Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wanawake wana akili zaidi ya tunavyowadhania, sema tuu hujifanya kama hawana akili, haswa akiwa karibu na mtu anayempenda na anayemwamini. Huwa wanajizima data na kujifanya hawana akili au mambo...
16 Reactions
39 Replies
1K Views
Salaam, Wanawake ni viumbe tata kuishi nao, ikiwa huna ABC kuwahusu. Namshukuru mwanamke wangu, kwa kushare nami ABC nyingi kumhusu mwanamke, zinazonirahisishia kudeal nae. Mwanamke anapenda...
18 Reactions
80 Replies
2K Views
Nilikuwa Chuo mwaka wa Pili, mtaani nilikutana na mama muuza uji. Alikuwa ni Mnyarwanda anaitwa Linah, kwa ujumla alikuwa mrembo sana(black beautiful, hips kubwa, tako laini na kimo chake ni Kama...
11 Reactions
29 Replies
4K Views
Huu ndio umri wa watu wengi wa lala salama katika mahusiano ya kufa na kuzikana. Kama umefikisha huo umri,na mahusiano yako hayaeleweki eleweki, chukua hatua mapema. Kama ni mwanamke, na una...
3 Reactions
5 Replies
396 Views
Habari. Nimejikuta namchukia mke wangu. Nimejikuta simpendi tena. Kufupisha story kuna mwanamke niliibahatika kuzaa nae hivyo nikaamua niendelee kuishi nae na kutoa mahari kwao. Ila kwa sasa...
25 Reactions
61 Replies
2K Views
Kwa wanaume wote ukienda shule ya udereva utayaona magari mengi lakini usilichukue hata moja ,bali tumia magari hayo kujifunza kutembesha lipia gharama zake kisha yaache hukohuko. Kisha nenda...
10 Reactions
10 Replies
507 Views
Ndugu wanajamvi, nimeingia uwanjani kuzungumza mada ikiwa, hawa madada zetu wa kileo wanavyo jiachilia kwenye mahusiano. Nazugumzia wadada walio kwenye macho yetu kila mara, yaani mtu anae...
6 Reactions
14 Replies
460 Views
Mwanaume usije ukaruhusu kutowajibika kwa mwanamke kuwa wajibu wako. Kama unataka kukua kiuchumi au kimafanikio basi jipe kipaumbele wewe mwenyewe zaidi ya uyo mwanamke. Kila binadamu ambae ni...
14 Reactions
45 Replies
1K Views
Wakuu kama kawaida katika harakati tunakutana na wadau kwenye event mbalimbali. Nami leo nikashiriki tukio fulani hivyo lilikuwa na watu wengi sana. Mwisho ikawa utambulisho. Basi mtu anasimama...
5 Reactions
7 Replies
424 Views
Niko kwenye mahusiano na huyu Binti ana miaka 28, huu ni mwaka 3. Nampenda sana na tulishapanga mipango mingi, shida nikuwa hivi karibuni kabadilika sana na sioni kama nawezana naye. Kwanza...
1 Reactions
14 Replies
807 Views
Case study. Chukulia wewe ni kijana wa familia flani ambayo Mama wa familia ni Mama yako mzazi Baba ni wakufikia unasoma na huishi hapo Home unarudi mara Chache. Hapo...
3 Reactions
4 Replies
242 Views
Habari zenu wakuu, Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana zikiwasema wanawake waliozaa nje ya ndoa kuwa hawafai na sio wa kuwaoa abadani. Kiukweli hili suala ni nyeti na linahitaji mjadala mkubwa ila...
17 Reactions
160 Replies
8K Views
Ili mwanamke akubari kuolewa au kua ktk mahusiano na mwanaume Kuna vigezo huwa wanavingatia, kwa % Kubwa ya wanawake anachoitaji ni kuhudumiwa. Na kupata unafuu wa maisha, kiujumla wanawake wapo...
4 Reactions
10 Replies
758 Views
Habari Wakuu, Kila mmoja anatafuta nini afanye kudumu kwenye penzi haijalishi ni ndoa au mahusiano ya kawaida. Ukweli ambao inawezekana hatuujui ni kuwa ,HAKUNA kanuni maalum ya kulinda penzi...
3 Reactions
3 Replies
414 Views
Habarini wanajamvi, kama tittle inavojieleza, sina amani ndani ya ndoa kwa muda mrefu sasa najikuta nina stress hadi afya imeanza kuzorota. Nipo kwenye ndoa mwaka wa 10 sasa, nilifurahia mapenzi...
20 Reactions
150 Replies
23K Views
KUKOSA PESA KUNAWEZA FANYA UONEKANE MSUMBUFU KWENYE MAHUSIANO 😔 Maskini unaweza kuwa na upendo tu wa dhati na uaminifu mkubwa ila kukosa kwako tu pesa ukaonekana MSUMBUFU kwenye mahusiano...
10 Reactions
46 Replies
1K Views
Wakati mwingine najikuta naamini kwamba yupo shetani aliyeumbwa maalumu kwa ajili ya kuniweka kwny matatizo tu, tena amepitishiwa kwa hawa ndg zetu wa jinsia ya kike............. Nilikuwa kimya...
3 Reactions
226 Replies
27K Views
Habari wana MMU. Mke wangu anavaa mavazi yasiyomsitiri tukiwa chumbani. Nimesema sana naona haelewi, miezi sita kwenye ndoa lakini mambo mengi ambayo nilikuwa siyataki ameyaacha, swala la mavazi...
31 Reactions
133 Replies
4K Views
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira? Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye...
27 Reactions
210 Replies
15K Views
Good evening JF, Kwanini baadhi ya wanaume hampendi kuwasifia wake zenu, wachumba zenu au wapenzi wenuu?...unakuta mwanamke ni mzurii au una kitu kizurii mwilini mwako labda mguu, jicho, nywele...
11 Reactions
60 Replies
1K Views
Back
Top Bottom