Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Likizo yangu ya mwaka huu ilifika. Nikaona likizo hii nikai-spend home (Dar es Salaam) kule nilikokulia (kwa shangazi). Sasa bwana kwenye hii likizo kuna jambo linatokea halafu linanikera sana...
34 Reactions
217 Replies
10K Views
Mtumiaji mmoja wa mtandao wa Twitter, Julius Mmasi kutoka Kenya ameweka wazi jinsi rafiki yake alivyovunja ndoa yake iliyodumu kwa muda miaka 24 baada tu ya bwana huyo kuamua kwenda kufanya...
10 Reactions
239 Replies
19K Views
Niaj wakuu, Kuna jambo moja la ajabu sana japo wanasema wanaume tumeumbiwa tamaa lakin nikisema niendekeze hii tabia mwisho wake mbaya kipind cha nyuma kwel nilikuw chovya chovya sana nakumbuka...
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Kama hadi sasa hujamuoa ila anakuita "mume wangu" huyo ni tapeli uko nae. Mara nyingi hayo maneno huambatana na kizinga cha hela, akituma msg akaweka "mume wangu" ujue ni mzinga unahusika. Wewe...
12 Reactions
44 Replies
4K Views
History sijui nielezeje, Nilitengana na baby mama wangu, kwa muda mrefu, nakuja kumtafuta tena mshenzi yule nakuta kashaolewa na anakachanga. Hapo ndipo nikaona option nikumchukua best friend...
5 Reactions
6 Replies
593 Views
Penzi jipya huwa lina expire baada ya muda gani!?maana mwaka wa pili sana mahaba ni yale yale kama tumejuana jana!au hapa libwata imehusika wakuu!maana Mtoto simchoki yaani kama nimekutana nae leo...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu, Kwa sasa kuna habari inayosambaa mitandaoni, kuhusu mwanamke mmoja wa huko Tanzania anaitwa Munalove. 1. Kauguza mtoto kisirisiri, yaani picha tu ndo zilikuwa zinaoneshwa...
14 Reactions
98 Replies
11K Views
Kama vile wanaume wanaona mwanamke pisi kali atakua na wengi au wengi wanamtaka, hata wadada kumbe wanayo. Yaani ukikutana na mdada ukisema "niko single" wanakataa wanakwambia " yani we ulivyo...
8 Reactions
61 Replies
2K Views
Nina mwaka wa kumi sasa kwenye ndoa. Nilifunga ndoa ya Kikristo miaka kumi nyuma. Nimekuwa mume bora kwa kipindi chote hicho. Sikuwahi kuchepuka wala kudanganya, lakini mke wangu amekuwa...
8 Reactions
50 Replies
6K Views
Leo nimekuja kushare nanyi hii story ofcourse ni muda iko moyoni mwangu ila nimeamua kushare nanyi ili mjue kwa nini kila siku mimi mtu wa kubadilisha wasichana, Ni hivi miaka Saba Nyuma wakati...
47 Reactions
129 Replies
16K Views
Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba. Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki...
21 Reactions
122 Replies
14K Views
Leo ilikuwa ni Birthday ya Girlfriend wangu so nimeamua kwenda kazini kwake kumsurprise. Nilipofika nikamvizia kwa nyuma nikamziba macho Kisha nikawa nampa mabusu motomoto shingoni, ghafla...
22 Reactions
56 Replies
7K Views
Watu tumeumbwa tofauti namna ya kupokea habari za huzuni.naandika habari hii pia kwa huzuni. Leo baada ya kuwa tumepata habari za msiba wa Kiongozu wetu mkubwa. Nliamka usiku na kumkuta Wife...
18 Reactions
57 Replies
6K Views
Wakuu bila shaka ni wazima, bila shaka wote tunaelewa maisha yalivyojaa changamoto za kila aina. Kuna watu ni wepesi kueleza yale yanayowasibu, ila kuna akina sisi ambao huwa tunakufa na tai...
6 Reactions
20 Replies
485 Views
Kwanza nikiri :- Maisha yangu yote mpaka sasa sijawahi kutembea na mke wa mtu, ujana wote nilikula ili nilirespect sana hilo ni kitu nilijijengea tangu mtoto. Twende kwa tukio, Kuna mshkaji...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
From jamaa yangu Ameoa ila michepuko alaaways kwa wanaume haikosagi Kuna mchepuko alipata mwaka jana Feb wakaanzisha mahusiano badae akaja gundua yule mchepuko ana mtu wake ambaye anamuweka mjini...
2 Reactions
10 Replies
898 Views
Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje Kodi 350k Mafuta gari 50(week) Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks) Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k...
31 Reactions
193 Replies
15K Views
Kabla hujasoma jua kua Nimecopy na kupaste kutoka twitter kwa @NikkiWa111 The Story: Muda huu nikiwa narudi kutoka mihangaikoni, naona watu wengi, bodaboda wengi wamekaa vikundi vikundi, kiasi...
11 Reactions
262 Replies
24K Views
Helloooowww, to everyone here. Watu wengi hawaamini maisha anayoishi mtu kwa kuwa anaongea kiingereza na anaonekana msomi. Wengine tumeamua kuwa real na ku fake kwetu ni MWIKO. Kama sina nitasema...
10 Reactions
79 Replies
5K Views
Wakuu Kuna Mwanangu wa Damu Yupo hapa Katika Dream city Dar salama Lakini Changamoto inayompa shida ni Mfupi ana Kama Futi 03. Huyu Jamaa watoto wazuri wa Daslama wamekuwa waki- Dump Sana so eti...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom