Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Baada ya video za ngono za Baltasar kuvuja kule nchini Equatorial Guinea na kupelekea mijadala kuibuka sehemu mbalimbali duniani, nimejikuta najiuliza sana. Kilichopelekea nijiulize ni namna...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Nimewaza nimekosa jibu maana kuna muda unaweza Kutana na mitego ukahisi demu anakutaka baadae ukijiongeza ili umtongoze anakutosa au kuna wale unakuta ameshavumilia mpaka imeshindikana anaamua kua...
3 Reactions
13 Replies
450 Views
Iko hivi:- Irene na Mercy (siyo majina yao halisi) walikuwa wanafanya kazi kwenye supermarket. Ikatokea mteja mmoja (baba mtu mzima) aliyekuwa akipendelea kununua vitu kwenye supermarket hiyo...
24 Reactions
64 Replies
2K Views
Mabibi na mabwana Habari za uzima wenu!. Wakuu sijaenda kanisani Leo mwaka wa6 sasa bila kukanyaga kanisani. (Haiwahusu) Nina USHAHIDI na mifano mingini sana ya wanaume waliokufa na chanzo...
20 Reactions
291 Replies
7K Views
Wasalam wapendwa, Jana wakati nalala kuna moment ilinijia kichwani, nikajikuta nacheka kwa nguvu sana, miaka kadhaa nyuma nilipata mpenzi kupitia mtandao, ulikua ni Instagram. Niwe tu muwazi...
41 Reactions
539 Replies
28K Views
Jambo lolote lile zuri, Unaloliona leo litafika mwisho tu. Tukubaliane na hali ili maisha yendelee. Wanaume tukubali tu. So usiwekeze sana nguvu na mali kwa mwanamke wako hata kama unamuona mzuri...
1 Reactions
5 Replies
244 Views
Umemkuta mke wako akiwa na zaidi ya miaka 25, kubali usikubali ninyi wote mna historia na siri zenu nyingi, Ni mawazo ya kishamba sana kuhangaika utafute pesa ili mke wako aishi vizuri ukidhani...
2 Reactions
3 Replies
212 Views
How to Romance a Woman: 12 Ways to Woo the Girl of Your Dreams marriage.comDec 12, 2023 7:06 PM Romancing someone isn’t just about big surprises or expensive gifts. It’s about the little things...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mwezi wa 6, Kuna siku nilikuwa na demu mmoja home. Sasa siku Ile tulikuwa sebuleni napiga katikati ya show imekula Kali tukajikuta tupo nje tukapiga show, japo nyumba ilikuwa inafensi...
1 Reactions
1 Replies
294 Views
Kwa uzoefu wangu wa marafiki zangu waliodate na kuoa wazungu (japo mimi sijawahi) lakini nimethibitisha kwa wale waliowahi kuwaingia ni kwamba: mwanamke wa kizungu mkielewana na kukukubaliana...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
Kwanini mwanaume hapendi kutumia condom? Anasingizia haiwezi kusimama, na ukimwambia tukapime anasema ntapima ntakavojiskia sio kunilazimisha mara Sijui tukipima tutakua free sana itakua risky...
21 Reactions
133 Replies
5K Views
Kuna vijana mimi nawaona wa hovyo sana,utakuta kaoa mke ana Taaluma yake ,yeye maisha yake ni yakubangaiza mwenzangu na mimi kama sio zaidi ya mimi lakini anamzuia mke wake asifanye kazi kwa...
14 Reactions
47 Replies
1K Views
Kwa vijana wa zamani watakumbuka jinsi huduma ya kunyoa nywele ilivyokuwa ikitolewa. Kama siyo chini ya mti mkubwa wenye kivuli basi ilikuwa ni kwenye vibanda vidogo vidogo ambavyo kulikuwepo na...
2 Reactions
164 Replies
39K Views
Hello! Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam. Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao...
11 Reactions
53 Replies
2K Views
wanaume wenzangu hamjambo sina mengi sana ya kusema, ila hili ni muhimu sana, kumekuwa na malalamiko mengi sana ya mahusiano na ndoa, bila kusahau wanaume tunakosea hapa, unapotaka kuoa...
9 Reactions
24 Replies
494 Views
Niwape story kidogo,Mimi napenda sana wanaume wanaovutia, uyu mwanaume nilimpenda mwenyewe!!!! Kuna sehemu tulikua tunakutana kila siku ni sehemu ambayo Mimi nilikua nafanyia kazi, sasa kwenye iyo...
28 Reactions
92 Replies
5K Views
Hiki ni kisa kinamuhusu mmoja wetu humu Jf...alisoma story ya Bella akaomba anisimulie story yake nami niiandike muisome...anaomba radhi kwa atakaowakwaza , yalishatokea ,anapambana...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Habari wana MMU. Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi. Back to the...
12 Reactions
277 Replies
61K Views
Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia. Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na...
35 Reactions
763 Replies
30K Views
Wandugu huwa mnakabiliana vipi na hali ya kutakiwa kuamua maamuzi magumu ya kuumiza moyo? Mnafanikiwa vipi kuipita hiyo changamoto?. 🥺🥺 ili uwe sawa kama hapo kabla 😔
6 Reactions
82 Replies
1K Views
Back
Top Bottom