Za siku tele?... hope wote mko poa wapendwa, Katika pitapita yangu vichochoroni hata kwenye highway's nimegundua kuna watu wanaheshimiwa na kuogopwa kuliko hata maboss wa maofisini. Wa kwanza...
make up.. make up... hasa hasa kwa mabinti, nakubali vitu hivi vina umuhimu wake, na vina mvuto kwa wakaka au mmeo... Lakini ngoja ntoe angalizo si kila make up ina mfanya mdada awe mzuri au...
Hivi kweli baba mzima una mke na watoto unaenda kumuharibia mtoto wa mwenzako maisha kweli? Tamaa gani mlizo nazo wababa? Nazungumza kwa uchungu kutokana na jamaa mmoja kukutwa na kanafunzi ka...
Nimetokea kumpenda sanaaaa kaka mmoja hapa jamiiforums!
Kusema kweli tulikuwa marafiki mwanzo ila yeye akasema ametokea kuvutiwa na maongezi yetu na ananipenda and blah blah blah..nikawa...
Kwa mwonekano ni wazuri ila.......
Ukiwa naye hana flavour ya mwanamke kabisaaaa!!! Maongezi yake, mitazamo yake, uelewa wake,mapishi yake, usafi wa mwili na wandani, ukarimu negative...
MWANAMKE mmoja ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Nyankumbu, Kata ya Kalangalala mkoani Geita amenusurika kifo baada ya kujimwagia mwilini mafuta ya petroli kisha kujilipua baada ya mumewe kuoa mke...
Hili linakela sana!Wanawake wetu wengi wanadhalilisha uafrika.
Hata kuvaa wigi it is not right.
Kwa nini wasistiki na hali yao ya kuzaliwa?
Mbaya zaidi wabunge/mawaziri wanawake wetu hawaonyeshi...
Ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa basi ujue Possibility ya wewe kuoa ni ndogo sana.Sio kwa sababu wanawake watakuwa wameisha,LA hasha!Ila hutaweza ku-afford kuoa labda umtoroshee msichana wa watu...
Kila siku kumekuwa na watu ambao kutwa hujiuliza appearance or personality zao zinafafanaje??
Ukimuuliza mtu swali hili kama ni wa karibu hawezi kukujibu ila ipo njia rahisi sana ya kujua hili...
Muhanga wa tukio la kumwagiwa mafuta ya moto usoni.
This is a warning to all those guys who are dating one girl for several years. If your plan is to later dump her for a fresh sexy...
Ndugu wana jamvi,
Nimekuwa msomaji wa mambo ya humu ndani kwa siku nyingi, leo nimeona nami nijiunge ili nifunguke. Nina tatizo moja kubwa: Nikiwa na mke wangu wa ndoa, jogoo hawiki ng'o...
Rafiki yangu anataka kukatisha mahusiano na mapenzi wake walio kwenye mahusino zaidi ya miaka 2. Anataka kuendelea na maisha yake bila ya yeye ila ataki kabisa kumuumiza.
Je ni jinsi gani...
Watu fulani wanasema, ukitaka nikwambie wewe ni wa tabia gani, nionyeshe rafiki zako ni akina nani, ila mimi nina sema, ukitaka nikwambie wewe ni mtu wa namna gani, nionyeshe...
Habarini wana jamvi,
narudi kwenu kuomba ushauri,mimi ni mwalimu wa shule x iliyopo katika mkoa x.Ni hivi karibuni nimekuwa na mahusiano mazuri sana na mkuu wa shule yangu,kitu ambacho kilikuwa...
Nina mwenza wangu hataki ajulikane kama tunamahusiano nae yani hataki hata kuweka picha yangu kwenye socila networks ikiwemo facebook twitter watsup bbm na kadhalika hata mi nikisema niweke...
http://m.youtube.com/watch?utcoffset=180&v=BjqlcLCiU2Q&oref=http%3A%2F%2Fm.youtube.com%2F&has_verified=1&client=mv-google&layout=mobile
kazi kweli kweli, kuangalia hii video yataka moyo
Ndugu zangu wenye huruma mnisaidie, nimekua kila usiku(mara 1 ama 2 hadi 3) nipatwe na wetdream, imekuwa ikinigharimu sana kwani inanifanya niamke na kuoga na kubadilisha nguo, pia imekuwa...
Nini hufuata mapenzi yanapofika mwisho? Kujiua? Kuomba suluhu? Kuchanganyikiwa? Kuwa mlevi? Nini hufuata baada ya kifo cha mapenzi??? Nina uhakika kila mmoja wetu amekumbana na hili..! Tuambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.