Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

1. Siku Moja Utastaafu. Hautakua ukienda kazini, hautakua na madaraka tena, hautakua na nguvu ya ushawishi, mzunguko wako wa pesa utapungua kabisa! Chunguza/fuatilia tarehe yako ya kustaafu kwenye...
11 Reactions
23 Replies
793 Views
Hayo siyo maneno yangu, ni maneno ya mwanzilishi wa KATAA NDOA, the late Le Mutuz. Baadhi ya mambo yanayokera kwenye kuanzia kwenye uchumba ni pamoja na maswali ya kijinga kama:- *Umelala...
9 Reactions
22 Replies
715 Views
Hii habari ya kumnyima papuchi mtu ambaye amekuhakikishia kukuoa, eti tu kwasababu wengi waliwahi kutumia mbinu hiyo kisha wakamega na kusepa, itawakimbiza wachumba wengi. Mtaishia kuvaa sare...
17 Reactions
152 Replies
12K Views
Mke atakuwa anajibidisha sana kwa kila kitu lkn moyoni atakuwa hayumo kabisa, na hata "moto atakuwa hauwashi". Ataonekana kama mjomba tu. Jamani ndoa Ina raha kama umeoa pisi inayouwehusha moyo...
15 Reactions
71 Replies
2K Views
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo. Siku hizi...
56 Reactions
213 Replies
6K Views
Sizungumzii kwa wake zetu au wapenzi tunaowaamini ... Nazungumzia hawa wa kuokota okota ..
5 Reactions
17 Replies
532 Views
Kuna vitu vingi humvutia mtu inapokuja swala la kumchagua mpenzi, siwezi taja sifa zote, kila mtu anasifa zake na vigezo vyake, ila ngoja tuongelee mvuto wa kipekee unaopatikana kwa wanaume wenye...
16 Reactions
231 Replies
10K Views
Nilichokiona baadhi ya wabongo wanatamani kuja Marekani, ila akili ya rushwa imetutawala kiasi ambacho badala ya kutafuta namna sahihi ya kuja tunatafuta namna ya kutafuta wa kumpa rushwa ili...
4 Reactions
10 Replies
414 Views
Salaam, Upendo wa mwanamke upo dynamic, hutegemea zaidi matarajio yake alonayo kwako kukamilika. Mwanamke akikupenda, na ukakidhi matarajio yake, utakula mema ya nchi na kujiona mwamba. Ikiwa...
6 Reactions
8 Replies
381 Views
Ingawa uwiano wa maambukizi ya HIV inaonyesha wanawake ndio walioambukizwa zaidi kuliko wanaume, ila nimegundua wanaume wanacheza rafu sex sana. Mwaka 2018 January nilkutana na mwanaume humu...
46 Reactions
673 Replies
48K Views
Utakuta baadhi ya wanaume wanahangaika kutafuta tiba, kufanya mazoezi ili kuwa na maumbile makubwa. Na bado hawafikii lengo. Sasa wewe kama una kibamia; kwanza: mpende mkeo/mpenzi wako kwa...
19 Reactions
156 Replies
5K Views
kisa chenyewe ndø kama ifuatavyo .. Mimi nikijana mwenye miaka 20 sasa katika safari yangu ya maisha nimekuwa napitia changamoto nyingi katika masuala ya mahusiano ambapo masuala ambayo Mimi...
3 Reactions
24 Replies
469 Views
Huyu mwanamke ananipenda sana ila sijui kwanini alinisaliti, aliomba msamaha nikamsamehe yakaisha ila nikikumbuka naumia mno sometimes. Ila siwezi kumuacha maana hata mimi nampenda sana yaani...
14 Reactions
106 Replies
2K Views
Kabla sijaenda kwenye mada, niseme tu ukweli, mimi ni kati ya wale wanaume wahongaji. Nikiombwa pesa na mtoto wa kike, kama ninayo, nampa bila kusita.kwanini?, fatilia andiko langu. Wiki kadhaa...
53 Reactions
112 Replies
9K Views
Niliambiwa, Bro, kummudu huyo yataka moyo. Nikajiwazia tu, shujaa hatelezi anapanda milima mingi mpaka kufika kilele, hawa waniache. Nikamtafuta kweli nikaanza kummiliki taratibu japo hakuwa...
2 Reactions
40 Replies
2K Views
Bwana apewe sifa. Kwanza kabisaa nitoe shukrani za dhatiii kabisaa from bottom of my heart kwa WANAUME. Sio siri bila nyinyi sisi sio kitu kabisaa. Ukiona mwanamke ana jeuri ujue kaitoa kwa...
16 Reactions
56 Replies
8K Views
Habari za leo wananchi wenzangu? Kuna binti mmoja huwa nampa lifti kwenye subaru impreza yangu kwenda job coz kazini kwangu na kazini kwake ni njia moja, sasa leo nimepata dharura, nikamwambia...
15 Reactions
108 Replies
12K Views
Wanawake ni viumbe vya hisia. 90% ya matendo yao yanaendeshwa na hisia zao. Ndio maana watachukua hatua kila wakati kabla ya kufikiri na baada ya kusababisha uharibifu mwingi, watakuja kuomba...
28 Reactions
107 Replies
4K Views
Habarini wanajamvi. Imeshakuwa ni wimbo wa taifa kuwatuhumu single mothers kwa uzembe na kuwa number one suspects katika kushiriki kuibomoa taasisi nyeti sana ya familia. Upo ukweli katika...
9 Reactions
79 Replies
6K Views
BY DAYAN MASINDE? The bedroom is the epicenter of love, it sets the mood of the home and affects everything in the house and family including parenting. The bedroom should be: 1. ?A prayer altar...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom