Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

DEAR LADIES SEX ISN'T ENOUGH PLEASE TAKE NOTE. It's possible for any man to ask for sex in a relationship, but is left for you as a lady to know that sex, can't keep him (Sex isn't enough) There...
5 Reactions
12 Replies
782 Views
Mpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye , kikosa ajira yeye ...Kila siku ananipa hbr mbaya nahisi ana mikosi
1 Reactions
15 Replies
500 Views
Watoto wa kike wa sasa hivi si sawa na zamani, macho yao yako juuu juu kama wapiga debe wa stendi. Wako kwenye sare za shule lkn mishe yao ya kingono si ya kitoto. Kwa mfano huyo msichana alikuwa...
2 Reactions
8 Replies
515 Views
Mpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye, kikosa ajira yeye. Kila siku ananipa habari mbaya nahisi ana mikosi na najikuta Mimi ndo naumizwa na matatizo yake...
3 Reactions
46 Replies
1K Views
Ilikuwa ni mwaka 2014 nipo facebook, nilipost picha yangu kwenye group la "tafuta marafiki na mchumba", kulikuwa na comment nyingi za mabinti, nikachagua mmoja ambae nimevutiwa nae kwa kuangalia...
11 Reactions
21 Replies
2K Views
Najua wengi mnapambana na hii roho huoo kwenu Kuna mdada khangu yaan kalijitunza kakaolewa Kakazaa sasa kakachika kanagawa hatare mbaya kalishachika kakarudi hme wazazi wakiwemo Kakabadili dini...
1 Reactions
14 Replies
718 Views
Wakuu zamani vijana wengi wa kikatoliki moja kati ya ndoto zetu ilikuwa ni kuwa Mapadre. Mimi binafsi nilijichanganya sana Huko Rombo, parokia ya Mkuu wakati huo nilikuwa napenda sana Shirika la...
11 Reactions
82 Replies
2K Views
Sio tu familia yangu, hata wafanyakazi wenzangu ofisini kwa ujumla. Maua mengi mengi yamfikie Coy Mzungu maake jambo aliloanza nalo kama utani, hatimaye lazaa matunda. Kuamua ni kuthubutu...
1 Reactions
18 Replies
861 Views
Ukweli ni kwamba Winnie alikuwa na wapenzi wengi kipindi mandela yupo gerezani. miezi kadhaa kabla ya mandela kutolewa alikuwa na uhusiano na Dali Mpofu mwanasheria alietofautiana naye miaka 30...
34 Reactions
365 Replies
18K Views
Unaanzaje kwa mfano? Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi? Hamuoni kama mnawapa dhambi? Ni kweli masister wa sasahivi ni...
18 Reactions
206 Replies
45K Views
Hi, Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Yes!, nyinyi ni viumbe wenye roho ngumu na ujasiri mwingi sana. Tumeonana sikumoja, tukapeana namba, tunapiga stori mwezi mzima kwenye simu tu, hunijui kiundani namimi sikujui, tunayajenga alafu...
11 Reactions
115 Replies
7K Views
Kuna binti mmoja nimekua nae kwenye mahusiano katika kipindi kisichopungua miaka miwili na nimekua nikimsapoti kwenye mambo yake mbalimbali yanahusu pesa na hata yale yanayohitaji tu ushauri. Kwa...
22 Reactions
116 Replies
4K Views
Salaam kwenu wadau. Nionavyo mimi, malezi mabovu ya waototo yanaanzia nyumbani sio shule wala mtaani. Nini maoni yako katika hili? Wasalaam.
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Wanaume wameleta sana mbinu za kuchepuka, kama vile hawajui wanawake ndio vinara na kuwashika inahitaji mbinu za ziada (kwa mbinu za kiteknolojia kumshika mkeo, nipm, NB: nasisitiza, ni kumshika...
39 Reactions
130 Replies
40K Views
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya Ijumaa kuu. Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nina hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero...
13 Reactions
418 Replies
43K Views
Before sex,you help each other get naked.After sex,you dress only yourself. Wakuu kwa nini inakuwa hivyo,ni kinai au aibu,kwamba kabla ya kugegedana tunasaidiana sana kuvuana nguo,ila baada ya...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Miaka mnne nyuma nilizaa na mdada wa kimachame kiukweli nilimpenda sana baada ya kumaliza masomo niliamua kukaa naye cha kushangaza akaanza kutembea na jamaa zake yaani wachagga wenzake...
1 Reactions
192 Replies
12K Views
Wakuu, Miongoni mwa maeneo yanayotajwa kuongoza kwa kutokea matukio ya Mauaji ya Wanawake Afrika ni kwenye gesti, hoteli na katika miaka ya hivi karibuni Air Bnbs. Sasa, swali ni je? Wamiliki wa...
1 Reactions
3 Replies
467 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…