Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Katika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa 1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na...
58 Reactions
95 Replies
7K Views
Hello members, nawasalimia kwa vibes za jukwaa tukufu, jukwaa linalohuisha maisha yetu na linatufanya tuishi bila stress. Nawakariibisha kwa majibu, maoni na mtizamo kuhusu wanawake kubinua na...
6 Reactions
13 Replies
710 Views
𝗠𝗝𝗨𝗞𝗨𝗨 𝗪𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗡𝗔𝗞𝗨𝗨𝗦𝗜𝗔 Kama uchumi wako uko vizuri tafuta mwanamke atakayetulia nyumbani akulelee familia yako, ikiwezekana hata sokoni nenda mwenyewe, Hawa wanaotaka haki sawa mtoke wote asubuhi...
8 Reactions
11 Replies
462 Views
Hali iko hivi: kuna mwanamke mwenye umri wa miaka 28, mke wa mtu, ambaye tumekuwa tukichati naye. Aliniambia kuwa atanipa penzi muda ukifika, nami nikakubali. Baada ya hapo, nilijikita kwenye...
16 Reactions
136 Replies
3K Views
Habari wanaJukwaa .. Nahitaji tupate uzoefu kutoka kwa wale waliotutangulia kwenye hili suala la Engagement. Wewe na mchumba wako ni mambo gani mlizingatia katika hiyo siku kwa kuanzia na mavazi...
2 Reactions
12 Replies
417 Views
Je, ni sahihi kuwasiliana na ex wako au kuwa na namba yake kama upo kwenye ndoa Au mahusiano?
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa Miaka 25. Nilifanikiwa kuwa kwenye mahusiano na mkaka mmoja hivi mwenye umri wa miaka 30. Tulipendana kwa mtazamo wa macho ya nyama. Ila maisha yalibadilika...
3 Reactions
5 Replies
522 Views
Wakuu,hivi ikitokea mmoja kati ya baba au mama mkwe katangulia mbele za haki. Unatakiwa kutoa mchango kiasi gani?
2 Reactions
22 Replies
791 Views
Wakuu salama. Hii special Kwa wanaume wasiokubali kutikiswa Wala kujambiwa na wife hata kama anampenda na amemkosea Kauli mbiu ni:MWANAUME HALISI HAKUBALI KOSA. Ilinitokea siku Moja nilikuwa...
38 Reactions
227 Replies
10K Views
Alinifata akiniomba msaada nimpe sehemu ya kujihifadhi, ndani ya siku 5 jasusi nilikuwa nimeishausoma mchezo, Manka anasoma game jinsi atakavyonipiga tukio, ilinibidi nipindue meza haraka sana...
3 Reactions
7 Replies
492 Views
japo ni ushauri wa mtume paulo ila kwetu sisi wakristo tunamuona kama ni mtu muhimu nyaraka zake tunazitumia yeye alisema kwamba wanandoa wasinyimane penzi. Nachokiwaza mimi aliyekuwa anaombwa...
0 Reactions
6 Replies
373 Views
Binadamu ana hulka ya kutosema ukweli hulka ya kutosema mabaya/madhaifu yake. Wengi wetu huvutiwa na lugha za watu hasa mnapoonana kwa mara ya kwanza. Mapenzi kabla ya ndoa si kipimo halisi cha...
46 Reactions
197 Replies
31K Views
Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami. Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na...
32 Reactions
268 Replies
13K Views
Dada kujulikana ukweni sio kuolewa. Kuongea na mtu masaa yote sio kuolewa. Kutolewa barua sio kuolewa. Unaweza ukawa na mtu miaka na msioane, Lakini ukaja kutana na mtu ghafla tu akawa ndio rizki...
0 Reactions
22 Replies
540 Views
Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao...
56 Reactions
257 Replies
11K Views
Mahusiano yana usiri mkubwa sana kiasi cha kujirudiarudia kwa watu wengi. Ufuatao ni ukweli kuhusu mapenzi na mahusiano • Lazima muwe tofauti, mmoja mtulivu mwingine awe kicheche(ukweli mchungu)...
6 Reactions
6 Replies
295 Views
KIUFUPI KABISAAAA; Sina mengi 1. Video 400 zimejibu hoja zangu zotee. 2. Video 400 zimewajibu matusi yenu yotee mliyonitukana 3. Video 400 zimefuta dhihaka zenu zotee za kuniita mapenzi ya jinsi...
30 Reactions
104 Replies
3K Views
Nimekuwa na mashaka mengi kwa namna ninavyopata malalamiko mbalimbali toka kwa vijana katika kipengele cha mahusiano. Kutokana na kukosekana kwa mafunzo ya JANDO na UNYAGO nimeona nina dhima...
3 Reactions
48 Replies
2K Views
Mwanaume kuwa makini zaidi wakati wa kuchagua mwanamke wa kuoa/ kuishi naye. Tuko katika kizazi ambacho: 1. Wanawake hawakubali makosa yao,mara nying hulaumu juu jinsi wanavyotendewa na wanaume...
16 Reactions
33 Replies
3K Views
Kuna mdada nimemuuliza, umeolewa? Akajibu kuwa "nimeolewa lakini siyo kiviiile!!." Anamaanisha nini?
3 Reactions
10 Replies
494 Views
Back
Top Bottom