Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari zenu wana MMU! Niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna jamaa yangu hapa yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake yapata miaka 6 hivi. Sasa jamaa alipanga na mpenzi wake kwamba binti akimaliza...
2 Reactions
39 Replies
3K Views
Nimtazamie: - Kula yake - Vaa yake - Suka yake - Usafiri - Homa yake - Vocha plus Matumizi yake madogo madogo ya kila siku. Return: Papuchi Naimenya kwa wiki mara 4 tu, Excuse zisizoisha, Sex ya...
9 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari za kazi Ndugu zangu natumai mambo yanaenda salama Salimini Yapita miezi sasa tangu niachane na mwanamke(girlfriend) niliyekua nampenda sana sana, nakiri wazi nilikua nampenda mno, naweza...
16 Reactions
256 Replies
26K Views
Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli! Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana...
16 Reactions
207 Replies
15K Views
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] - Ukiona msichana ana ujasiri wa kuvaa nguo fupi na kuingia barabarani bila aibu akitembea USIOE. - Úkiona msichana ana ujasiri wa...
16 Reactions
237 Replies
70K Views
Habari Na gfriend wangu tumetokea kupendana sana kusex sanaaa Baadae akafanikiwa pata mtoto Sasa n mwaka wa 3 Ila ile hamu ya tendoo la ndoaa sijui kaenda nayo mtoto ama lah Mkikutanaaaa yaaan...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakati unashawishika na watu waliovuta bangi zao, waliojikatia tamaa ya kuishi, wasiotaka ndoa kwa kuwa wao si wanaume wala si wanawake... hawajielewi, waliotingishika akili baada ya kutendwa...
29 Reactions
210 Replies
3K Views
Siku ya ijumaa nilikuwa napiga misele ya mtaa kwa mtaa, baada ya kutembea umbali mrefu kiasi, nikakutana na warembo wawili wamesimama wanabadilishana mawazo; walikuwa wamevaa suruali pamoja na...
6 Reactions
33 Replies
1K Views
Wakuu, Ningependa tujadili hili suala. Eti, kwa upande wa nyie wenzangu, zipi ni siri za nyinyi kuweza kudumu na wenza wenu{mke, mume, mchumba, gal&boyfriend, hawara etc} mpaka dakika hii?
6 Reactions
111 Replies
7K Views
Huyu mtu ni hatari sana atakuingiza kwenye matatizo kibao na kuna muda hutojua kama ni yeye kwa sababu mkiwa naye anaongea hivi ila mkiachana tu anaongea mengine. Mtu kigeugeu mtakubaliana jambo...
3 Reactions
2 Replies
192 Views
hizi zinaitwa chastity belts ni za medivial period (zama za Kati) zilikua zinatumika kama njia ya kudhibiti uaminifu wa wanawake ili wasichepuke lakini pia, baadhi ya wanahistoria wanaamini kuwa...
0 Reactions
3 Replies
265 Views
Ulichukua hatua gani? Nini kilifanyika hata ukaona, kwamba hiyo show ni mbovu na hujwahi kukutana nayo tangu uyajue mapenzi? Muafaka ulikuaje sasa baada ya show hiyo mbovu na ya kiwango cha chini...
4 Reactions
78 Replies
1K Views
Watu wengi siku hizi wanaishi Kwa presha sana,hii ni kutokana na kuiga mafanikio ya wengine, Kama vile,Nyumba nzuri,biashara,usafiri wa uhakika na uwezo wa vitu vingi. Hii inasababisha...
16 Reactions
28 Replies
502 Views
asilimia 99 ya wanawake wanaingia kwenye mahusiano kwa ajili ya pesa na sio mapenzi ya kweli. ukiondoa pesa kwenye mahusiano au ndoa asilimia kubwa ya wanawake hawatoona sababu ya kubaki kwenye...
7 Reactions
15 Replies
903 Views
Habari Wana JamiiForums Kunaswala Naoana Kwasiku Hizi limekuwa Tatizo Kubwa Hususan Wana Ndoa Kwa Upande Wetu Wanaume baadhi yetu unywaji wa pombe ndiyo sababu yakuleta migogoro ndani ya ndoa...
10 Reactions
38 Replies
638 Views
It’s magical– I’m in love again! I don’t know how it happened, but everything just feels right. My heart is full, and it’s like I’m seeing the world through a brighter lens. There’s something so...
5 Reactions
12 Replies
257 Views
  • Closed
Dear Friends, As I prepare to say goodbye, I find myself reflecting on the wonderful moments we've shared together. Each laugh and each discussion we've shared has made my life richer and fuller...
13 Reactions
157 Replies
4K Views
Hivi kuna mikoa huwa najiuliza kwa haraka haraka unakosaje mke..... maana wife materials wengi tu....wala hutumii nguvu kuwapata. Kigoma Tabora Katavi Tanga Shinyanga Iringa Mara/Musoma Ruvuma...
17 Reactions
97 Replies
3K Views
Mwanaume kusimamisha mara kwa mara hata tukiwa sehemu za watu wengi, akiniona tu anadai inasimama, ndio mapenzi ya dhati haya au inakuwajee??
4 Reactions
58 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…