Hi.
Naombeni mnipe mbinu ya haraka na rahisi nitakayoitumia kupunguza marafiki nilio nao.
Nina marafiki wengi "mashosti" karibu kila mtaa wengine ni marafiki tangu shule ya msingi. Kwa sasa...
Sijajua sababu ni nini. maana leo nimewaza kuwa pengine nina nyota ya Buzi. Kila nikifahamiana na msichana nikatamani tuanze mahusiano hazipiti siku mbili utasikia anaomba pesa ya kodi.
Simu...
Habari za humu wana JF, natumai wote mko njema.
Natambua baada ya kuleta uzi wangu huu
Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka...
Wadau habarin kuna mwanamke nimempata kupitia mtandao ishu ni je ataniacha au maana bado hatujabond vyema wala kuonana ana kwa ana nipeni dawa nimvute asije pokonyoka
Habari wanajamii forum, ni matumaini yangu kuwa mko salama. Ama la, basi Mungu awafanyie wepesi.
Ndugu zangu nahitaji msaada wa mawazo yenu sana. Ninapitia sijui niseme ni wakati mgumu au ni...
Natumai mu wazima.
Jana usiku mida ya saa sita kasoro, mke wangu ameniaibisha sana. Tumemaliza kula safi tu, sasa kutokana na fan mimi sikuoga kwani nilihisi baridi mno ila yeye alioga.
Kabla...
Si mbaya kwakweli kuwa na nyumba ndogo kama ukiona shemeji hakutoshelezi mahitaji, japo kuna wengine wameingia huko kutokana na stress za ndoa na migogoro lakini wengine ni tamaa tu na kutoridhika...
Bila shaka, David Mosher aliamini kuwa mchumba wake, Heather, angepona tatizo alilokuwa akipambana nalo, kansa ya titi. Ndiyo maana alimwahidi kumwoa pindi atakapopona.
Lakini ilipogundulika kuwa...
Mimi stori iko hivi,
Mnamo mwaka 2020 nilianza kuwa na mahusiano na binti mmoja(mcha Mungu sana). Alikuwa anasoma chuo fulani jijini Arusha, nakumbuka hicho kipindi nilifanikiwa kupata tempo...
Wakuu nina urafiki na binti mmoja mzuri mno ana asili wa kizanzibar ni pisi kweli watu mtaani wanadhani sisi ni wapenzi ila ni marafiki wakubwa tuna urafiki wa miezi minne sasa wakuu wakati...
Jamani nashindwa Ku mblock x wangu moja kwa moja kila ni ki mblock nakaa siku chache na mu unblock tuna mtoto mmoja.
Napenda nimkomeshe status kwa kumpost mpenzi wangu mpya na vijembe tu natakaga...
KASUMBA YA WANAWAKE WANAOTAFUTA WANAUME WENYE PESA, WAKATI WAO HAWANA PESA
Na Comrade Ally Maftah
KING OF ALL SOCIAL MEDIA
Kuna wanawake wamekuwa wakisikika wakitaja vigezo vya wanaume...
Wakuu kuna jimama mmoja hapa mtaaani ni pisi Kali Lina tako kama mahondaw linanitaka kwa nguvu yaani liliolewaga likaachika sasa ni li singo mother linakaa yeye na mtoto wake limekuwa...
Leo nataka niwape stori ya kweli najua kila mmoja wetu anamambo yake kutokea huko nyuma katika maisha yake watayatoa kwa wakati wao ila mimi nimona muda huu unanifaa kushare haka kastori kafupi...
Mara ya kwanza tulikutana club sikujua kama ni mke wa mtu, alikuwa amevaa kistaarabu sana kumbe alikuwa ametoka kwenye sendoff party alikuwa ameongozana na wenzake wawili. Nilimtongoza hakukubali...
Hivi kweli nyinyi wanawake hamjawaza kitu kingine mnapoingia kwenye mahusiano tofauti na pesa? Nimekutana nao kwenye hiace wanaongea, "Yule mwanaume nitamuacha, siwezi kukaa na mtu ambae...
The vocal is special for you Siyabonga...
The moon is shining...
Stars are brightening the outer space...
She (K' Matata) is screwing the guitar badly like the way she spits Spanish...
WANT...
Hope mko fine
Nilipokuwa kijana nilitamani sana siku nikioa niwe na familia bomba, iliyotulia na isiyo na bugudha.
Nilipooa niliweza ishi maisha ya ndoto zangu takribani miaka miwili. No...
Habarini za Jioni hii wakuu na watz wenzangu, poleni kwa majukumu ya siku nzima na wale ambao ndio mmeingia kazini poleni na kazi pia.
Nimeweka huu uzi tujaribu kushirikiana kwenye hili jambo...
Rafiki yangu na ndugu yangu Richard Massawe kutoka Rombo huu ni ujumbe wako
Ndugu yangu na marafiki zangu wa MMU naombeni mnisaidie ili napate hela yangu (3,000,000/=) ambazo nilimuazima member...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.