Kuna tabia ambayo huwatesa watu, hata mie ilishawahi kunisumbua sana, kitabia chenyewe nikujifananisha na watu wengine. Mfano; Mwenzi wako ana ukaribu na mtu fulani, wewe badala ya...
Takribani miezi sita sasa. Tangu nikutane na kijana. Ambae alidai yupo kwenye mahusiano asiyoyapenda na angependa kuwa na mimi ila nimpe muda wa kuachana na wazamani cha kushangaza mpaka leo hii...
Habari wana MMU .........
Kuna kitu kinanitatiza hata nashindwa kuelewa, naamini nitapata kitu kwenu, nimekuwa katika mapenzi muda mrefu kidogo lakini huyu mpenzi wangu ananitatiza najua...
Nimeikuta sehemu ikanistua kidogo hebu icheki......
Nikiwa njiani kutoka mahakamani kusikiliza hukumu ya rafiki yangu aliyehukumiwa miaka 30 nyuma ya nondo kwa - kesi ya kubambikiwa ya...
hivi kwa nini walimu wa kiume wa mazoezi ya viungo wana mvuto hivi...???????.sina mpango wa kugegedwa ila daaah ni wazuri kweli..yaani inabidi kuvaa undewear ya chuma na kofuli hivi hivi unaweza...
Nimefuatilia kwa kina nakujiuliza ni kwanini wasichana wengi kuolewa imekua tabu?
Na hii ni research nimefanya kwa wasichana na vijana wa kiume ili nipate majibu...
ANAVYOKUTAZAMA
Mwanasaikolojia Zick Rubin kutoka Chuo cha Havard nchini Marekani aliwahi kusema kwamba watu wanaopendana hutumia asilimia 75 kutazamana kuliko wasiopendana, ambao kiwango chao ni...
Ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa basi ujue Possibility ya wewe kuoa ni ndogo sana.Sio kwa sababu wanawake watakuwa wameisha,LA hasha!Ila hutaweza ku-afford kuoa labda umtoroshee msichana wa watu...
Za Asubuhi wanajamvi kwanini katka Mahusiano wanawake ndo wanajijali sana kuliko wapenz wao? Unaweza kuta mwanaume anajituma Amridhishe kwa kila kitu lakin unakuta mdada anaweka personal matters...
ni stori iliyotokea katika maisha yangu ambayo ni ya kweli na sito isahau,
wana jf nashukuru kwa wote mlio nipa ushauri na maneno yenye faraja na kunijengea amani nafcini mwangu. mungu awabariki
Hii tabia ya kusimuliana mambo ya usiku chumbani ni hatari ati.
UNAWEZA KUNYANG'ANYWA BWANA AMA MREMBO HIVI HIVI kwa kuwahamasisha wenzio wamtafute.
KUNA DEMU rafiki yake na demu wangu sasa...
Nini hufuata mapenzi yanapofika mwisho? Kujiua? Kuomba suluhu? Kuchanganyikiwa? Kuwa mlevi? Nini hufuata baada ya kifo cha mapenzi??? Nina uhakika kila mmoja wetu amekumbana na hili..! Tuambie...
Nimekutana na baadh ya wadada wakisema hivo pâle kunako majamboz. Em naomba kujua wadada wa humu ukwel ni upi? Isije ikawa ndo wanataka niwajaze ka embryo nibebeshwe mzigo.
Hi to everybody. I just copied this somewhere to share with JF women
Do not shave off your eyebrows only to redraw them with a pencil it makes no sense
Do not put on too much make up, you...
Plz dont judge me jf
kila mtu anachagua mwenza (mpenzi) kwa utashi wake anayemeet standard zake
upande wangu wake za watu, wapenzi wa watu ndo chaguo langu namba moja
nikitongoza msichana...
ni ukweli usiopingika kuwa katika jamii nyingi mwanamke alifanywa kitega uchumi cha mahari(dowry).
Wayback before 1990s.
wanawake hawakuruhusiwa hata kwenda shule ili wasubiri kuolewa na familia...
siku hizi kuna ndoa na harusi nyingi saaana saaana.watu wanaoana saaana saaana.. hivi hawa watu wanaelewa kweli.maana ya ndoa?? wanakimbilia kufanya nin wakati hawawez kuacha kutoka nje?? au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.