Hello Umofia kwenu!
Niende kwenye maada, baada ya kuwa na ubize mwingi sana nikiwa katika mizunguko yangu hapa Dodoma hatimaye, Mungu kanikutanisha na mwanamke ambaye ameniipenda siku ya kwanza...
1. Tamaa ya utajiri
Fedha na mali nyingi pasipo kutambua kuwa vitu hutafutwa, hapa wengi hupoteza nyota zao kwa kukataa wengi wenye kipato cha kawaida na kujirahisisha kwa wenye nazo ambao kwa...
Mwanachama #002
Shangazi Lisa Naomba unipostie ID yang ficha!
Shangazi amini dunia hii ina mambo mengi, changamoto za ndoa hazifanani ,yakwangu imenijia vibaya! Sijajipanga kwa hili kabisa...
Mwanamke akiwa na mahusiano na wewe anataka ufanye vile yeye angependa (vya kumfurahisha tu).
Mwanamke akikupenda anataka nawewe umpende hivyo hivyo, ukimpotezea ANAKUCHUKIA!
Atajaribu...
Tulikuwa tunashiriki tendo sasa imetokea tumepishana kauli kai kati ya tendo.
Mke wangu amechomoa neti na kuniviringisha mwili mzima..
Hapa ninapoongea nimefungwa kwenye wavu na sina ujanja...
Kwenye maandiko ya zamani sana ya kiebrania, kuna hadithi ya mwanamke ambae kwa sasa ndiyo amekuwa alama ya feminism na haki ya 50/50 kwa wanawake. Hadithi inaenda hivi.
Kabla ya Eva kutolewa...
Heshima kwenu wakuu,
Kuna kitu nataka tujadiliane hapa; Usafi kwenye Mapenzi.
Ukikutana na mwanamke mchafu, nakuhakikishia hutazidi goli moja, na bada ya hilo goli utakumbwa na kichefuchefu wala...
Kwako Binti na Mwana wa Afrika.
Elimu za Dunia zinafundisha watu, kuenenda kwa akili/kutumia akili zaidi.
Elimu za kiroho zinahimiza Unyenyekevu/kuenenda kiroho/kutumia uwezo wa ndani wa...
Miaka ya nyuma nilikuwa na biashara yangu ikawa inapata ugumu wa ushindani.
Mjinga mmoja akaniambia twende Handeni lwa babu ukaiboost. Nilichoamini sasa, hawa mawitch doctor nao wana areas of...
Pia akampa mfano, "unaona pale kwenye banda la mbuzi, si unaona kuna madume matatu ila majike 38?"
Vivyo hivyo na kwa wanyama wengine kama simba, dume moja huwa na kundi la majike, na huo ndo...
Ni faida au hasara gani mtu mke au mtu mume anaeweza kuzipata endapo atakurupuka, atalazimisha au kulazimishwa kufunga ndoa kwa maana ya kuoa au kuolewa?🐒
Kuna wakati nawaza hivi wanaume wana ugonjwa upi kwenye makalio ya mwanamke? maana ukitaka kujua ugojwa wa mwanaume ni uwe na kalio la maana upite mbele yao hii mpaka utaona kero maana minongono...
Wakuu salama,
Natumai MUNGU amewaamsha salama na tuko katika mapambano ya maisha! Kwa wale wagonjwa MUNGU awape wepesi mpone haraka.
Wakuu nimekuja kwenu nina shida moja naamini vichwa humu...
Kama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali.
Anyone who is...
Issue ipo hivi....
Wife alisafiri, baada ya kurudi juzi na kama kawaida nikampokea kwa furaha tele kisha nikampeleka home na nikamuacha anahangaika na watoto pale.
Picha lilianza baada ya wife...
Habari zenu,
Nilikua na mpenzi ambae tumedumu kwa miezi minne sote tulipendana kwa dhati na kwa kipindi hicho yeye ndio alikua ameanza kazi hivyo mshahara alikua hajaanza kupata hivyo kila...
Nimatumaini Yangu kuwa mu wazima
Mimi ni mdada, imekuwa ni mwezi sasa tangu nifahamiane na huyu kaka na kuamua kuingia nae kwenye uhusiano aliniuliza kuhusu mtoto mwanzoni nami sikumficha...
Wakuunduguzanguni
Sis wanaume weng tuko kwenye ulimwengu wa kuamin na kujiliwaza sana linapokuja swala la kuwafikisha hawa ndugu zetu kilelen.
Unless umemsoma vzur sana mwenza wako.. yaan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.