Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jamani hivi kuna ubaya mwanaume kumuoa mwanamke tall zaidi yake??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
katika hali ya kawaida,mzazi kumpenda mtoto wake ni jambo la kawaida,mtoto kumpenda mama ama baba ni jambo la kawaida. LAKINI MPAKA SASA SIELEWI ni kwa nini wasichana na mama zao wanamahusiano ya...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Tizama,... Bosi anamgegeda secretary... Mume anamgegeda house girl... Mchungaji anamgegeda kondoo... Mwalimu anagegeda mwanafunzi... Baba mwenye nyumba anagegeda mpangaji... Mke wa mtu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Amani iwe juu yenu!! Eti kungwi? Unafundisha ndoa, unafundisha kuishi na mume. kumetokea na tabia na mazoea ya wanamama wanaojifanya wanafundisha wanandoa wa kike namna ya kuishi na mume...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Habari wana mmu. Nimebaatika kidogo kuona mahusiano kati ya dada zetu wa kibongo na wakenya. Baadhi ya tofauti nilizoziona ni kama zifuatavyo: Baadhi ya wadada wa kibongo ni tegemezi...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Boss alimpigia simu secretary wake kwamba wanaenda trip wiki ijayo,secretary akampigia mme wake simu kwamba hatakwepo kwa wiki moja atakuwa yupo kwenye trip na boss. mme wa secretary akampigia...
0 Reactions
5 Replies
872 Views
Heshima yenu wakuu! Siyo siri kunavitu vinanitatiza sana na bado sijavipatia majibu toshelezi....naleta kwenu ili tusaidiane idea. Jamani utakuta mkaka au wakaka amevaa pensi au suruali mzuri...
2 Reactions
97 Replies
12K Views
ndugu zangu wa jf mimi natafuta marafiki wa damu, naishi Geita ni fundi welding natafuta family friends.umri wangu ni miaka 45 .
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ata sielewi nianzie wap ila kwa ufup ni ivi..nna rafik angu nilifahamiana nae nkiwa kazin mwaka 2011 mpaka leo tumekua close na kusaidiana kwakila jambo,,few days pass akaniomba aje kwangu tule...
1 Reactions
152 Replies
34K Views
Source [Copy & Paste ] http://talkbongo.blogspot.com/2013/08/waraka-wa-mama-jeskatahadhari-kwa.html TAHADHARI KWA WANAWAKE! OGOPA MAPENZI YA KICHAWI: Naitwa Mama Jessica, ni mwanamke...
0 Reactions
20 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf, jamani napenda kuja kwenu mnishauri,natamani niwe single,na nina wasiwasi kwamba ntakuwa sina furaha kwa kukosa company kama mawasiliano na outing za pamoja na mpenzi,je...
1 Reactions
69 Replies
5K Views
mimi ni MVULANA mwenye miaka 23 ninatatizo la kushiriki tendo la ndoa binafsi (ni mwanachama mzuri sana wa CHAPUTA i mean punyeto) nashindwa kuacha nimejaribu mara nyingi kuacha nimeshindwa na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Hivi inakuwaje mwanamke mjamzito kumchukia mtu au kumpenda mtu?? mara nyingine utakuta mama mjamzito anamchukia mumewe hadi inapelekea mwanaume hataki kufika nyumbani au mwanamke kumpenda mumewe...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kabla sijaoa kwa nyakati tofautitofauti nimekuwa na mahusiano ya kimapenzi na wasichana wadogo, mmoja alikuwa Secondary form three, mwingine alikuwa form four, na kwa Mara ya mwisho nilitembea na...
5 Reactions
58 Replies
4K Views
ni ukweli usiopingika kuwa ukiuliza watu wengi watasema wanampenda zaidi mama yao kuliko mtu mwingine yeyote. NANI KAMA MAMA?Wanaume kwa wanawake watajibu HAKUNA KAMA MAMA. upande mwingine wa...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Hbr wana JF UTAFITI unaonyesha kuwa akina mama huwa wanatabia tofauti wakati wa uja uzito na mara baada ya kujifungua. tabia hizi hutegemea je, ni mimba ya kwanza, au ya pili au ya tatu Mimba...
0 Reactions
25 Replies
12K Views
Mm ni mvulana nina umri wa miaka 25. Natafuta mpenzi wa kike. Mm ni mweusi, mfupi kiasi na mwembamba kiasi. Nipo mkoa wa Kagela aliye tayari aweke contacts zake hapa. Au apige kupitia 0688135465
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari hii ni ya kweli, Jamaa mmoja jijini Mwanza alikutana na kisa hiki akapoteza maisha . Huyo jamaa alikuwa na dem wake akawa hamgongi kisawasawa kama ilivyokuwa mwanzoni, huyo dem akamtania...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari za week end wadau, Jamani hivi mtu utajisikiaje unaambiwa na mpenzi wako muendelee tu kutumia condomu,Kuhusu kupima eti yeye hajajiandaa,kila siku,kama kupima pima wewe.... Cc:Wana MMU Wote...
0 Reactions
81 Replies
5K Views
MAPENZI YA KUIBIA. mtoto wa kishua kanitoa OUT kwenda kula bata SEACLIF HOTEL kwa gharama zake. Tumefanya kila lililowezekana kufurahisha mioyo yetu,nime-enjoy ile mbaya to be at the amazing...
1 Reactions
68 Replies
5K Views
Back
Top Bottom