Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Unaweza kudhani ni jambo la mzaha au kuchekesha lakini ukweli ni kwamba tarehe 7 mwezi wa 8, 2024 Shemeji yenu ameondoka nyumbani na kuvunja mji kisa anasema amechoka na tabia yangu ya kukoroma...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Nini Maana ya Uchumba? Uchumba ni kile kipindi cha Maandalizi ya kufungwa kwa ndoa. Maandalizi haya huhusisha utoaji wa mahari na uandaaji wa sherehe ya harusi (kama itakuwepo). Ikumbukwe kuwa...
3 Reactions
5 Replies
865 Views
Mko powa Nawapa siri vijana kama kuna wanawake waliokomaa na walio serious kuwa WAKE WATIIFU kwa waume zao basi ni single mothers, hao wameshapevuka kiakili wameshajifunza kutokana na yaliyopita...
6 Reactions
26 Replies
960 Views
Wewe shangazi kwa pigo zako. Kila mtu atakung'ang'ania. Sio kwa kuchukua moyo wangu na kuuteka hivi. Uliponiroga karoga tena maana nainjoi umefanya mpaka nisahau kilichonileta hapa jijini...
34 Reactions
732 Replies
8K Views
Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani. Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo...
21 Reactions
87 Replies
4K Views
Wakuu mko salama? Declaration: Sitetei wala ku-support masuala ya ukatili kwa namna yoyote ile Sasa twende kwenye mada husika, kuna jambo limenishangaza kiasi kwenye kesi hii inayoendelea...
3 Reactions
49 Replies
1K Views
Na sio tu mwanamke, bali sioni kabisa umuhimu wa kujihusisha kwenye suala zima linaloitwa ngono, iwe ya aina yoyote ile Mwaka jana nilianza kama masihara hivi, nilikuwa kataa ndoa tena mwanachama...
6 Reactions
49 Replies
2K Views
Wana JF nisaidieni. Mara nyingi nimesikia maneno haya GELFRENDI NA BOIFRENDI (girlfriend na boyfriend) katika mahusiano. Najiuliza maswali haya, - Hawa ni akina nani? - Umuhimu wao ni nini?
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Wakuu... After ushauri wenu nimewasiliana na ex-mamsapu wangu,and i must say her response was encouraging...in simple terms,she was happy to hear from me,we talk for 3hours!!!.....yes,i...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
What is love all about? A bond of trust but a little doubt? An enraged eye still a healing touch? A broad smile yet a pain so much? Is it a sunshine peeping out of cloud? Or a drop of silence...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Using A Sex Education Video -------------------------------------------------------------------------------- The use of a sex education video is a tremendous asset when it comes to...
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Salaam nakutolea sababu,u-moyoni mwangu. U-Mbali na upeo wangu,ndani ya moyo wangu. Haupo machoni mwangu,unaishi moyoni mwangu. Salaam ewe wangu,mbali,karibu na moyo wangu.
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Male Chef killed and cooked boyfriend - 10/20/2008 A chef has been found guilty of murdering his boyfriend in a frenzied knife attack before cooking pieces of his thigh and chewing them...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Simple Friends and Real Friends Anyone can stand by you when you are right, but a Friend will stand by you even when you are wrong. A simple friend identifies himself when he calls. A real...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa mimi ndio mara yangu ya kwanza kuwa hapa. Nina jambo naombeni msaada. Nimeolewa hivi karibuni, baada ya kumjoin my husband aliamua kunitambulisha kwa wanawake aliyodai ambao baadhi...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Mwanamke hung'aa kama mmea wakati mahitaji yake ya kimwili yanatimizwa na mwanamume halisi. Muunganisho huu humlisha, na kumruhusu kusitawi kwa uchangamfu na nishati inayoonyesha maelewano na...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Mimi elimu yangu sio kubwa niliishia std 7, nina miaka 19, nimepitia changamoto nyingi sana za maisha. Mama na baba walitengana mimi nikiwa darasa la pili, kwahiyo nimeishi na baba kijijini huko...
28 Reactions
141 Replies
9K Views
Wakuu Wasalaam, Leo nimekuja tupeane uzoefu na ushauri. Nina bwana mdogo naishi naye. Ana miaka 18 kwenda 19 ni wa kiume. Huyu alikuwa mtoto wa jirani yangu kijijini nilipokulia. Ule ujirani wa...
15 Reactions
175 Replies
16K Views
Mimi najuta kwanini nilioa mapema. Toka nimeoa kila kitu kinaenda mrama, hapati mtoto mwaka wa 6 sasa, biashara tulianza zimekufa, kiufupi maisha yameharibika na nimepoteza mwelekeo kabisa...
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Iko hivi mimi nina mke wangu, sasa anarudi kati ya siku hizi mbili toka huko Uarabuni, alikuwa anafanya kazi. Sasa kilichonileta ni kwamba yeye anakuja na tumekuwa hatujaonana kwa miaka miwili...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Back
Top Bottom