Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wakuu salama humu, moya kwa moya kwenye mada Kuna manzi nilikuwa nae nilikuwa nikimpenda sana akaja niache kwasababu ambazo mpaka sasa hazielezeki, maana sikumfumania wala hakunifumania ni ugomvi...
2 Reactions
17 Replies
591 Views
Imagine watu mnakutana ukubwani hapo kila mtu kakulia mazingira tofauti. ndio maana huu mtaa naoishi kuna wanawake kadhaa wanamiliki Mali ila hawana waume ila wana watoto. Nahisi ujuaji umewaweka...
5 Reactions
7 Replies
301 Views
Iko hivi. Huyu jamaa alikuwa mchizi wangu tokea utoto (maana tulicheza wote mpira na gololi mitaa fulani ya Gachustan/Arusha). Kipindi tumeanza kwenda shule za boarding (baada ya la saba) ndio...
13 Reactions
111 Replies
4K Views
Namzungumzia Rose mwanachuo Ni HIVI, Nakumbuka Ilkua mwanzoni mwanzoni mwa mwezi wa 5 kipind ambacho tulkua na ugomvi na mamaJ. Hivo tumenuniana. Basi mihemko na misisimko yote nikaielekeza kwa...
7 Reactions
65 Replies
7K Views
Kwani huu utaratibu wa cha mwanaume chenu cha mwanamke chake umetoka wapi? No hii kitu sijapenda. Wife kaanza kushika hela hataki niguse hata mia wala itumike kwa kununua hata robo ya sukari...
18 Reactions
97 Replies
2K Views
Mwanamke anaweza kataa kudate na Mwanaume anayeishi kwa Mama yake, Lakini yuko tayari kudate na Mwanaume anayeishi na mke wake.
2 Reactions
2 Replies
277 Views
Mbona Dunia inaenda kasi how come ex-wako anakushauri? Au kumpa sikio ndiyo anajua ana mamlaka na Mimi anyway waga naskiliza na kuyaacha apo apo uliyoniambia. Ungekuwa unaejitambua usingekuwa...
3 Reactions
20 Replies
854 Views
My Dearest Ephen, As the sun sets on another day, my heart is filled with anticipation and excitement at the thought of seeing you. With each step I take towards you, my love for you grows...
14 Reactions
263 Replies
6K Views
Za leo wapendwa, Jamani naombeni kuuliza, hivi ni kwa nini my hubby akienda kwenye vikao na wenzake ni mpaka nipige simu mara ishirini ndo unamuona anarudi home. Nisipofanya hivyo anaweza kuja...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Kila mtu hubeba "mizigo" yake yenye nguvu. Unapoungana na mtu mnene, mwembamba, hasi, au asiye na utulivu wa kihisia, nguvu hiyo inaweza kuingia ndani yako. Chagua mwenza mwenye kuleta mwanga...
19 Reactions
43 Replies
1K Views
Unataka mwanamke mwenye kipato tafuta mwanamke ambae tayari ana biashara au ajira. Unataka mwanamke msomi, tafuta ambae tayari kashasomeshwa na wazazi wake mpaka level ambayo yeye anaitaka Usiwe...
9 Reactions
22 Replies
940 Views
Hakuna faida ya kubadilisha wanaume kama nguo maana kumbuka kadri miaka inavyozidi kwenda thamani yako inapungua huku thamani ya mwanaume ikiongezeka. Ndio maana utaona mzee wa miaka 60 akioa...
22 Reactions
54 Replies
2K Views
Habari za mda huu wakuu Poleni watanzania kwa msiba wa Dkt. Faustine Ndugulile mwana CCM pekee aliyekuwa amebaki mwenye akili Hii familia sijui wananipendea nini, anyway naamka na simu ya dada...
8 Reactions
39 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu,Poleni na mihangaiko ya kuhangaikia mikate yenu ya kila siku kuhakikisha Familia zenu zinapata mikate ya kila siku. Narudi kwenye Mada Nina evidences zaidi ya 10 naona wake za...
10 Reactions
106 Replies
12K Views
Kwema Wadau? Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu...
44 Reactions
301 Replies
13K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari, Niende kwenye mada isemayo wanaume wenye six pack ni kwa ajili ya wanaume wenzao sio wanawake. Wanaume hao baadhi yao hutumiwa na vigogo...
31 Reactions
115 Replies
6K Views
Unajua kwanini wazee wetu waliishi umri mrefu na wa furaha? Ni kwa sababu mtazamo wao kimaisha ulikua tofauti na sisi. Waliishi maisha simple tu. Mfano, pale kijana anapofikia umri wa mtu mzima...
40 Reactions
94 Replies
3K Views
Wanaume au vijana wote wanaokataa ndoa halafu wanazalisha mabinti wa watu nafikiri wachukuliwe kama zaidi ya wahujumu uchumi, hawa ni aina fulani ya waharibifu wanaotakiwa kulaaniwa, kupingwa na...
10 Reactions
37 Replies
747 Views
Habari zenu wana MMU 👋🏽 👋🏽 Ktk kuishi kwangu na kuchunguza chunguza baadhi ya mambo, nmegundua kuwa wanawake wengi wamekuwa mstari wa mbele kwenye kumiliki biashara kubwa na ndogo ambazo...
1 Reactions
17 Replies
929 Views
Wakuu habari.... Iko hivi nimelata hiyo maada hapa juu sababu naona huyu mwanamke ana kila dalili ya kutofaa/ sio wife material kabisa. Mimi ndiye niliyemnunulia simu na kumfungulia hizi...
5 Reactions
14 Replies
698 Views
Back
Top Bottom