Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nilikua Na Mahusiano Na Mfanyakazi Mwenzake, Kajua Naona Kama Kabadilika! Mwezi wa 3 mwaka jana nilianzisha mahusiano ambayo hadi sasa ninajutia kwanini niliyaanzisha. Ni mahusiano ambayo...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanaume kutamani na kumpenda msichana ama mwanamke wenye makalio makubwa siyo ajabu, yote ni vionjo viletavyo ladha katika mapenzi. Utajifunza mapenzi uendana na wakati katika kuthaminisha...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Ni Heri kidonda cha mguu kuliko cha moyo. Watu wengi wanapitia mateso makali tena yanayochoma zaidi ya moto wa nyika na hii ni kutokana na kushindwa kusahau makosa waliyofanya kipindi cha nyuma...
5 Reactions
3 Replies
304 Views
Je, wajua ni ipi lugha yako ya kimahaba? Japo tunaweza kusema kuwa haya ni mambo ya wazungu. Lakini kihisia binadamu wote tupo sawa huku tukiwa na tofauti ndogo ndogo zinazotutofautisha na...
4 Reactions
8 Replies
419 Views
Habarini Wadau, Katika mahusiano ya wapenzi inawezekana kabisa kumpata mpenzi mwenye vituko au maajabu (sio jini ila mtu) Kuna wanaokutana na Vikojozi, wenye mapepo, walafi, maneno mengi n.k...
60 Reactions
566 Replies
138K Views
1)WANAAMINI KABILA LAO NDIO BORA KULIKO YOTE Wanaamini kabila lao ni bora kuliko yote na ni lazima kila Mtanzania ajue kabila hilo na kama kuna mtu ambaye halijui basi mtu huyo ni...
6 Reactions
280 Replies
78K Views
Habari mazee wote kwa pamoja na umoja wetu. Twende kazi
1 Reactions
1 Replies
148 Views
Kwa upande wangu kuna kipindi nilisafiri kwa siku kadhaa, nikiwa huko nikapigiwa simu kwamba wezi wamevunja dirisha ghetto kwangu na kuniibia. Ikabidi nikatishe shughuli zilizonipeleka kule na...
66 Reactions
243 Replies
10K Views
Siku hizi ukichati na manzi tinder au badoo utakuta manzi anasema yuko chuo flani, UDSM, IFM, SAUTI n.k. Ajabu ukiomba tunda atakupa bei then namba ya simu then mnakutana eneo la mikasi. Huwa...
15 Reactions
126 Replies
25K Views
Mara nyingi nimekuwa nalaumiwa sana na mabinti ninaokuwa nao kwenye mahusiano kuwa sipendeki,kwa madai kadhaa ikiwemo kuwa sijali na au sionyeshi kama napenda kweli ile upendo wa kuonekana...
14 Reactions
80 Replies
2K Views
Wasalaam rafiki na Members wote humu. Kama kichwa cha huu uzi kinavyojieleza rafiki yetu na mpendwa wetu Ms Leejay49 amerudi na anasema amepona. Nasema Alhamdullilah kwa maombi yenu na dua zenu...
19 Reactions
72 Replies
1K Views
Nimemuacha Mume wangu kwaajili yake yeye hajali kanitelekezea watoto wake! Hapa ofisini kuna kaka mmoja ni mwalimu mwenzangu. Wakati naajiriwa alinikaribisha vizuri sana kiasi kwamba alihangaika...
22 Reactions
109 Replies
3K Views
Huwa najiuliza mtu unaingia gharama kubwa, unainvest muda, pesa na hisia. Wengine mpaka wanakosana na majirani na ndugu kisa hii kitu eti ni mali yangu sitaki kushare na mtu. Wakati kila mtaa...
3 Reactions
9 Replies
448 Views
Kila mtu anataka kuwa katika upendo, lakini si kila mtu yuko tayari kujitolea kweli. Hapa kuna njia rahisi za kujaribu ikiwa ni upendo wa kweli: Mtihani wa Ukweli: Mapenzi ya kweli ni ya...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Chama cha wakataa ndoa wengi wao wameangukia kwa hawa wadada wa humu ndani Habari ndugu zangu ikiwa ni jumamosi ya mwisho ya mwaka 2023. Nayasema haya kutokana na utafiti wangu wa kimnya kimnya...
43 Reactions
477 Replies
14K Views
Kuna dhana imejengeka miongoni mwa jamii kuwa haifai kwa mwanaume kuoa mwanamke aliyekutana nae maeneo ya starehe kama vile Bar, klabu na kwingineko. Watu wengi wamekuwa wakiwahusisha wanawake...
9 Reactions
32 Replies
977 Views
1. Sanaa ya kutongoza ni ngoma maridadi ya mvuto, haiba, na uhusiano wa kihisia. 2. Inapita zaidi ya mvuto wa kimwili, kuingia katika saikolojia ya tamaa na mwingiliano wa kibinadamu. 3...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Habari Hivi taratibu za ndoa za bomani zikoje? Je, faida au hasara za kufunga ndoa bomani ni zipi? Utaratibu wa kufunga ndoa yenu bomani mnatakiwa muwe na barua ya serikali ya mtaa kwaajili ya...
7 Reactions
52 Replies
31K Views
Kwema Wakuu! Najua Wanaume wengi suala la kuwa na Mwanamke mmoja NI kipengele. Hiyo siô tatizo. Raha ya mchepuko úwe pisikali iliyonyooka, yàani Mtoto matata, kiuno thelasini, hipsi thelasini na...
6 Reactions
39 Replies
1K Views
Back
Top Bottom