Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Guys, embu lets discuss hili swala. Watu wengi huchukulia sex kama jambo kuuubwa, na wengine they go to extreme measures iliku-have sex. Na watu ambao either ni mabikra au hawaja-sex kwa muda...
6 Reactions
95 Replies
4K Views
Kutokana na hali ya tamaa kubwa ya fedha ,mafanikio na kuishi maisha ya kifahari,suala la kuwa na mke au mpenzi mzuri na akaridhika linaonekana kama haliwezekani kabisa katika nchi yetu hii...
2 Reactions
1 Replies
306 Views
Wasalaam, Wana JF wote. Leo nina mada kidogo kuhusu suala la uchepukaji kwa wanaume hususani walioko katika ndoa kunakosababishwa na wanawake wenyewe. Nikiwa miongoni mwa wanaume walioko katika...
4 Reactions
38 Replies
3K Views
https://www.facebook.com/share/v/wXRUZzMo624yBNyF/?mibextid=Mk4v2M Majamaa waliingia nyumbani kwa Diddy na wakachukua kila kitu, ikiwemo hard disk za kamera za siri ambazo Diddy alikuwa ameweka...
15 Reactions
32 Replies
7K Views
Haka kamji ni kazuri sana for sure..hakana makelele kama ya Dar,Mwanza au ARUSHA. So like niko hapa since juzi but sina kampani ya kueleweka. Kama kuna mwana MMU wa kike yuko iringa na she needs...
12 Reactions
52 Replies
2K Views
Nawatakia binti zenu mliowazaa au mtakaowazaa na wakutane na wanaume kama wewe. Nimemaliza. Ukweli unaoumiza.
7 Reactions
23 Replies
390 Views
Kama kuna Mtaalam wa Afya anisaidie hivi kwamfano mtu akipima na akakuta anamimba halafu baada ya siku ya hedhi akatokwa na damu kwa siku moja tu kisha akaenda hospital kuangalia. Akaambiwa...
0 Reactions
7 Replies
305 Views
Huo ujasiri wa kuchojoa nguo zote hadi za ndani mnautoa wapi na unakoroma kabisa dah aise? Mmewajazeje ndrugu zangu wanaume? Na je, ni vizuri au vibaya?🐒
9 Reactions
63 Replies
2K Views
MEN STOP DATING A LIABILITY! 1. A girl who doesn't have transport fare to visit someone that she claims she love. (liability) 2. A lady who can't get you birthday or valentine gift but expect...
5 Reactions
13 Replies
759 Views
Kweli Mapenzi ni upofu Kweli na mwanamke akipenda anapenda kweli kweli ..Hizi ni Picha Zinazovuma za Wanandoa Waafrika wanaishi pamoja Mume na mke. Binti amesema "Nampenda mume wangu ananijali...
0 Reactions
4 Replies
360 Views
Yaani unaweza hisi wanatengenezq moviee aisee Niko beach moja nimekuja mazoezi naangalia mabinti na wake za watu wanavyochanuliwa maapaja yao ati mazoezi Aisee nisisikie mke wangu amekwenda...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Ukiondoa chawa, high profile leaders, watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama, makada wa CCM na watoto wa mama. Waliobaki kama ukifikisha umri wa kustaafu miaka 60,uwe umejiajiri au umeajiriwa...
15 Reactions
103 Replies
2K Views
1. Hujamba jamba sana bila mpangilio ila huwa kunakuwa hakuna Harufu ya Kukera. 2. Akikaa iwe katika Kochi au Kitu hupenda Kujibinua na hawezi kutulia kwa muda mrefu. 3. Ukiwa nae Faragha Kufanya...
13 Reactions
30 Replies
52K Views
Sifa kuu ya Wanaume ni kwamba wanaweza kukaa pamoja wakanywa, wakala, wakataniana, wakabeti, wakapiga story za simba na Yanga Pia wakashauriana kuhusu, mambo mbalimbali yahusuyo maisha na hata...
20 Reactions
53 Replies
2K Views
Kwema humu? Leo naomba tushee experience kuhusu huu mchongo mzima wa kubananishwa kwenye kanyampasila a.k.a kufumania au kufumaniwa. Ilikuwaje? Ngoma iliishaje?
1 Reactions
3 Replies
426 Views
Umuofia kwenu ndugu zangu JF, Mara kadha wa kadha kumekua na malalamiko kwa watu mbalimbali kuhusiana na long distance relationship, ambapo watu wengi wenye mahusiano kama haya wamekua...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Baniani mbaya kiatu chake dawa. Si kila mwovu hakyna cha kujifunza kwake la hasha. Hii tabia ya matajiri kuandika mali zao majina ya mama zao au watoto inasambaa sana na ni kitu wanaume...
3 Reactions
7 Replies
892 Views
My weekend is wacko. Kuna watoto wazuri wa rafiki yangu watakaa na mimi mpaka katikati ya Nov. ila sijui nisemeje nisionekane wicked aunty ila wamekuja J nne na tayari niko super stressed na Nov...
23 Reactions
236 Replies
4K Views
Msaada Kuna vita vimeibuka kati ya mama yangu mzazi na mke wangu!! Ninafanyaje ndg zangu, ninashindwa kumjadili mamangu kwa kumkosoa mbele ya mke wangu.!! NB: mama anaishi kwake na mimi naishi...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Igweeeeeeeee!!! RIP WARUMI! (Mimi na wewe tulikuwa na tofauti zetu za hapa na pale but all Ina all you were a good man, young and vibrant! You will be much missed! Haswaa vi chambo vyako! ) Im...
36 Reactions
343 Replies
42K Views
Back
Top Bottom