Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

"Hakuna kitu wewe kama mwanaume unachoweza fanya ili kumfanya mwanamke aishi na wewe kwa uaminifu, sio pesa, sio mwonekano, sio power, sio chochote kile. Bali mwanamke mwenyewe tu akiamua kuishi...
13 Reactions
22 Replies
1K Views
Aliyekuacha kwenye mahusiano kuna uwezekano mkubwa sababu siyo hiyo aliyokwambia bali ni ile aliyokuficha sema kapitia hiyo kama njia ya kufanikisha njama yake ya muda mrefu. Ulisema tatizo huna...
3 Reactions
1 Replies
231 Views
Sijawahi kukutana na kituko kilichonitokea siku ya juzi, Jana na Leo. Inabidi nifikiri mara 1000, muda wote huu sikiwahi kung'amua hili. Mke wangu aliingia period kama kawaida, tarehe zake ni...
22 Reactions
105 Replies
3K Views
Yes huu ni ukweli mchungu ambao lazima Kila kijana wa kiume anayetaka kuingia kwenye ndoa aujue..........huyu ni mdogo wetu,ndugu yetu,jamaa yeti,alioa kwa mbwembwe mwanamke daktari,ndoa ina miezi...
18 Reactions
38 Replies
2K Views
Inawezekana niamke asubuhi na kwenda Kariakoo ikiwa Sina ofisi yeyote hapo???? Udalali huwa unafanywaje jamani! Kazi gani unaweza kuifanya pale Kariakoo kwaajili ya kukuingizia chochote kitu...
11 Reactions
90 Replies
5K Views
Nimekuwa myonge na nafsi Yangu inasononeko. Sikosi chakula wala pakulala...Ila nakosa furaha moyoni, naona uzito rohoni mwangu, nakosa furaha kabisa. Naona mambo yangu nashindwa yabeba...
14 Reactions
226 Replies
19K Views
Wakuu habari. Kwa wale wapenda mambo ya kikubwa! Kwenda na mtoto wako guest house Kuna mfanya kiroho kuchukua vitu vilivyowahi kifanyika kwenye hicho chumba. Usije shangaa mtoto wako mbona...
1 Reactions
11 Replies
516 Views
Hiv ni kwanini mwanamke umehamua kuishi nae wote mnafanya kazi Lakini anakutegemea kila kitu ndani basi nimenunua mwanaume kila kitu ndani bado ni mtihani hata kama sabuni imeisha anaitaji utoe...
6 Reactions
24 Replies
759 Views
Huyu Bidada niliwahifika Ofisi kwake nilikua nahitaji huduma Fulani ivi. Nilivutiwa naye yaan ni ile Tamaa tu kuona ni jeupe jeupe Nene limejaa mahips makalio n.k. Alinipea namba ila kwenye...
74 Reactions
351 Replies
24K Views
"Binti usikubali kumpa mwanaume ambaye bado hajakuoa, ukimpa hawezi kukuthamini ataona kama unampa kabla ya ndoa akiwa sio mume wako unaweza kumsaliti ndani ya ndoa kwakuwa huna msimamo na mwili...
2 Reactions
44 Replies
1K Views
Haya ni maneno ya mwanamke mmoja ambaye ni mke wa mtu nilimwomba anipe papuchi wikendi hii lakini alikataa maana sehemu yake ya Siri siyo safi hajanyoa mamvuzi siku nyingi na mme wake hayupo...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Tukitoa changamoto zingine zinawaandama vijana wa kiume ila hili la kuwa dhaifu (simp) kwa wapenzi wao ni changamoto inayozidi kuwa kubwa. Vijana wengi wamepoteza mwelekeo na kujikuta kwenye...
6 Reactions
15 Replies
698 Views
Sura zetu ngumu, kutokua na Pesa , hakutakiwi kutupotezee Nafasi ya uchaguzi. Bad boys, Alpha Male Leo natumia Uzi wa Joanah kama Marejeo wenye usemao Love at first sigh. Bidada Kwa kituo...
9 Reactions
29 Replies
6K Views
Ni miaka mingi imepita, nipo na kumbukizi nyingi, lakini hii naona inafaa kuingia top ten....nisiwachoshe sana twende kazi. Nakumbuka ilikua jumamosi, mi sio mtu wa kutoka kabisa, week end ni...
20 Reactions
124 Replies
5K Views
Umeamua kwa hiyari yako kuwa na mtu, unajua na yeye ana mzazi mwenzie na watoto, umekubali kabisaa Ya nini haya sasa jamani? Siamini kama huyu mchepuko misosi yake yoteee anayonipikia, mpaka...
16 Reactions
212 Replies
15K Views
Hii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe. Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa...
35 Reactions
189 Replies
5K Views
MTU MBINAFSI MWENYE KUJIPENDA PEKEAKE(NARCISSIST) Narcissist ni mtu ambaye ana tabia ya kujipenda kupita kiasi na kujiweka mbele ya wengine. Watu hawa mara nyingi wana mawazo ya juu kuhusu nafsi...
8 Reactions
21 Replies
861 Views
Kwema kwema wakuu... Wakuu nimekuja tena maana hapa ndio hom sweet hom.. Sifanyi kitu hovyo bila maoni na ushauri wenu wakuu.. Sasa wakuu hii ishu ya kutoka na watu wazima sasa imeanza kunipa...
10 Reactions
69 Replies
1K Views
Rejerea mada juu. am 30yrs nna mke na mtoto wa kiume(1.7yrs). Nilikua mbali na mke kwa miezi minne, narudi ananipa hyo taarifa dah. Nmewaza sana aisee Maswali najiuliza ni haya 1. Ameweka nkiwa...
26 Reactions
123 Replies
4K Views
Back
Top Bottom