Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

WHY I WANT A WIFE By Jasmine Flower I absolutely LOVE this article. It was an assigned reading for an English class I took in university. The humor and sarcasm in it are just perfect and...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha...
36 Reactions
541 Replies
38K Views
Kwenye mahusiano lazima mnakuwa mnagombana na muda mwingine mnafurahia baada ugomvi kuisha Jamani kwangu mimi, nikiwa kwenye mahusiano na mwanaume halafu tukaishi kwa muda mrefu na kama binadamu...
15 Reactions
147 Replies
13K Views
Mabinti,mabinti,mabinti,tena wa secondary na chuo wamekuwa na tabia mbaya sana Siku za nyuma mabinti walikuwa wanaogopa wanaume walio oa lakini siku hizi ndo wanakimbiliwa sijui kwa nini Siku...
12 Reactions
69 Replies
9K Views
Ni kawaida kwa kijana mwenye 20s hadi 30s kuchepuka na mabinti wenye 20s, hata wakiwa out watu huwachukulia kawaida, gepu la rika halistui. Ishu inaanza ukifika 40+, wanawake ambao ni feasible...
2 Reactions
4 Replies
575 Views
Wanaume wengine bwana,akianza kukutongoza au njia ambazo wanatumia kukutongoza ni vituko,huwa nabaki kushangaa kwa ukweli Angalia hapa 1,Huyu yeye anakuomba namba, unampa,yeye anakuwa...
19 Reactions
421 Replies
46K Views
1. Kundi la Dada zetu (diaspora pori) wanapambana huko Arabuni. 2. Nilikua Dubai, Ile kuingia Tinder nakutana na mbongo ila nikajikausha kama sitoki Bongo. 3. Hela ngumu Sana aisee. Wacha...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Yaani hakuna kitu kinachonikera Mimi binafsi sijui wanawake wengine ni kutongozwa asubuhi Tena mbaya zaidi unakutana na mwanaume asubuhi unatoka dukani anaanza kukutongoza huwa nachukia balaa Au...
5 Reactions
79 Replies
7K Views
Wanawake wa Dar,tukutane hapa tujadili mstakabali wa wanaume wa Kinondoni Hali si shwari jamani,tunawasaidiaje jamani Kwa utafiti huu kuwa "Wanaume wa Kinondoni wana matatizo ya nguvu za kiume"...
3 Reactions
64 Replies
9K Views
Unaamua kuwa na mchepuko,unamficha mume wako kwa miezi kadhaa bila yeye kujua Unanogewa na penzi la mchepuko,na mapenzi kikohozi taratibu inaanza kufahamika una mwanaume mwingine Mmeo anakubana...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Kwa kweli haka kajitabia sio kazuri kwa sisi wanawake ambao tumechumbiwa Umechumbiwa, kila hatua imefanyika na harusi imepangwa bado tu humuachi boyfriend wako Na hii tabia ya kumuaga boyfriend...
20 Reactions
158 Replies
17K Views
Kwenye mahusiano ya boyfriend na girlfriend au mahusiano yoyote yale lazima kunakuwepo na kuhitilafiana kwa hapa na pale Linapokuja suala la kugombana ya wawili hao kinachofuata ni kusuluhishana...
43 Reactions
340 Replies
40K Views
Mapenzi haya asikwambie mtu Mtu mnakutana kwenye mitandao ya kijamii, mnafahamiana huko na kubadilishana hadi namba za simu Baada ya muda mnaingia kwenye mahusiano ya kimapenzi Mnaendelea...
11 Reactions
140 Replies
10K Views
Unaweza ukakaa mwenyewe kwa muda mrefu bila kuwa na mwanaume ukaona hakuna stress kabisa Lakini kuna muda unafika mwili unahitaji utimiziwe haja zake,unahisi kuhitaji dume, unachoka kujinyosha...
14 Reactions
137 Replies
10K Views
Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu...
31 Reactions
386 Replies
25K Views
Nimejiuliza sana kwa aliyoyafanya huyu jirani yangu Huyu mwana mama ana mume wake na watoto 4 na wa kwanza yupo kidato cha 4 wa mwisho yupo drs la 3 Huyu mwanamama alikuwa na mchepuko wake,sasa...
5 Reactions
61 Replies
5K Views
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi...
75 Reactions
847 Replies
63K Views
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi 1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30 2. Nikimkubalia...
22 Reactions
113 Replies
11K Views
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo, lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana. Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga...
10 Reactions
108 Replies
14K Views
Kuna vibwanga duniania aisee, unaweza ukawaza mpaka usipate jibu Huyu mdada akiwa na umri wa miaka 20 aliwahi kutongozwa na mwanaume mwenye umri wa miaka 38 hivi,lakini huyu dada alimkataa kwa...
7 Reactions
44 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…