Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

😅😅🙆Ndoa ni uvumilivu🤭🤭mpendane kwa shida na Raha😅😅🤭jib km mwana ndoa🤭🙄🙄🤭mm tutoane nundu👉kikubwa misukumio ya chapati wa mama tunayo ndani😅🙄🙄au wewe unavumilia😅😅😅😅nasoma comment zenu Wana ndoa😅😅😅
1 Reactions
2 Replies
197 Views
Anafunguka mwanaharakati..... "Ni mjinga mwanamke ambaye anampikia mume wake, anamfulia nguo🤮 achia mumeo hizo kazi kwani yeye hana mikono? mbona wanawake tunakuwa wajinga hivyo, tutaelimika...
27 Reactions
250 Replies
8K Views
JE ni SAHIHI Habari ndugu zangu wanajamvi poleni na shughuli za kutafuta mkate wa kila siku, kuna jambo nimeliona mahali nikaona ni vyema niwashirikishe magreat thinkers of bongo land. Ilikuwa...
3 Reactions
24 Replies
911 Views
Mwanzo nilidhani wanafumua sementi ili asubuhi waweke tiles au wanavunja ukuta, baadaye hali ikawa mara mbili ya ile ya awali, kama kweli watu wanatumia hayo madawa basi anayejiumiza ni mwanaume...
17 Reactions
60 Replies
5K Views
Nimeenda kumtembelea sista ambaye ni mtoto wa mama mkubwa ameolewa jijini dar, sasa hapa wanaishi watu wa nne, sista, shemeji, mdogo wake shemeji ni wa kike, mtoto wa sista mdogo wamiaka mitatu na...
34 Reactions
62 Replies
3K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari, Niende moja kwa moja kwa mada inayosema stuka, kila mke na mume ana bebe wake ofisini. Narudia tena stuka, kuna baadhi ya wake au waume za watu ila...
28 Reactions
182 Replies
9K Views
Habari za asubuhi Wana JF, Ma secretary wa ofisi wana dharau sana kisa ni chakula cha boss, anafanya kazi anavyojisikia, majibu yao ni shortcut sababu anaona ameshamteka boss hawezi kufukuzwa...
11 Reactions
76 Replies
5K Views
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 43. Ni mfanyabiashara na mkaazi wa jijini Dar Es Salaam. Mwaka 2011 nikiwa na umri wa miaka 36 nilianzisha uhusiano wa kimapenzi na...
33 Reactions
551 Replies
87K Views
Wadau, Kuna jamaa yangu anaomba ushaur. Ni hiv..miaka miwil iliyopita alikutana na mdada single mama,(divorced) wakaanzisha mahusiano huyu single mama baada ya mwaka akapata ujauzito wa mwana...
4 Reactions
24 Replies
903 Views
Habari Wana JF. Kuna ndugu yangu mmoja mtoto wa kwanza wa Baba mdogo wangu wa kike. Tulimuoza Mwaka Jana mwezi wa 1 ndoa kabisa ya kanisani. Aliolewa na kijana mmoja waliefahamiana chuoni...
32 Reactions
124 Replies
4K Views
Mithali 5:3 Maana midomo ya malaya hufondoxa asali, na kinywa chake ni laini kuliko mafuta Mithali 5:4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga, ni mkali kama upanga wa makali kuwili Mithali...
3 Reactions
9 Replies
447 Views
Leo wakati narudi nyumbani nimemkuta Mwanamke wangu anaangalia Tv sebuleni, nikamsalimia akakaa kimya. Nimemuuliza shida ni nini, eti anasema "usilolijua ni sawa na usiku wa giza". Nimejaribu...
10 Reactions
96 Replies
6K Views
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada. Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe...
35 Reactions
149 Replies
4K Views
Nilikuwa sijui kuoga wala kuvaa, ila amenipenda hivyo hivyo na sasa najua kuoga na kuvaa. Nilikuwa na lala njaa, ila akanipenda hivyo hivyo na kunipatia chakula, sasa tunashiba. Wengine...
3 Reactions
10 Replies
273 Views
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka...
38 Reactions
138 Replies
5K Views
No marriage is perfect, those celebrating 30, 40, 50 years of togetherness, they are celebrating forgiveness, tolerance, ignoring the husband's /wife 00stupidity, overlooking the wife's...
3 Reactions
10 Replies
424 Views
Knakutana na haya mambo yanajirudia kwenye ndoa hasa wakati wa tendo la ndoa Mwenzio anakujibu Uinigusee Nimechoka Sijisikii Niamshe baada ya masaa mawili Nanmengineyo kama una la kuongeza...
5 Reactions
17 Replies
743 Views
Habarini ndugu zangu? Kuna binti ambaye nimekaa nae kwenye uchumba kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa. Ana miaka 24. Baada ya kupitia msoto wa kiuchumi kwa miezi miwili hivi, kiukweli amekuwa karibu...
27 Reactions
137 Replies
5K Views
wa Cuba mmenielewa lakini
0 Reactions
2 Replies
268 Views
Ni sawa kuumia kwasababu mnakumbukumbu pamoja na mwenza wako ambazo huwezi kuzifuta mara moja na kuzisahau ghafla Ila tambua kwamba mlipitia machungu pamoja wakati wa maisha yenu ya...
1 Reactions
15 Replies
721 Views
Back
Top Bottom