Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Happy hurry Xmass to you all and I wish alot of love and happiness. Narudi kwenye point wanawake msijidanganye kuwa eti kwa maana humuombi boyfriend/fiancee/mume pesa kisa wewe ni mwanamke wa...
11 Reactions
124 Replies
9K Views
Mke wangu alichukua simu yangu na kufuta namba ya mpenzi wangu mwingine, namba ya Magreth na kuhifadhi namba yake ya kuwa anaitwa Magreth. Sikujua kuwa kuna mtu alimwambia mke wangu kuhusu...
27 Reactions
67 Replies
7K Views
Wakulungwa.... Japo joto kali, jua linawaka ila tabasamu halikauki usoni..... Najua nimeshapokea mafao ya uzeeni ila hii furaha ya leo ni nje ya mafao.... Mahaba niache nipange mipango maisha...
20 Reactions
137 Replies
6K Views
Huyu mama wa binti mmoja tu, mchacharikaji anaemiliki guest house kama 20 katika miji tofauti. Yeye hakuwahi kuolewa na sexual life yake ni ya siri sana. Kumbe hupenda kuvinjari na vijana akiwa...
16 Reactions
43 Replies
6K Views
Ujumbe maridhawa kwa jukwaa linaloongoza kwa wasomaji na wachangiaji. Haijalishi umepania namna gani, Think Twice. Hakuna kitu kinauma kama kumeza dawa za ARV kila siku maisha yako yote, UMEME...
38 Reactions
105 Replies
4K Views
Salam! Hivi Kuna mbinu yeyote mtu anaweza akaacha kufanya ngono na mbinu hizo ni zipi? Wanasaikologia; Msaada tafadhali. Mimi ni jinsia ya ME.
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama...
11 Reactions
58 Replies
4K Views
Kuna kisa nimekutana nacho, kisa hiki ni cha mwanaume aliyefanikiwa sana kimaisha. Kwa taaluma ni mhandisi anaefanya kazi na kampuni za kigeni. Mshahara wake kwa mwezi ni kama 12 million hivi...
10 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna kitu nataka kuongeya kuhusiana Na tukio hili ambalo lilitokea siku hizi la Jamaa fulani kumpiga mke wake risasi Nimesoma comment nyingi watu wengi wanamlaumu mwanaume kuwa amefanya vibaya...
17 Reactions
81 Replies
7K Views
Mabinti wengi siku hizi wana michoro ya tattoo kwenye miili yao, inaonekana kama ni mtindo, mabinti siku hizi wamezibukia kwenye michoro ya tattoo. Je ni nini tatizo, malezi mabaya ya watoto...
3 Reactions
83 Replies
12K Views
Mu hali gani? Sijajua huenda ni tatizo au la! Wanaume wengi hupenda wanawake wanaojishughulisha kwenye ku-do, wanaokatika, mbwembwe kama zote n.k Pia kuna wale wanaopenda kutomaswa japokuwa ni...
16 Reactions
131 Replies
10K Views
Wadau, mnakumbuka nilileta uzi kuhusu binti aliyekwenda nchi za Kiarabu kufanya kazi? Sasa hivi, kuna jambo limetokea na nipo njia panda. Kwa kifupi, mimi kwao sijulikani vizuri, wazazi wake...
6 Reactions
52 Replies
888 Views
Wajumbe sikieni hii. Mwaka 2012 nilikutana na Dav (sio jina lake halisi) akiwa mkuu wa kitengo fulani ofisi kubwaa Morogoro. Kipindi hicho mimi nilienda ofisini kwao kufanya field, kwa sababu...
65 Reactions
435 Replies
72K Views
Leo ngoja nikusifie mtoto wa kipare, tulianza mahusiano nikiwa chuo mwaka wa mwisho nikiwa chembamba cheusi sivutii nani angenitamani kipindi kile mtoto wa watu kigori cheupe kifupi kinene...
17 Reactions
25 Replies
3K Views
Maisha is going fast kabisa Yaani juzi juzi apa kanikataa na kunitukana kinoma eti kisa amepata mwanaume ambaye kwao Wana uwezo wa pesa. Aka ni sau mimi ambaye nilikosa usingizi ili ale vizuri...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Vp guyz... Nina tatizo ambalo sijui ni kwanini lina nikumba.. kila nikimuona manzi nahisi kama ana mtu yani najikuta muoga kuomba namba.. coz nipo kwnye process za kutafuta mchumba ila kujiamini...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Jamani mimi ni kijana na nina ndoto ya kuja kuwa na familia, lakini ninachojiuliza ni kosa kuoa mwanamke mwenye mtoto?
1 Reactions
125 Replies
22K Views
Picha inajieleza yenyewe, hapo Dada huyo akisaidiwa na Msamaria mwema aliyemuokota kwenye mtaro baada ya mwanadada huyo kupiga Chupa za Kutosha na Kisha kuzidiwa na Pombe , Jamaa hawakucheza mbali...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Sitaki kujua ni nani aliyempa mimba na anakaa na nani kwa sasa, ila tu leo kama zari nimemtongoza mdada mmoja hivi mwenye mimba, kwa kuangalia inaweza kuwa na miezi tano au sita hivi maana ni...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeshindwa kuvumilia akii tena. Nitawasalimia tu hata kesho wapendwa wangu, Leo bwana nimejitokea zangu huko duniani kwenye mihangaiko, nikafika zangu kituoni, nikasubiri daladala ya...
45 Reactions
184 Replies
14K Views
Back
Top Bottom