Nakuja mbele yenu wana-MMU kutangaza wazi kabisa kwamba nampenda huyu mrembo wa kuitwa kritika . Kilichonivutia kwake
Japo nimeoa, naahidi kukupenda katika shida na raha, utamu na uchungu, ups na...
Katika harakati za kujenga uchumi wa kati (mapenzi) tunakutana na matatizo mengi kiasi kwamba hadi unaona huna nyota kabisa.
Binafsi niliwahi kuwa na pisi moja hivi ya kishua sana ....ilini save...
Hivi ni kweli unaweza ukakutana na mtu sahihi kwenye maisha yako na usijue hata aende!?
Kwenye mahusiano ya kimapenzi na hata kimaisha kwa ujumla hutokea sana,yaani mtu anaweza akawa na umuhimu...
Jamaa yangu mmoja alioa akapata watoto watatu katika ndoa ya kwanza kisha wakatalikiana na mkewe kwa sababu zisizoweza kuzuilika.
Baada ya muda, jamaa akaoa tena. Mke mpya ana wivu balaa. Sasa...
Habari za wakati huu ndugu zangu
Baada ya kupitia nyuzi mbali mbali humu na malalamiko ya baadhi ya wachangiaji kuhusu ugumu wa maisha ya ndoa nimegundua kwamba wanaosema wanaume hawajatulia...
Nimeiona hii kitu mahali, inaweza kuwafunza wengine humu.
Na. Irene Mbowe
Wasichana mlio kwenye Ndoa natamani sana mambo yafuatayo muyaishi na kuyazingatia...
Naamini mko poa wajuba,,, issue iko hv,, mda si mrefu nilikuwa na mpenzi wangu tunapiga story za hapa na pale na nikiri tu kuwa huyu Demu nampenda kinoumah na siwezi maliza siku bila kuhitaji...
Mahusiano ni sehemu ya maisha yetu na kwa wale ambao wanaingia kwenye mahusiano ndio wanaongoza kuwa na ahadi kama kichwa cha habari.
Ahadi kuwa utamuoa au akuoe hii kitu usije kufanya kama...
Je ni kweli wadada wengi wenye umri kuanzia 30 na kuendelea ambao wengi wao wapo single inapofika stage ya kutafuta ndoa au mume wa ndoa wengi wao huingia katika ndoa kwa nia ya kutoa nuksi na...
1 Wakorintho 13 (Biblia Takatifu)
¹ Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao.
² Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na...
In 1964, Paul McCartney of the Beatles famously sang, “I don’t care too much for money, money can’t buy me love.” While Mr. McCartney’s sentiments were definitely a major foreshadowing of the...
Kwa ufupi
Wanasayansi wengi wa tiba wametoa machapisho mengi ya kitafiti kuhusu urefu na upana wa uume juu ya wastani unaokubalika.
By Julius Mathias, Mwananchi
Moja ya jambo ambalo huwaumiza...
Lugha ya kichwa cha uzi inanasibu...
Leo nilikuwa kwenye kijiwe changu cha kustaafia, Kasinde Juice Shop.
Akaja mdada mmoja nikawa nachukua ladha za matunda anayotaka nimsagie juice....
Kumbe...
Unaweza kuwa na harusi nzuri lakini usiwe na ndoa nzuri, na unaweza kuwa na ndoa nzuri ambayo haikuwa na harusi nzuri.
Heri waliofanikiwa kupata harusi nzuri na ndoa nzuri, na waliofanikiwa...
Kila mmoja kwa namna moja ama nyingine ametapeliwa kwenye mapenzi:-
Kuna aliyelazimisha kuzaa na mtu akitegemea apate ndoa, mambo yakawa tofauti
Kuna aliyetuma nauli akitegemea mwenzake afike...
Yaani una date na mdada fulani hajawahi kukuonyesha dalili yeyote ya kucheat wala hujapata aina yeyote ya ushaidi lakini moyo wako haumwamini hata kidogo unahisi tu sio mwaminifu, anaweza kuwa na...
Kutokana na ugumu au vipaumbele vya maisha, watu wengi wanajitahidi kupunguza matumizi ya fedha yasiyokuwa ya lazima. Sasa wewe kipato chako hakitoshelezi kufanya sherehe ya harusi kubwa, huku...
Haya mambo hutokea hasa kwa wadada wanaopenda mambo makubwa kuliko uwezo wao. Dada yuko chuo anataka kwenda shopping Dubai, kuendesha gari japo hata iwe IST, aishi kwenye apartment na iPhone 13...
Kama ilivyo jieleza hapo juu mimi ni mtumishi wa afya katika zahanati fulani, mwezi uliopita mkewangu alienda kwao kutokana na matatizo fulani na mimi nilikuwa ndio naanza likizo.
Kunasiku jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.