Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
umeeleza vizuri ila aina ya uandishi kama huu wa kuandika bila ya kuacha paragraph unasumbua na unaleta uvivu katika usomaji..............myself opinion..........!!!!!!!NI pesa,,cheki haya...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Binti amka acha huzunika, Binti amka acha sikitika, Binti amka jikaze anza mwendo, Binti u mrembo na bado wang`araaaa!!!! Kama uko shule.... kitabuni juhudi ongeza, Kama mwajiriwa hakikisha cheo...
14 Reactions
85 Replies
7K Views
Leo mwambie mwenzi wako "asante kwa kunipenda kwa dhati" "nafurahia sana upendo na penzi lako" UTAKUWA UMETIA MOYO NA ATAJISIKIA VIZURI. mwambie humuhumu na unaweza kwenda mbali zaidi,kamwite...
1 Reactions
36 Replies
19K Views
Juzi kuna jamaa la miaka 38, lililomfukuza mkewe miaka 5 iliyopita, lilifumaniwa na katoto ka miaka 11 (drs la pili) Ikungwe-Wasa-Iringa vijijini. Jamaa alienda kufanyie nyumbani kwa bibi wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii itawezekanaje BHANDUGU?Wadada kweli ataweza kuvumilia kama msichana?Mimi nitaweza. TOPIKI HII HAPA. Nina demu wangu nataka nimbadili awe rafiki yangu wa kawaida MANA SITAKI KUKOSANA NAE...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
kama umeingia humu au anayemfamu ani pm muhimu sana niko arusha
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kweli uswahilini kuna raha yake,mnaoishi magorofani mnamis mambo mengi kweli kweli,kitaa hapa kuna kituko kinaendelea sasa hivi,jamaa amegombana na mama watoto wake,ameamua kupeleka kesi kwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mara ya mwisho lini ulijitafakari na kutafakari maisha yako jinsi yalivyo? Wengi wetu tupo kila siku kumuomba Mungu kwa yale ambayo tunataka katika maisha yetu. Lakini je hivi umetambua hapo ulipo...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Mmoja kati ya marafiki zangu amekutwa na maswaiba yanayomfanya awaze kumchukua Maamuzi ambayo mi nimeyaona kama yatamuumiza mwanae; Ipo hivi, Akiwa chuo(degree holder kwa sasa) Aliwahi kuwa na...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Jamani mapenzi yana kona nyingi sana. Pamoja na mambo mengine, moja ya jambo lenye mchango mkubwa sana katika kunifanya mimi nimpende binti ni sauti. Nimempenda binti mmoja, ana sauti nyororo, ya...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Baada ya kushinda uchaguzi wa urais,babu wa Zimbabwe anahutubia wapiga kura wake kuhusu swala la ndoa za jinsia moja.Babu anadai yeye hana tatizo na hao watu ila anachowataka tu baada ya kuoana...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za jioni, habari za majukumu wana jf. leo naomba kuliza swali hili, kwa wale waliofunga ndoa inakuaje wengi wao wanashindwa kumwita mume wangu/mke wangu mwenza wake wakiwa na watu? sijui...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Kutumia manukato yanayofanana kwa wanandoa/wapenzi wawili huondoa mvuto wa kimapenzi hivyo walio kwenye uhusiano wanashauriwa kutumia manukato tofauti ili mwenzi wake avutiwa .Wenye na wasio na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Unajua nini kama nikikupenda nitakupenda kwa dhati na nikikuchoka nakuchoka haswaaaaaa.... lkn sitoweka maisha yangu rehani kwaajili ya upuuzi huu...sasa we nenda tu....tusijuaneeeeeee wala usije...
1 Reactions
55 Replies
4K Views
Kweri penzi jipya ni tamu Hii nikutokana na sababu nyingiiii Lakini mi kwangu ni kutokana na penzi la zaman linakua na malimbikizo ya visa vingi ambavyo ukivifikiria vinakua vnakukatisha tamaa ya...
0 Reactions
30 Replies
6K Views
Jamani mwenzangu ananisaliti , nimelia usiku kucha baada ya kugundua kazaa na rafiki yangu na pia jana kafumaniwa akiwa anazini na mke wa rafiki yake. Jamani nataka nimpe maumivu pia, maana...
1 Reactions
80 Replies
12K Views
Moment officers swooped in to stop sham marriage between Nigerian student and Hungarian woman Nigerian Chinedu Amadi paid £5,000 to a 'fixer' to set up a shame marriage He arrived at Leicester...
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Habari! (wavivu wa kusoma na kutafakari msihangaike kusoma hapa, kuna nyuzi zingine mkazi-comment hizo) naomba ku-share nanyi huu ushuhuda labda unaweza kumjenga mmoja kati ya 143,000 registered...
2 Reactions
43 Replies
4K Views
Pamoja na hofu kubwa ya HIV na UKIMWI bado usaliti katika mahusiano ni tatizo sugu.MIPIRA YENYEWE INAWEKWA KAPUNI,hofu na wasiwasi huja baada ya ku-do. LAKINI HAMU YA KUFANYA MAPENZI NA MTU...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
nimepatwa na ugonjwa wa ghafla na had sasa cjaenda hospitali coz cna hela na nikicheck account yang inasoma ziro kwa hiyo wana jf naomba hela angalau nikapate dawa
0 Reactions
58 Replies
4K Views
Back
Top Bottom