Mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na binti ambaye nimempa support sana tangu akiwa sekondari hadi sasa yupo chuo kikuu mwaka wa pili.Kuna kipindi aliwahi kunipa niongee na jamaa...
Aman kwenu,,
tulianza kama 'just friends'
bada ya outing mbili
mwanume nikafunguka
nikaambiwa am in 'no no zone' coz ana mtu wake,
bas sikukata tamaa
outing baada ya outing
siku...
mke wangu hataki kunisamehe baada ya kunikuta naishi na mwanake mwingine ndani.mimi nafanya kazi manyara yeyd anafanya kazi dar kuonana kwetu ni pale 1 wetu anapopata nafasi anamtembelea mwenzake...
MARKS ZINAPUNGUA KWA DEMU WANGU JINSI NAVYOKULA.
Natumia kama dakika 4 tu nimemaliza kula.ANASEMA NAKULA HARAKA MNO NAKUMUACHA YEYE BADO KABISA
nikitafuna chakula naacha mdomo wazi.ANASEMA...
Jamaa kajiunga na GYM iliyokuwa na
mashine kadhaa za mazoezi, na hapo ndani
kukawa na madada kibao wanafanya
mazoezi, jamaa kachanganyikiwa, akawa
mara ahamie mashine hii mara ile ili
wadada...
Habari za Asubuhi wadau,Mi naelekea Kanisani,Mungu Awabariki sana sana,
Hii issue imeniuma sana sijui nijiandae vipi.....ok
Mtaani kwetu kuna Baba Mmmoja alikuwa anatembea na housegirl wake,sasa...
WADADA WAREMBO huwa wanawavutia zaidi wavulana/wanume ndani ya mda mfupi sana.
Kwa mwanaume si jambo la ajabu sana ukikutana na CUTE,CUTIE ama CUTESY unamwangalia wee mpaka nae anajua kweli...
BIKINI ni underwear za wanawake zitumikazo sana kuogelea ama kupumzikia juani maeneo ya fukwe.VAZI HILI HUFUNIKA 1% ya mwili wa mwanamke na 99% kuachwa wazi.
BACK TO TOPIC.
kutokana na ukweli...
unakuta mtu yuko kwenye uhusiano anateswa,kila aina ya vituko anapewa lakin anaendelea tuu na huo uhusiano outside there kuna jamaa anampenda anahangaika usiku na mchan ampate ila yeye wap ilihal...
Mwanamme na mwanamke kuchukua tahadhari pale unapokutana na mtu ambaye anajipenda na mtanashati. Kuna uwezekano mkubwa akakuacha kwenye majonzi na masikitiko ya kimapenzi kutokana na tabia yake ya...
Hii ni special kwa wadada wa kibongo hasa wale wenye vitambi, fanyeni mazoezi mchome hayo mafuta tumboni, hivi huwa mnajisikiaje kuwa na kitambi kama dume? mavitambi mengine mnajitakia, utakuta...
Hivi kwanini siku hizi kama kutongozana kumepungua? yaani mtu unamtaka msichana kumwambia directly ni inshu mtu unaanza ,dear, vizawadi kidogo, unamwita sweet heart,baby n.k , sasa dem...
HIZI NDIO SIFA ZA MADEM WANAOTOKA MIKOA HII
TANZANIA.
1. DAR - Utapeli na vizinga katika mapenzi pia ni
vicheche wa kupindukia
2. ARUSHA - Wanapenda sana kuongea kihuni hadi
mwenyewe utaogopa...
Leo jumapili nimeona niwashirikishe neno la leo; Katika malezi/mapenzi kwa watoto wetu.
Unaweza kuwa unampenda sana mwanao,unamsomesha boarding,unampa kila kitu,shule nzuri,anasoma mpaka...
Karibu watu wote wana marafiki,lakini urafiki wa mvulana na msichana mwisho huishia kwenye mapenzi,HENCE THERE IS NO FRIENDSHIP BETWEEN A GIRL AND A BOY,ALL WILL END UP TO LOVE.
ni wangapi ambao...
Mara nyingi utasikia wanaume wengi wakilalama kuwa wanalazimika kuwa na wapenzi nje ya ndoa kutokana na tabia ya wanawake kudai kila wakati kuwa hawajisikii kufanya mapenzi na waume/wapenzi wao...
Upole na ukarimu alivyovionyesha pamoja na sauti nyororo na uzuri wake+mwanya wake KATIKA FILAMU YA KANUMBA "the point of no return".
Pamoja na ukweli ni filamu tu,lakini wema alionekana kuwa...
Wadau kama kawaida yetu ku discuss mambo yenye mashiko hasa hasa yale ambayo ni tatizo katika jamii yetu na tunayatafutia suluhisho aidha kwa njia za kisasa/kitaaluma au KITAMADUNI,leo hii naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.