Mke wa Pili
18 August 2013, Sunday
Jumapili nilienda kwenye msiba wa mke wa jirani yangu, Alfred.
Kama kawaida nilikuta watu wamekaa kwenye vikundi vikundi kulingana na rika na kuzoeana. Ila...
Ktk pitapita zangu hususani ktk mitandao ya kijamii nimeona watu wanaelezea hisia zao juu ya aina ya mwanaume/mwanamke anayemvutia, kwa wadada wengi wanasema pesa, urefu nk. kwa upande wa wanaume...
Habari za jioni Wadau....
Leo wakati Tupo mapumzikoni lunch na kuwadada wanajadili kuwa kama umefiwa na Mke,yaani kama yeye mwanamke amefariki ni vema mwanaume/Mume wake akaoa mdogo wake/Dada...
ubaguzi wa rangi umepata kuwepo katika kiwango cha juu kabisa HUKO AFRIKA KUSINI.
pamoja na vita kali ya kuupinga lakini ubaguzi bado upo ktk nchi za ng'ambo,weusi bado wanabaguliwa.
UBAGUZI WA...
ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa basi ujue Possibility ya wewe kuoa ni ndogo sana.Sio kwa sababu wanawake watakuwa wameisha,LA hasha!Ila hutaweza ku-afford kuoa labda umtoroshee msichana wa watu...
Salam mmu crew!
Nimejishauri sana kabla ya kupost hii kitu hapa, nikaona nisiishi dunia ya kipeke yangu ngoja nishirikishe na wengine nipate uzoefu wao na pia waweza pata uzoefu huu.
Ni ile...
WATUMISHI WA ZAHANATI WATUHUMIWA KUFANYA MAPENZI NA WAGONJWA..
WATUMISHI wawili katika zahanati ya Mwanhala wilayani Nzega, wamekumbwa na kashfa ya kufanya mapenzi na wagonjwa hospitalini...
KILA KIUNGO KINA KAZI MAALUMU.
1.unyayo kutembelea
2.mdomo kulia chakula
3.ulimi kujua radha
4.viungo vya uzazi kwa ajili ya mapenzi na uzazi
5.anus kwa ajili ya haja kubwa.
6.masikio kwa...
MPENZI wako anakutembelea Home kwa kushtukiza.
mfukoni Una Mia sita Tu, unaamua kumchukulia
cocacola moja ili asione kama huna kitu. Alafu
wewe unaamua kuchukua chupa ya Sprite
unajaza maji...
Wanawake wengi wa mkoani Tanga hupenda sana wanaume wenye mizigo down stairs.
Kuanzia watoto hadi wazee, wote macho yao yako kwenye mabusha.
Hivi kuna siri gani nyuma ya pazia?
Je wenye mabusha...
Habarini za kuamka wana JF,mateso ambyo nimeyapata ucku wa leo imenilazmu nilete uzi hapa kwa mawazo yenu,m ni kijana wa miaka......., nina promise na mdada ambaye yupo mbali kishule,mim huku nna...
Unapokuta mwanamke au mwanaume anamlaumu mume au mke wake kwa kitendo chake cha kukaa na kuzungumza na mtu wa jinsia nyingine mara kwa mara utasemaje, je utasema ni wivu uliopitiliza...
Utamaduni wa kucheza uchi au nusu uchi upo kwenye mataifa mengi sana, lakini sijawahi kuwa kuna kundi la wanaume wacheza uchi, kila nikisikia habari za kusasambua na kumwaga radhi wahusika wakuu...
A new trend of commercial sex tourism that targets young boys in the coastal towns of the country Dar Es salaam, Tanga NA zANZIBAR .
The reports monitored quoted mAN as saying the trend had...
Kuna watu wanasumbuliwa na jini mahaba na kuna wengine wanasumbuliwa na pepo wa ngono.
Je ni zipi sifa za jini mahaba na zipi za pepo wa ngono?
Naombeni majibu yenu waungwana
Hii ni kwa wakubwa tu!!!....inawezekana wengi wetu tunafanya mapenzi kwa malengo tafauti na faida hizi zilizotajwa hapa chini. Ila achilia mbali sababu zako zakufanya ngono hizi nifaida za kiafya...
Utalii wa ngono zanzibar unafanywa kati ya wanawake wa kizungu na wanaume wa kitanzania.
WANAUME WA KITANZANIA wanajulikana kama BEACH BOYS.
Wakihojiwa:
Mzungu mmoja kasema siyo vibaya kuja...
Wana Jf jamvini kumevamiwa na watoto wa fb lugha inayotumika baadhi ya michango katika uzi unapopitishwa ni mbaya kwakweli hatua inaweza kusaidia kuondosha hili tatizo maoni yenu ni muhimu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.