Habari!
Baadhi ya wanawake waongo waongo kwenye kutafta wenzi...baada ya kuwapata basi uhalisia wa mambo ukijulikana wanajitetea walitaka kupata huyo mpenzi ndio maana wakaongopa.
Lakini bado...
Habari wakuu.
Kwanza kabisa niwatahadharishe wale wakulungwa, mnaojikuta kukosoa kila uzi kusema kuwa tungekuwa tunazungumzia masuala ya maendeleo kama tunavyojadili masuala ya mbususu tungekuwa...
Nipo kwenye mahusiano lakini sipati amani ya moyo wala furaha kabisa kwa huyu mwanamke 7bu na kuna vitu simwelew naitaji ni muwache shida nilishamzoea mazoea ndio yanasumbua moyo wangu.
Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
Katika mapenzi kuna mambo mengi ndo mana unatakiwa kuwaheshimu wanandoa waliozeeka pamoja mana mambo ni mengi muda hautoshi.
Kwenye ndoa kuna ule muda mmeshapiga kolabo tayari sasa unataka...
Habarini wana JF,
Mimi ni kijana ambaye nimeajiriwa sekta binafsi, nilikuwa na mahusiano na binti mmoja mpk sasa ni miaka mitatu na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja.
Changamoto ilitokea kidogo...
Wakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa, ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me...
Miaka ya 2000 kwenda mbele wimbi la wanaume wamepunguza kuwatongoza na tena kipindi hiki cha mama ndio kabisa.
Tunafahamu wanawake wana mambo mengi wanayo hitaji ila kwa sasa ni too much kwa...
Naombeni tuzungumzie jinsi gani utamtambua mwanamke anaekupenda ila anashindwa kusema!!
Participation kubwa itoke kwa wadada na wanawake, tunaomba mtiririke!!! Na kwa wanaume mnaofahamu situation...
Katika mahusiano kumekuwa na tabia ya wanaume kukimbia ujauzito na kutelekeza watoto pasipo sababu za msingi. Ukizingatia kuwa mwanaume ndiye aliyemshawishi mwanamke kwa kinywa chake mwenyewe...
Nimejifunza kitu ndugu zangu,
Mwanamke sio mtu wa kumbembeleza kabisa, Zamani nilikuwa mtu ambaye nilikuwa na maisha ya furaha si kujua kubembeleza mwanamke nilikuwa na tongoza saana na Nili kuwa...
Habarini Wadau,
Nauliza tu...hivi huko Zanzibar kuna wadada wanaojiuza kweli?
Au suala la dini lipo serious sana kiasi kwamba Zanzibar yote hakuna huduma hiyo?
Je night club zipo?
Naomba...
Salam wana MMU.
Nimekuwa nikifatilia kwa karibu sana sifa na changamoto kemkem za makabila mbalimbali ya tz.
Napenda kuulizia kuhusu wanawake wa kingoni wakoje kwa ujumla? Sina nia mbaya jamani...
They want to grow personally
Most people want to achieve personal growth before they consider a two-person development. Indeed from their points of view, how would it be possible to build...
Hii ilitokea kwa rafiki yangu ambaye tulikuwa tunafanya naye kazi miaka mingi iliyopita. Ilikuwa ni kipindi cha mwezi kama huu.
Tulikuwa tumepanga nyumba nzima tukawa tumegawana vyumba. Jamaa...
Yeye alipitia mafunzo ya kijeshi jkt kwa sasa ameajiriwa na jeshi ktk kitengo cha ulinzi,,pale mtaani baadhi ya watu wanajua ni askari jeshi siku 1 alienda dukani kwa pale mtaani lilipo alimkuta...
Watoto wa kike huwa wana mahitaji mengi sana kama wewe ni mwanaume lele mama na sio mtafutaji utashidwa kusimamia majukumu yako na mwisho wa siku wajanja wa mjini lazima uporwee mwanamke wako...
There are types of women that men admire most. Here are types of women that men admire most.
1.A woman who respect him.A man love a woman who respect him so much.A woman who listen to what he is...
Kuna binti nlimwonesha dalili ya kumtaka Kimapenzi, ila sikumtongoza direct, kaishia kunitangaza kwa rafiki zake kuwa namtaka, Hajawahi kunikosea chochote na mm sijawahi kumkosea chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.