Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wasalaam mabibi na mabwana, Enyi wanaume, leo naomba niwausie kuhusu michepuko! Shetani ameingia kwenye nyumba nyingi sasa mnaona kama fasheni kuwa na michepuko. Amini kwamba hakuna mchepuko...
7 Reactions
208 Replies
11K Views
Miaka kadhaa nyuma, asubuhi siku ya jumapili, niliamshwa kwa kelele zisizo za kawaida, watu kadhaa walikuwa wakigonga mlango, japo nilikuwa chumbani lakini ugongaji ule wa mlango haukuwa wa...
16 Reactions
16 Replies
5K Views
Jamani akina dada kuolewa ni heshima kubwa sana kwa mwanamke yeyote yule. Hata uwe na maisha ya kifahari kiasi gani kama huna mume hujakamilika. Ili uolewe kuna mikao (pose) unatakiwa kuwa nayo...
19 Reactions
138 Replies
22K Views
Mimi ni kijana tuu nafanya kazi nzuri tuu na vitega uchumi tu vya kutosha ,,,elimu yangu saizi ni master ,ila Nina degree kutoka mzumbe,,na nikasoma school of law na saizi ni master yangu tatizo...
1 Reactions
54 Replies
10K Views
Habari zenu wanaJamiiForums, Leo nimegundua kumbe karibia wanawake wanapenda wawe na makalio makubwa nilikuwa sehemu akapita mwanamke mwenye shehena ya maana yaani zinga la furushi huko nyuma...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Nyie Dada zetu unakubali vipi mwanaume akupige eti kisa umemkosea.. Nakuuliza yeye huyo mwanaume umewahi kumpiga akikukosea? $ikia Dada husikubali kupigwa na mwanaume. Km mchumba wako anakupiga...
8 Reactions
384 Replies
22K Views
Prof. Kapuya ana umri wa miaka 76 lkn ameoa mke mwenye miaka 25, mimi nina miaka 39 mke wangu ana miaka 33. Kitendo cha mimi kuwa na mke mzee kiasi hiki ambaye kiumri anaweza kuwa sawa na mama wa...
12 Reactions
71 Replies
10K Views
Mwezi huu nimetongoza wanawake wasiopungua 20; ila kila lmtongozo wawili ndo wamenitolea nje kwamba straight foward kwamba haiwezekami nmekutana nao on sport kuchukua namba tu wanapata mtongozo so...
3 Reactions
43 Replies
3K Views
Kwangu nikichagua demu wa kumla naangalia kwanza kama ana supu supu, na shape ya kunishawishi, Na uzuri ni kwamba mademu wa siku hizi zaidi ya asilimia 90 wamejaliwa kuwa na supu supu, tako...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Unakuta Kabinti ndio kwanza kana miaka 20 lakini kifua kimechakaa hatari, Ziwa linasaidiwa na blaa kusimama ukimvua utafikiri ni mmama aliyekwisha nyonyesha watoto 4+, Kama mnashindwa kutunza...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Wadada mnaodate na wababa age 35s na kuendelea Tena wenye watoto nawapeni pongezi sana. Mi nilikuwa najua ukiwa na 20s ukidate na wababa umri kama huo ni afadhali, unafanya kazi ya kuelekezwa tu...
35 Reactions
256 Replies
11K Views
Aisee katika ishu ya diamond hakuna suala limenikeraa japo Nyumba sio yangu kama Zari kukiri analiwaa ndani ya Nyumba alionunuliwa na...
5 Reactions
262 Replies
13K Views
Heshima kwenu wakuu, Hivi mshajua nyie wanawake kwamba ni dhaifu kwa wanaume? Hamna ujanja wala akili ya kumkataa mwanaume hata uwe na nyodo au mzuri kama Cleopatra. Nyie wanawake ni Urithi...
9 Reactions
45 Replies
5K Views
Wadau Moja kwa moja kwenye mada. Baada ya kuthibitisha bila ya wasiwasi wowote kwamba mke wangu amekuwa si mwaminifu kwenye ndoa. Pamoja na vikao vya kifamilia na baada ya kujaribu kumsihi sana...
5 Reactions
115 Replies
13K Views
Huyu mrembo wangu ananihudumia kila siku kwa tendo, na ananiachia nijipigie magoli idadi ninayotaka mpaka pale nitakapo choka mimi mwenyewe; nimejikuta ndani ya wiki mbili nimekuwa na kitambi...
20 Reactions
123 Replies
4K Views
Ukitaka watoto wazuri wakike lazima ugharamie
11 Reactions
73 Replies
2K Views
Wakuu naamini mu wazima na mnaendelea vizuri na TOZO. Mimi nimekutana sana na visa vya kupendwa na wake za watu kimasihara sihara mpaka nahisi ni pepo. Wadada single nawapata kwa nadra sana. Ila...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mashangazi wengine wananyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda fulani fulani za Tanzania. Kwanza wa bahili kutoa pesa na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli...
15 Reactions
25 Replies
1K Views
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.! Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man has a reaponsibility to...
29 Reactions
167 Replies
6K Views
Hii haikutokea jana wala juzi, huyu ni mwanamke mtu mzima tu naweza kusema hivyo, na mwenye akili timamu. Suala lililonileta ni kuwa ananitishia kunishtaki, na kaanza muda mrefu kidogo. Tulikuwa...
1 Reactions
12 Replies
807 Views
Back
Top Bottom