Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Salam. Kwa uzoefu nilioupitia baada ya kuzurura Nyanda za juu kusini, Kaskazini, Dar, Zanzibar na sasa nipo Kanda ya ziwa basi Nina haya ya kusema . Hii Kanda Malaya wapo wengi mno na madanguro...
25 Reactions
177 Replies
28K Views
Habari WanaJamiiForums Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi. Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
12 Reactions
139 Replies
4K Views
Mimi na ma mkubwa yangu tunaishi wilaya moja hapa DSM. Siku za weekend huwa nakwenda kumtembelea nipatapo muda ingawa ni weekend moja kwa mwezi mmoja ama miwili Siku ya jumamosi jioni nilipita...
18 Reactions
155 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu [emoji17][emoji17] Ukiingia kwenye uzi wa kula kimasihara unaweza sema hufai kuwa mwanaume kabisaa, maake kule wanaume wanachakata mbususu kibahati mbaya, iwe alfajiri, mchana...
19 Reactions
34 Replies
7K Views
Hii sasa ina 3 weeks mwanzo nilikuwa nawaona wadogo bafuni nikawa nawaua nawaflash nilipouliza watu wakaniambia watakuwa wanaingia kupitia bomba maana jirani hakuna dimbwil wala mto kwa saiz yao...
0 Reactions
26 Replies
12K Views
Mimi Mjanja M1 nimeishi Marekani, Uingereza na China, kote huko sijaona mambo ya ajabu kama haya!
6 Reactions
12 Replies
625 Views
Habari wakuu Utofauti ni upi kati ya malaya na huyo unayemuita demu wako. Malaya analala na wanaume wengi tofauti tofauti kwaajili ya kupata pesa, demu wako ana msululu wa wanaume kwenye simu...
14 Reactions
49 Replies
3K Views
Unampenda, unamuamini, unamkubali, unamjali na kumthamini n.k Kiufupi mnapendana sana na mko pamoja kitambo sasa.... Ila kuna jambo moja tu linakukera, linakufedhahesha sana, linakusononesha...
5 Reactions
48 Replies
1K Views
Wasalaam wana jamvi. Direct kwenye point. Kumekuwa na malalamiko mengi juu ya swala la kucheat katika ndoa ( sizungumzii wapenzi ambao hawajaoana). Ili swala sidhani wahusika kama huwa...
23 Reactions
497 Replies
105K Views
Jamaa siku yao ya kwanza ya ndoa wakiwa kitandani akamuuliza mkewe "Una uhakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?" Mke akajibu "Ndiyo honey, wengine wote ilikuwa hatulali ni shughuli tu...
6 Reactions
7 Replies
557 Views
Admin mimi nimeolewa na nina mtoto mmoja wa kiume. Kabla sijaolewa nilikua na mahusiano na kijana wa Kichaga, kiukwel tulipendana na yule kijana alinijali, aliniheshimu, kiufupi tuliishi vizuri...
9 Reactions
127 Replies
9K Views
Unaona kwamba msichana unayechumbiana naye sasa, ana nafasi kubwa ya kuifanikiwa kimaisha haraka kuliko wewe. Ndiyo maana hupaswi kutumia ujana wako wote kujenga uhusiano na mwanamke. Ukweli ni...
20 Reactions
21 Replies
1K Views
Habarini wana JF, kiufupi nimeleta andiko hili humu ili muweze kunisaidia ushauri maana naanza kuona sasa hii sio hali ya kawaida maishani mwangu. Tukiachilia mbali wale wapenzi wa kula...
1 Reactions
13 Replies
544 Views
Bila kupepesa macho, niwaambie hawa wanawake / wamama wenye tabia za kuficha watoto wao wakike baba zao mwache hiyo tabia kwani mnawaathiri sana kisaikolojia. Hata kama hukumpenda mwanaume ulie...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
Kuna mwanamke ni mke wa mtu ila inaonekana amenitamani, hili si tatizo kwangu maana nalimudu. Tatizo langu ni pale aliposema nikapime group langu la damu alafu ni mwambie, hili kalirudia sana na...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Hadi nastaajabu jinsi mume wangu mtarajiwa alivobadilika na kuonesha upendo ambao sijawahi kuupata kutoka kwa mtu mwingine isipokuwa wazazi. Iko hivi, huyu kijana nimekutana naye nina kama mwezi...
37 Reactions
174 Replies
4K Views
Vijana baada ya kusikia Treni ya Umeme itaanza kufanya kazi na muda wake kuwa mdogo eg. Dar to Dodoma (kwa Omba Omba) ni masaa 3 Vijana wamefurahi na kutoa maoni yao huku furaha yao kubwa ni...
2 Reactions
5 Replies
368 Views
1: Mwanaume unashindwa kuvumilia sex mpaka ndoa... Na badala yake umetongoza Leo baada ya wiki unataka starehe ya mwili. Wewe si useme tu kuwa hitaji lako ni sex tu basi na acha kuzunguka zunguka...
10 Reactions
117 Replies
8K Views
Kumekuwa na wimbi la usaliti sana siku hizi na tumekuwa tukishuhudia visa hata humu JF kuhusu usaliti na kuachana kwa wanandoa wachumba au wapenzi sababu ni nyingi sana lakini unavyoona wewe...
2 Reactions
51 Replies
10K Views
Back
Top Bottom