Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Juzi kati mke wangu alikuwa anapitia msongo wa mawazo sana, anasoma ukubwani kwahiyo kubalance biashara na kisomo kinamramba, kama wiki mbili anadeal na kesi ya wizi dukani kwake na mitihani...
13 Reactions
30 Replies
1K Views
Hakuna msamaha wa cheating kwa mwanamke wako kaka. Usithubutu kuruhusu kudharaulika mara mbili hatakama mtu unampenda kiasi gani. Mpaka akathubutu kuruhusu kupanga siku mpaka wakaingiliana...
8 Reactions
21 Replies
922 Views
Watu wengi wanasikia tu kauli kuwa sio vizuri kumnyima mwenye njaa chakula lakini wengi wao hawana ufahamu hata kidogo kwasababu gani ni mwiko na kosa kumnyima mtu chakula. Kuna wengine anaweza...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Mkutoka hapo mkafunge mkaombee sio jambo la kawaida nawashauri Na ishahidi wengi yaliyowatokea wamelia kwenye ndoaa nami nataka wewe unaejiandaa kwa ndoa usiogope Ikikutokea hiili nendeni...
2 Reactions
3 Replies
268 Views
Wakuu kama kuna mwanamke hapa mwajiriwa aliyepo morogoro au mpanda nifunge nae ndoa ili niweze kuhama huku niliko wilaya ya pangani mkoa wa Tanga mimi ni muajiriwa sekta ya Afya maana huku niliko...
3 Reactions
43 Replies
1K Views
Unajua kuwa maisha ya kuwa single ni magumu, hivyo tunahitaji kuwa na maisha ya wawili, tupate watoto na tujenge familia. Kwa wale walioolewa kuanzia mwaka 2020 hadi 2023, maisha ya ndoa yakoje...
6 Reactions
48 Replies
1K Views
Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi...
6 Reactions
94 Replies
2K Views
Habarini za majukumu wakuu? Poleni na kazi za ujenzi wa taifa. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye point, Nina msichana toka huko Tanga kwa wasambaa, sasa nahitaji kufanya nae...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Swali wakuu, Je, mwanaume anaweza kutumiwa kingono na msichana? Kuna msichana mmoja ambaye kila mawasiliano ni kuhusu mambo ya ngono tu, hana mada nyingine. Kila nikijaribu kubadilisha...
0 Reactions
4 Replies
261 Views
Bwana Gary Chapman anatupa Code ya kumjua mwenza wako na vitu gani umfanyie ili yeye AHITIMISHE KWAMBA ANAPENDWA NA WEWE unaweza kufanya mambo mazuri tu lakini kwake yakawa sio kitu kwa sababu tu...
0 Reactions
0 Replies
407 Views
Kwanini umfukuzie naye wakati haonyeshi juhudi zake kukufukuzia? Nilikumbuka nilipokuwa nikiburudika na Ex wangu, Sally. Alikuwa na mazoea ya kuweka simu yake kwenye silent wakati wowote nikiwa...
9 Reactions
11 Replies
1K Views
Wasalaam Wadau huu uzi nimefikiria kuuanzisha ili kupata maoni ya kina Dada/Wanawake wa humu Jamiiforums. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza Dada zangu ni nini hasa au kitu gani huwa...
21 Reactions
446 Replies
15K Views
Salalee, Malikia cute ni habari ya Dunia, ukishangaa ya Musa basi subiri uyaone ya Filauni, yaani Malkia cute anafaa kwa pigo zote daima mbele nyuma mwiko na, habari ya mjini usikose nyama, na...
9 Reactions
66 Replies
4K Views
Ni hapa ninapokaa Kuna hiki kibinti kimeamia juzi juzi tu hakana ata miezi mitatu, Si mnajua hizi nyumba za kupanga huku kwetu Kwa kina sisi apeche alolo bafu na choo Huwa ni vitu vya kushea ...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Shtuka! Usafi wa mwili wako ni jukumu lako.... Swaka kinywa chako zaidi ya mara moja kwa siku. Kama shughuli zako ni za juani baada ya kumaliza kazi koga vizuri na sugua vizuri kwapa zako, tena...
3 Reactions
6 Replies
366 Views
Ndugu zangu.. Japo wanaume tuna mioyo migumu ya kuvumilia kila jambo ila hakuna kauli inayouma na kujeruhi sana kama kuambiwa huna "UTU" na mkeo Sasa . Hivi nyie wezangu mkiambiwa hamna utu na...
0 Reactions
9 Replies
309 Views
Siku ya ‘Boyfriend Day’ huadhimishwa kila Oktoba 03 ya kila mwaka. Ni siku inayotumiwa na watu kuonesha upendo na shukrani kwa wapenzi wao wa kiume. Usiniulize gfriend day bado naitafyta kwenye...
0 Reactions
4 Replies
201 Views
Siku ya ‘Boyfriend Day’ huadhimishwa kila Oktoba 03 ya kila mwaka. Ni siku inayotumiwa na watu kuonesha upendo na shukrani kwa wapenzi wao wa kiume.
1 Reactions
7 Replies
361 Views
Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu. mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake...
20 Reactions
134 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…