Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wadau hamjamboni nyote? This is a very serious issue wapendwa Karibuni tu nimebatizwa baada ya kuamua kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wangu Hata hivyo nimeelekezwa wakovu wangu...
4 Reactions
39 Replies
592 Views
Almost 80% ya wanawake wanaishi na waume ambao sio chaguo lao halisi. Yaani they just " settled" with their current husbands baada ya kushindwa kupata wanaume WA ndoto Zao. Kwa utafiti...
14 Reactions
45 Replies
996 Views
Wanawake ukiona unapewa sana attention na wanaume ujue unanuka hapo haupendwi NANUKUU.. Wahenga walisema "kizuri kinajiuza kibaya kinajitembeza hapo hapo wakatuambia mavi ya kale hayanuki" Enyi...
4 Reactions
12 Replies
729 Views
Utani ni nini? Utani ni maneno ya mzaha ila yenye ukweli fulani ndani yake. Makazini na vibaruani kwetu au sehemu za starehe tumekuwa tukitaniana, tunacheka tunagonga tano na maisha yanaendelea...
7 Reactions
31 Replies
721 Views
Eid Mubarak y’all… Napenda kuomba radhi kwanza kwa maneno makali/yasiyo na staha niliyotumia katika katika mada hii, I failed to put it together. Samahanini kwa wote ambao andiko hili litaSound...
78 Reactions
453 Replies
54K Views
Hivi hata kama lugha za kuagana kimasihara sizijui hivi ndio kweli ananiacha hivi hivi au?🙄 Jamani kuwa na 24'yrs kwa mwanaume aliyekamilika sidhani kama ni ajabu kuwa namahusiano japo kidini...
3 Reactions
17 Replies
384 Views
Nayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu! Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote...
39 Reactions
167 Replies
3K Views
Hata Kama Baba hatoi matumizi yoyote Ila usijaribu kumlisha mtoto wako sumu kuhusu ubaya wa Baba yake. Watoto wote waliokataliwa na Baba zao ni 2% ndo utawakuta wamefanikiwa maisha. Hakikisha...
7 Reactions
30 Replies
730 Views
Habari wakuu kwa miaka karibia 10 Sasa nina shida yakushindwa kurudia tendo round ya pili na hata nilifanikiwa round ya kwanza hiyo nina tumia dakika 5 namaliza na hamu inaisha kabisa hadi baada...
23 Reactions
175 Replies
7K Views
Habarini wakuu. Share your thoughts...
4 Reactions
46 Replies
580 Views
Wakuu habari. Huu ni muendelezo wa kile nilichowaambia kinaitwa (Blackmail) Mtaani ninapoishi - huwa nina utamaduni wa kununua vitu vingi vinavyohusu Chakula na kuweka Ndani. Kikawaida Mimi sio...
14 Reactions
35 Replies
1K Views
Machi 8 kila mwaka, wanawake mnasherehekea siku ya mwanamke duniani. Bahati nzuri ni kwamba asilimia kubwa ya wanawake siku ya tukio..... 1. gharama za vitenge mnavyoshonesha, 2. magari binafsi...
3 Reactions
2 Replies
133 Views
Madume wenzangu majabali, ukweli ni kwamba hawa watoto kike wa kiislamu ni watamu balaa, wazuri, watundu kunako, sasa kesho waanza mfungo itakuwa mwezi wote huu? Turudi kwa kina manka kwa kichaga?
6 Reactions
29 Replies
574 Views
sikujui kwa jina ila naijua namba ya gari yako tu, Najaribu kuwa karibu naawe, unanipotezea. nakuwashia taa barabarani unanichunia, na kule senta flani nako ulikuwa unanikaushia, leo harusini...
12 Reactions
87 Replies
7K Views
  • Redirect
1. Ana mwanaume zaidi ya mmoja 2. Ni mshirika wa Ibada za Shirki Last but not listed: kuna mstari mwembamba kati ya shanga zile wanazovaa na mambo ya kucheza mechi za Kinyume champion League...
0 Reactions
Replies
Views
Wana ndugu Habari za muda huu, naombeni ushauri wenu wakati kama huu naona mtanisaidia kwa mawazo pia Na Mpenzi wangu tulipendana sana na penzi letu sasa hivi lina kama miaka 4 Na kama hakuna...
3 Reactions
41 Replies
892 Views
Imagine mtu anatembea bara barani sehemu finyu then akuoneshi motion ya kupishana kama vile wewe unavyomuonesha, anatembea towards you kama vile presence yako haipo hio yote ili wewe umpishe kwa...
12 Reactions
45 Replies
1K Views
Wakuu hivi kama umepeleka barua kwa mwanamke umejibiwa mahari ni kiasi Fulani Je ni sawa kuwasiliana nao labda mama mkwe kumjulia Hali au baba mkwe kumsalimu ni sawa au miyeyusho??
3 Reactions
17 Replies
287 Views
Wakuu huyu bidada simwelewi kabisa tulikutana kurahaika. Sasa nimemkabidhi P2 avimeze tumalize kesi. Naona bidada katia mguu chini hataki kumeza wakati kakidonge kenyewe ni kadogodogo tu tena...
5 Reactions
65 Replies
1K Views
Ni kwa kiasi gani mwanaume afanye ili mwanamke aoene hata inatosha amid dunia ilivyokuwa chungu, haijawahi kutosha kwa mwanamke, anaishi huku akiisemea nafsi yake kuwa kuna "kuna cha ziada zaidi...
2 Reactions
4 Replies
143 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…