Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ninatoka familia duni sana ambayo kipato chao,mlo wao na ata makazi yao ni duni sana Nina wakubwa zangu Ila na wao wote wana familia zao na wao pia hali zao zipo chini sana kiuchumi, kwahiyo pale...
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Bango liko Mwananyamala Dar hili Ingawa lazima tuseme, kwa ujumla Wachaga ndio kabila lililojitahidi kutoa Wake wengi Bora kwa ndoa Bora.
12 Reactions
36 Replies
1K Views
Kuna binti kaja kwenye kikundi leo analia, jana mume karudi nyumbani amelewa binti kafungua simu amekuta meseji za kimapenzi za wanawake, picha za utupu kutoka kwa wanawake watatu na wawili kati...
11 Reactions
90 Replies
2K Views
Hatua hizo 6 ni kama ifuatavyo 1.FAHAMU UNAAMINI KITU GANI KUHUSU WEWE MWENYEWE Watu wengi huishi bila kujua wanaamini kitu gani bali hujikuta wanafanya vitu kwa mazoea bila kujua nini chanzo cha...
8 Reactions
8 Replies
4K Views
NIGHT MOOD THREAD. Mwanamke kufika kileleni(kukojoa kojo Zito jeupe) ni kitu kitamu zaidi ambacho mwanamke anaweza kupata katika ulimwengu huu mpana na mzuri, na hufanyika ndani ya sekunde chache...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Habarini Nliingia kwenye insta story ya niffer, aliuliza wadada ni kitu gani kinafanya wawaheshimu zaidi wanaume walio nao, almost 95% of them walijibu maokoto, na their replies zilikua na umimi...
2 Reactions
11 Replies
254 Views
Yule mdau alikuwa anaporomosha matusi makubwamakubwa ya nguoni mengine hata sijawahi kuyasikia hapo kabla aisee
21 Reactions
334 Replies
25K Views
Habari wana JamiiForums, Napenda kujua kama kuna uwezekano wakwenda mahakamani kudai haki endapo umelea ujauzito mpaka kujifungua kwa mtoto ukiamini ni wako mpaka mtoto anakuwa mkubwa unambiwa...
6 Reactions
61 Replies
1K Views
Habari wanajamii forums! Naomba MSAADA Kwa yeyote atakayekuwa anajua ndugu yeyote WA PRISCUS ALOYSE MATEI ambaye Kwa sasa ni marehemu, kabisa mchanga wa Moshi, alifariki 2013 kama sikosei. Nia na...
4 Reactions
11 Replies
592 Views
Leo nakufungulia hii code. Thamani za mwanaume na mwanamke zinaangaliwa katika vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali/uwezo wa kifedha na thamani ya mwanamke ni mwili wake yaani ile purity...
57 Reactions
107 Replies
4K Views
  • Poll Poll
habari wakuu!. wanaume ! kumbe mungu anaakili sana aisee hiyo jana nimejigundua kama ningekuwa mwanamke basi ningeitwa maharage ya mbeya...
10 Reactions
43 Replies
1K Views
Mwanaume chukua hii itakusaidia usiue, usijiue wala usiuawe Iko namna hii; Hakuna mwanaume mwenye ujasiri wa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke aliyeolewa isipokuwa mwanamke huyo amempa...
5 Reactions
7 Replies
387 Views
Wakuu Habari zenu! Kiukweli wanawake wamezidi sana kuomba pesa yaani ukienda WhatsApp ni hatari, ukikaa kidogo kwenye SMS utasikia nikwambie kitu kumbe unaombwa hela. Jamani tabia hii kwa...
45 Reactions
1K Replies
71K Views
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990. Huyu kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili...
14 Reactions
458 Replies
43K Views
Nilikutana na rafiki niliyesoma nae msingi miaka mingi mno iliyopita akiwa kwenye gari stendi tayari kwa safari.....nami nilikuwa nafika hapo kwa ajili ya usafiri wa kwenda sehemu. Tukiwa na hamu...
8 Reactions
9 Replies
887 Views
Habarini, Kuna baadhi ya wadada ni majirani zangu, kimuonekano ni wazuri tu, wameajiriwa, wapo kwenye umri wa kuolewa lakini hawajaolewa, kwa nyakati tofauti nilibahatika kupata wasaha wa kukaa...
20 Reactions
55 Replies
3K Views
Wakuu,kwenye mahusiano tunakutana na watu wa aina mbalimbali na wakati mwingine unaweza kukutana na mpenzi ambae wakati wote wa mahusiano yenu utajikuta mambo yako yanaenda safi sana yani kila...
2 Reactions
17 Replies
40K Views
Habari wakuu, Mimi ni kijana wa umri miaka 23, nipo kwenye wakati mgumu kwa sasa kuamua kikwazo hiki kikubwa kilichopo mbele yangu. Kuna msichana mmoja nilimpenda sana pindi tukiwa chuo na kila...
3 Reactions
76 Replies
10K Views
Wadau amani iwe kwenu. Nina dada yangu aliekuwa na mchumba aliepatana nae wakiwa chuo kikuu huko Dar Es Salaam. Baada ya chuo kila mmoja akaenda njia yake kurudi makwao likizo. Bahati nzuri...
4 Reactions
52 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…