Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Katika mahusiano; kwa mara ya kwanza, mwanaume ataangaika na atatumia kila njia ili aweze kumpata mwanamke,na ikiwezekana atatumia kila ushawishi na baadaye anafanikiwa. Sasa baada ya kuzoeana...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
Ukweli nimekuwa mtu wa kutokuridhika katika tendo la kujamiiana na Hali hii Kwa sasa inanipa wakati mgumu sana. Yaan naweza kufanya hata muzunguko Saba na kila mzunguko ukachukua minimum dk 50 na...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Kwanini mimi kila nikiona wasichana wenye makalio makubwa tentemente mate hunijaa sana mdomon na udenda wenye...
1 Reactions
114 Replies
16K Views
Habari Kuna rafiki yangu amenifuata kunitaka ushauri juuu ya mke wake. Anasema hivi "Nimegundua mke wangu ana namba mbili anawasiliana nazo mara nyingi sana kuliko hata za wazazi wake namba hizo...
6 Reactions
77 Replies
11K Views
Wakuu jana mchepuko wangu umegoma kabisa kunipa haki yangu. Madai yake ni kwamba eti nimfukuze mama watoto nyumbani then nimuoe yeye. Yaani mimi nitupe friji nje halafu niweke deli la askirimu...
17 Reactions
63 Replies
6K Views
Anatha dei tu bi alaivu anatha stori katika pita pita zetu tumshauri. Nina mwanamke ambae ni mke wangu wa ndoa naishi nae mwaka wa tano huu, sasa bhana usiku wa kuamkia leo yani jumapili kuamkia...
14 Reactions
51 Replies
4K Views
Aisee hawa wanawake ni hatari. Mke wangu anapenda sana TikTok sasa kuna siku nimeingia kwenye acc yake nimekuta kuna vijana wanamtongoza wengine ana wajibu wengine hajibu. Kifupi nimeshindwa...
85 Reactions
239 Replies
11K Views
Hello, women, Hakuna kitu kibaya kama mwanamke kuchezea alimashauri zake, kwani mtoa slid asipokuwa mume wako atakayekuoa, ndoa ndipo zinapoanza kuwa na changamoto, wengi wetu kama wanaume huwa...
23 Reactions
308 Replies
67K Views
Fikilia wakati unamtokea mke wako ulimkuta yuko kwenye love na mwanaume mwingine mbaya zaidi ukampora jamaa,vile vile katika mastory na wife wako anafunguka na kukwambia wanaume aliotembea nao sio...
1 Reactions
67 Replies
8K Views
Wanabodi, Huyu mwanamke nipo naye kwenye ndoa for 1yrs sasa na tuna mtoto mmoja. Kwa kipindi chote nilichokaa naye kuna mambo mazuri ambayo ninajivunia kutoka kwake. Ni mwanamke mwenye vission...
57 Reactions
994 Replies
113K Views
Mahusiano au ndoa zenye majukumu mazito ya malezi, kwa mfano ya watoto wa3 au zaidi, huwa ziko na furaha, ziko imara na vizuri sana katika kushirikiana na kusaidiana kwa dhati na kwa upendo...
1 Reactions
1 Replies
350 Views
Kabla ya kuingia kwenye ndoa kuna zile FACTORS za muhimu kila mtu huwa anazingatia. Kutokana na utofauti wa kimtazamo na fikra kila mtu anakuwa na Criteria zake. Kutokana na uelewa, experience na...
5 Reactions
85 Replies
2K Views
Ukweli ndioo huo kila siku mtaaan watu wanaongeaa peke yao kama wako na famlia unawaza anaongea na nanii..loh
10 Reactions
34 Replies
986 Views
Don't Marry because of SEX Don't Marry because u are getting OLD Don't Marry because u are of AGE Don't Marry because u are LONELY Don't Marry because u need someone to support you FINANCIALLY...
4 Reactions
1 Replies
365 Views
Hello guys, bado tupo January, so Happy New Year!! Ni muda sasa nimekua nikisoma na kusikia wakaka mnavyolaumu wanawake kukosa utii na heshima kwenye ndoa na mahusiano, kuwa jeuri sana na...
60 Reactions
282 Replies
9K Views
BINTI YANGU NJOO NIKUAMBIE HAPA. Mithali 20:7 [7]Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, watoto wake wabarikiwa baada yake. Haki katika ndoa yako ambayo Mungu amekupa hakikisha unaishi katika...
12 Reactions
40 Replies
711 Views
Kwema wakuu, Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa...
8 Reactions
27 Replies
981 Views
Habarini wadau, Kwanza si kama nawadharau single mumy but natoa tu rai yangu kwa vijana especially vi Ben ten kwamba kutoka kimapenzi na mwanamke aliyezalishwa alafu akaachwa ni sawa na kucheza...
13 Reactions
91 Replies
9K Views
Habari za majukumu wana JF, poleni na mihangaiko ya hapa na pale. 🤝🤝 - Watu wanaweza kuwa na tabia na matarajio tofauti sana katika uhusiano, na mara nyingi hutokea kwamba baadhi yao huweka...
13 Reactions
145 Replies
5K Views
Kama kichwa cha uzi kinavosema. Usasa na utandawazi umewafanya watu kua open sana. Usikute huyo mchumba wako akiwa serious kuolewa na wewe anawaaga ma boyfriends wake kiroho safi na kuwaelezea...
3 Reactions
15 Replies
687 Views
Back
Top Bottom