampata mzungu kutoka uropa na wako serious ndoa ifungwe. Naomba kujua yafuatayo: 1: Je, ni utaratibu...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Natumai Mko wazima... Mambo yasiwe mengi sana, itoshe kusema kuhonga ni kipaji sana na wanaohonga wanastahili kupewa tuzo asee. Jana bhana kuna pisi yangu moja ilikuja maskani napopendelea kukaa...
27 Reactions
88 Replies
10K Views
Hii nimeshuhudia kwa macho yangu katika moja ya clubs za usiku hapa mjini Nikiwa na mshikaji wangu wa kiume tunafanya yetu club (pombe na kusmoke kwa saaana,huku tukiangalia matrako ya warembo...
34 Reactions
100 Replies
22K Views
Habari za wakatii huu natumaini mpo poa wote. Ni kitu gani una jivunia ku mpa mwanaume mbali na SEX ambacho akienda kwa mwingine hawezi kupataa....? Karibuni...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
UNAPO-CHAT NA GIRLFRIEND WAKO KWA STAILI HII: WEWE: Oya! YEYE: Nambie! WEWE: mzima! YEYE: Mi mzima ww je? WEWE: Niko poa YEYE: Ok KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO...
5 Reactions
51 Replies
9K Views
Kama wewe ni mtu ambaye huchepuki, nakupongeza sana na hamna ambacho unakikosa kutoka kwa mwenza wako. Watu wengi wanafikiri kuna amani au furaha ambayo wataipata wakichepuka, ukweli ni kwamba...
19 Reactions
39 Replies
4K Views
Salamu sana kwa wote.. Juzi hapa jamaa mmoja na rafiki ananifuata akilalamika kuwa ana almost miezi miwili na nusu hivi hapati hamu, nyege, utamu wala burudani wakati anafanya mapenzi na mke wake...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom