Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwa mfano kuna mpangaji mpya amewasili mnapoishi ila baada ya mwezi akamuomba namba ya simu mkeo kwa siri kwamba lengo wewe usijue tena alivyo mshamba akatumia kimemo na ushahidi upo wa kimemo na...
14 Reactions
68 Replies
2K Views
Habari.......! Kama kichwa kinavosomeka hapo juu, naandika ujumbe huu nikiwa chumbani kwangu peke yangu, mimi binafsi ni introvert na najikubali sana na hii personality yangu but hadi sasa...
13 Reactions
78 Replies
2K Views
Mimi sio mnywaji wa pombe ila mara kadhaa nimesikia wanawake wakilamikia waume zao wenye hizo tabia, Malalamiko yanakuwa makubwa zaidi wakinywa nje kuliko wakinywea nyumbani. Iwe ni bar, lounge...
1 Reactions
50 Replies
1K Views
My Take, Jamani wanandoa si vizuri kunyima utamu wa tendo la ndoa :rolleyes::) ======= Mbunge wa Iringa Mjini, Jesca Msavatavangu amelitaka Bunge kuanzisha sheria ya kuwashughulikia watu waliozaa...
0 Reactions
3 Replies
445 Views
Aisee wiki inaisha na mwezi unaisha, kwa huku Marekani hapa nilipo leo kuna mechi kubwa sana ya American Football, kwa hiyo ofisi nyingi zimefungwa saa sita mchana. Na kuanzia hapo ni wadau tu...
2 Reactions
16 Replies
618 Views
Ni kisa cha miaka 10 iliyopita lakini mhusika anapitia kipindi kigumu mpaka sasa Ilifikia kipindi anashinda sana kanisani mpaka anaacha watoto nyumbani, hapiki analipa kanisa kipaumbele, kuchukua...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Msitumie mate wakati wa tendo la ndoa "Sio salama kutumia mate kama kilainishi wakati wa tendo la ndoa kwa sababu kuna vijidudu ambavyo vipo katika mate, kwa hiyo vinatakiwa vikae huko huko...
8 Reactions
74 Replies
7K Views
Hapo vip!! Mimi ni kijana rijali haswa ila baada ya kumchunguza kiumbe anayeitwa mwanamke kwa miaka mingi nimegundua sintoweza kuishi naye kwasababu kipindi cha nyumba nikiwa kwenye mahusiano...
14 Reactions
49 Replies
2K Views
NANI MWENYE MAPENZI KAMA YA BONNIE NA CLYDE? Kuna msemo wa Kilatini unasema Hostis Publicus, ukiwa na maana ya adui wa watu (enemy of the people). Aprili 1930, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya...
12 Reactions
21 Replies
8K Views
Tuishi nao kwa akili, haya maandiko sio mm. Mwanamke ameumbwa kupenda, sasa wewe ukienda na mambo yako ndugu utaishia na talaka. Wale hawataki shida yaan kama unajua una tatizo la afya ya akili...
13 Reactions
43 Replies
1K Views
WANAUME MNA NINI LAKINI ? ▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂ Nina umri wa miaka 24 Nina mtoto mmoja baba wa huyu mtoto wangu nilikuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka kama mitatu hivi. Ni mwanaume ambaye nilimpenda...
3 Reactions
16 Replies
905 Views
kuna huyu dada ye mwenyewe ndo alijileta, baada ya muda kwenye mahusiano nikamwambia ukweli kwa nia njea ya kumsaidia kua mi naona yeye sio type yangu , kuliko kupoteza muda ni vema aangalie...
2 Reactions
9 Replies
372 Views
Unakuta mkeo ni mrembo na ni mtu mwema sana kwako hadi raia mtaani wanatamani wakupore lakini cha ajabu wewe mwenye Mke mwenyewe umeshamkinai mtoto wa watu kitambo. (Hapa ndipo shetani...
13 Reactions
57 Replies
2K Views
Muogope sana mtu ambaye bajeti zake za kuishi tu ni kubwa zaidi ya uwezo wake kujimudu yaani yupo radhi aishi kwa madeni ili nje aonekane tajiri. Muogope sana mtu ambaye yuko tayari kumiliki...
0 Reactions
0 Replies
203 Views
Adam hakuzaliwa bali aliumbwa.. Hii ni kwa mujibu wa misahafu ya baadhi ya dini.... Eva naye hakuzaliwa bali ilikuwa ni kama kitu leo hii tunaita cloning.... Lakini cha ajabu hakutokea kama...
6 Reactions
118 Replies
19K Views
Mimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida. Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu...
7 Reactions
98 Replies
2K Views
Wakuu heshima yenu, Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote. Kilichonileta...
8 Reactions
80 Replies
3K Views
Kugusa ni lugha ya kimya ya upendo" huangazia athari kubwa ya mguso wa kimwili katika kueleza hisia, mapenzi, na upendo bila hitaji la mawasiliano ya mdomo. Njia hii ya mawasiliano isiyo ya maneno...
2 Reactions
1 Replies
576 Views
PUNYETO -Hapa siongei sana 😂😂😂😂😂 mara moja moja usiwe kama kina drone yaani wenyewe kwa siku mara 7. kuna watu now wanasumbuliwa sana na nguvu za kiume, Usahaulifu uliopindukia (ukungu kwenye...
4 Reactions
8 Replies
627 Views
Wanajamii naomba kuweka hii mada hapa ambayo maamuma alikuwa ameipost katika thread ya "The Remainder....) Nadhani inastahili kuwa thread mpya kwa heshma na taadhima naomba niiweke hapa kwa niaba...
1 Reactions
84 Replies
6K Views
Back
Top Bottom