Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamani naombeni msaada kuna rafiki yangu sasa unakwenda mwezi wa saba amenyimwa unyumba na hajawahi kupewa papuchi hata angalau ya kuonja kama kuomba ameomba sana mpka amechoka mwanamke anamwambia...
4 Reactions
74 Replies
9K Views
Habari wataalam! ni sayansi gani inafanyika mpaka ukiwa hata na demu mmoja tu basi utavutia wengine hatakama ni first time mnaonana nao utawadaka fasta ila uwe singo sasa hata uwe hb vip hupat...
2 Reactions
78 Replies
10K Views
Ni July 2022 now, Bado Miezi mitano tu mwaka huu ukate. Anyway, Nimekaa hapa sehemu moja kwenye viti virefu, warembo Wazuri kama wote kila nikigeuka, yani mambo ni mteremko. Inasikitisha sana...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42 na mkaazi wa jijini Dar Es Salaam. Mimi nimeoa na nimejaaliwa kupata watoto watatu, watoto wawili mimezaa na wanawake wawili...
16 Reactions
180 Replies
41K Views
Jana nilikuwa naongea na Mzee, maana ni mgonjwa. Maongezi yetu yalinirejeshea kumbukumbu fulani ambayo nimeamua kuiweka hapa. ***** ***** ***** ***** ***** ***** Maisha home yalikuwa tight sana...
26 Reactions
115 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu, Hope mko fresh Sana. Nimefanya huu utafiti kwa muda wa wiki Moja na Nimetumia sample size ya watu (wanaume) 50 na hatimaye nimegundua kwamba Urefu wa mtu in terms of feet...
10 Reactions
96 Replies
10K Views
Kuna watu wana vituko kabisa. Yaani Kuna Jamaa mmoja tulikutane naye hapa Hapa JF baada ya kuomba msaada jinsi gani Ninaweza kurudisha ex wangu. Jamaa alinifata inbox kunipa ushauri eti mwanamke...
11 Reactions
32 Replies
3K Views
Wakuu,juzi kati wife aliniletea kidomo nikamlamba makofi. So tangu siku hiyo mpaka leo ni kama week ya pili kaninunia. Je kununiana inafaa kuwa mwisho siku ngapi?
26 Reactions
148 Replies
3K Views
Haya maisha modes wa humu wapumbavu sana kweli wao ni wa kufuta uzi wa Dr. Mariposa uzi matamu kabisa kisa et sijui ni mapenzi ya jinsia moja kwanza hafundishi mtu wala hajasema waziwazi...
4 Reactions
11 Replies
363 Views
Wanawake ni watu wa hovyo sana zaidi ya sindano ya ncha kali jichoni ngoja nikupe mkasa niliokuwa nao hivi sasa Nilikuwa na Ex wangu nilifanikiwa kuzaa naye mtoto mmoja kipindi hicho ndo damu...
24 Reactions
153 Replies
6K Views
KISA CHA MUUAJI MJANJA Uchunguzi wa kimaabara na matukio ya uhalifu. Siku moja wakati wa ibada ya jioni, mtu mmoja aliyeitwa Steve A. Robards mwenye umri wa miaka 38 alianza kuhisi dosari mwilini...
14 Reactions
83 Replies
4K Views
Habari wakuu Natumai wote mko wazima. Naandika huu uzi nikiwa nishachefuka nnachotaka nijue leo kunabaadhi ya wanawake huwa mtaka nini kwenye maisha yenu misielewi. Niko kwenye mahusiano na...
36 Reactions
203 Replies
8K Views
Wadada usithubutu kukutana na mwanaume ambaye mmeanza Naye mahusiano , at least chukua muda wa miezi zaidi ya mitatu au minne umsome kwanza kama Yuko serious au mpitaji Yaani nimegundua ukiachana...
10 Reactions
98 Replies
6K Views
Ndugu zangu , ikiwa ni siku nyingine tena nina wasalimu kwa jina la mshikamano wetu kama wana Jf, na kwa wale wasio wana Jf basi wasikonde nao na wasalimu ila wajitahidi na wao kua miongoni mwao...
2 Reactions
53 Replies
5K Views
Hili suala ya confidence miongoni mwa wanawake nimelifanyia utafiti kwa muda wa miezi sita na nimekuja na conclusion kwamba confidence miongoni mwa wanawake inavary kutoka kwa mwanamke mmoja Hadi...
10 Reactions
242 Replies
17K Views
Nina mpenzi, huu ni mwaka wa pili sasa tupo kwenye mahusiano. Ila kwa bahati mbaya au nzuri, hatuishi pamoja kwa sasa mimi nipo Manyara kikazi na yeye yupo Songea kikazi. Kuna ugomvi ulitokea kati...
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Salaaam ndugu zangu wa JF. Nitaelezea kwa ufupi sababu ambayo, inanifanya hadi sasa niwe kwenye msongo wa mawazo. Ilikua mwisho wa mwaka 2024 tarehe, 31..baada ya mishe mishe za kila siku ndipo...
9 Reactions
67 Replies
2K Views
Habarini jamvini? Naombeni ushauri ndugu zangu mimi ni mwanamke sijui kama nimeolewa ama nimeoa huyu mwanaume yapata miaka 8 sasa toka ameachishwa kazi yupo tu nyumbani hataki kufanya kazi...
22 Reactions
126 Replies
4K Views
natumai mu wazima wa afya, Nimekuja hapa kuwashauri wale jamaa wa KATAA NDOA FC nadhani watakuwa bado hawajafikia ile situation ya kushindwa kucontrol upweke, unaweza ukawa na kila kitu kwenye...
2 Reactions
7 Replies
280 Views
Tumekua tukiona nyuzi mbali mbali za watu wakisaidiana na kupeana bei elekezi za utelezi na maeneo husika unapopata telezi hizo, sasa mnaonaje tukawa na uzi wa kuelezea maeneo sahihi ya kuchinjia...
25 Reactions
189 Replies
27K Views
Back
Top Bottom